FAHAD KING
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 301
- 373
Ni vyema ungevi-attach hivyo vitabu ambavyo ww umesoma ili tuweze kujengeka kiakili zaidi.
Hii comment naomba nisaidiwe asee
Hii comment naomba nisaidiwe asee
Mimi natumia Credit card kwa Pepperstone, week sasa sijapokea mpunga wanguUlidraw kupitia njia gani? Bank wire au Nettler/skrill/paypall?
Mimi natumia Bank transfer kwa pepperstones ni siku 2 tu, Kwa JP markets ni masaa 4 tu
Kama ni mafunzo hayo sihitaji. Mimi nilifikiri ameanzisha "Brokerage company".Ontario hana kampuni ya kujiunga kama trader... Anatoa mafunzo kwa traders
Hapana, brokerage company ziko nyingi...Kama ni mafunzo hayo sihitaji. Mimi nilifikiri ameanzisha "Brokerage company".
Kitambo sana boss , saizi yupo mbioni kufungua ofisi mikoaniJamn mimi ndo nmeanza kusoma huu uzi kidogo kidogo ila nmeona ni wa muda kidogo nmeona muhusika anasema alikua na mpango wa kufungua ofisi kashafanikisha?
Mzee kwa promo hz km nakujua vileee tunaish mtaa mmoja hapaKuna mabroker wengi lakini nimeona pepperstone ana spreads ndogo huenda kuliko wengi nawajua.
Unaweza kuangalia spreads zake hapa.
Pepperstone | Trade your world
Promo? Anyway, cdhani kama twaish mtaa mmoja, labda ukisema tz mojaMzee kwa promo hz km nakujua vileee tunaish mtaa mmoja hapa
Isiwe kes mkuu , ila amin tupo mtaa mmoja maana nimefwatilia sana hizo code toka tempeler, tickmill na papperstone nimeona ni zile zile unazotuma mtaa Wa 7Promo? Anyway, cdhani kama twaish mtaa mmoja, labda ukisema tz moja
Ah... Ray?Isiwe kes mkuu , ila amin tupo mtaa mmoja maana nimefwatilia sana hizo code toka tempeler, tickmill na papperstone nimeona ni zile zile unazotuma mtaa Wa 7
Safi mkuu mimi nafanya study ya hii kitu
sasa hivi naparactice demo account
kutoka kwa broker paperstone wa Autralia
japo kuna vitu sivielewi ....lkn nataka
nianze na dola 3000 nikifungua real account
Nilishatoka huko tayari nimerejista na hao pepperston, as we speakDemo akaunti haikupi uhalisia wa mambo mengi sana
Pili kuna kimbembe cha kukutana na scam Forex brokers
Hana mkuuHivi pepperston kwenye kudeposit na kuwithdraw hana usumbufu?
Watanzania shirikisheni bongo lasivyo mtaibiwa sana. Wanaigeria wamemaliza dunia kwa wizi na sasa wanatoa mafunzo kwa vitabu kupitia kwa wafuasi wao kote africa. Chungeni sana visenti vyenu. Forex haina tofauti na kamari inaenda kwa exchange rate ya dola waachieni hao wenye pesa za kuchezea kamari nyie wenye pesa za kusotea kaeni pembeni mwangalie mchezo unavyo kwenda.Boss! Great minds discuss ideas not people. Boss let's discuss ideas.
Boss mimi namfahamu SB si kwa kusikia maneno ya watu, nimekaa kanisani kwake and I see him metre chache kutoka nilipo. Huyu ana waumini mil 20+ duniani kote, wote hao ni wapuuzi kumfata?! Again kwa mafanikio aliyonayo ni jambo la ajabu sana akose maadui, na kitu maadui wanaweza kumfanya SB ni kumchafua jina.
Najishangaa hii thread naiona Leo ....too bad! But k hope sijachelewa...