AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 824
Ah, basi deci na forex ni tofauti...Ukisetiwa na watu wenye akili za kupiga hela za wasiojitambua kirahisirahisi tena kihasarahasara tu. Walidanganywa unapanda hela ( kama upandavyo mazao shambani) kisha unavuna mipesa minono kila zinapokuwa zimeiva, wakawakusanya weeeee wakajaa ndiii, wakawapandisha mipesa kisha wakala kona shaaaaaaa. Hakuna urahisi kwenye suala la kutafuta na kupata hela