Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

Special_onejr

New Member
Sep 9, 2021
1
8
Habari hili ndo chapisho langu la Kwanza kuandika ndani ya jamii forums na nimeona niandike ili kuwazindua vijana wenzangu kuhusu utapeli unaondelezwa na vijana wanaojifanya wanafanya forex nchini Tanzania.

Mimi binafsi nilijifunza forex na ni biashara ilonivutia sana baada ya kuona jinsi vijana mitandaoni wanavoipamba biashara hii, ila kiukweli ni tofauti na uhalisia, biashra ya forex ipo kweli na inafanya kazi kweli ila kwa Tanzania bado sana, watu wanaingiza pesa kwa kusomesha watu, kuuza ma bots na kufanya Acc Management.

Kuna mkasa ulionitokezea hadi nikaamua kuandika hili chapisho.

Kuna kijana mtanzania maarufu sana tiktok na insta anajiita noebillions huyu kijana amejikita kufanya forex kwa kutumia bot na kuaminisha watu kuwa anapata faida maradufu kwa mtaji mdogo, jambo ambalo sio kweli kiuhalisia.

Kwanza naomba kuelezea jinsi alivyonitapeli:

Noebillions nilianza kumjua instagram na nikamzoea kwa kuchat nae hadi niliwahi kumuomba kufanya nae interview akakubali ila sikufanya nae kwasbabu zangu mimi zilikuw nje ya uwezo wangu.

Kuna siku alisema anatka kukuza acc za watu ndani ya wiki moja na ili upate huduma hii umlipe 500K kama ada then ueke dollar 50 kwenye acc yako ili akukuzie acc yako. Nilifanya uchunguzi then kwa ujinga ukanipitikia kwasababu nilishajenga mazoea nae nikamtumia hela.

Baada ya hapo ndo nikapata funzo ambalo limenifanya niwazindue na wenzangu.

Akaanza kuniblock twitter, akafata insta na akafuta chat zetu ila nahskuru Mungu mimi niliwah kuscreenshot chat zote.

Karibuni nitafanya video kuhusu utapeli mzima uloinikuta kutoka kwa kijana huyu ambae vijana wengi wanashawishika kufanya biashara nae aidha kunnua bot kwa kuamini watapat faida nyingi kwa haraka.

Nimalizie kusema mabot kwnye forex ni kweli na mimi natumia ila kiuhalisia hayapo kama vile wanavoonesha mitandaoni so kuwa makini.

View attachment 2822644
Screenshot_20231119-054344.jpg
View attachment 2822645
 
Habari hili ndo chapisho langu la Kwanza kuandika ndani ya jamii forums na nimeona niandike ili kuwazindua vijana wenzangu kuhusu utapeli unaondelezwa na vijana wanaojifanya wanafanya forex nchini Tanzania.

Mimi binafsi nilijifunza forex na ni biashara ilonivutia sana baada ya kuona jinsi vijana mitandaoni wanavoipamba biashara hii, ila kiukweli ni tofauti na uhalisia, biashra ya forex ipo kweli na inafanya kazi kweli ila kwa Tanzania bado sana, watu wanaingiza pesa kwa kusomesha watu, kuuza ma bots na kufanya Acc Management.

Kuna mkasa ulionitokezea hadi nikaamua kuandika hili chapisho.

Kuna kijana mtanzania maarufu sana tiktok na insta anajiita noebillions huyu kijana amejikita kufanya forex kwa kutumia bot na kuaminisha watu kuwa anapata faida maradufu kwa mtaji mdogo, jambo ambalo sio kweli kiuhalisia.

Kwanza naomba kuelezea jinsi alivyonitapeli:

Noebillions nilianza kumjua instagram na nikamzoea kwa kuchat nae hadi niliwahi kumuomba kufanya nae interview akakubali ila sikufanya nae kwasbabu zangu mimi zilikuw nje ya uwezo wangu.

Kuna siku alisema anatka kukuza acc za watu ndani ya wiki moja na ili upate huduma hii umlipe 500K kama ada then ueke dollar 50 kwenye acc yako ili akukuzie acc yako. Nilifanya uchunguzi then kwa ujinga ukanipitikia kwasababu nilishajenga mazoea nae nikamtumia hela.

Baada ya hapo ndo nikapata funzo ambalo limenifanya niwazindue na wenzangu.

Akaanza kuniblock twitter, akafata insta na akafuta chat zetu ila nahskuru Mungu mimi niliwah kuscreenshot chat zote.

Karibuni nitafanya video kuhusu utapeli mzima uloinikuta kutoka kwa kijana huyu ambae vijana wengi wanashawishika kufanya biashara nae aidha kunnua bot kwa kuamini watapat faida nyingi kwa haraka.

Nimalizie kusema mabot kwnye forex ni kweli na mimi natumia ila kiuhalisia hayapo kama vile wanavoonesha mitandaoni so kuwa makini.

View attachment 2822644View attachment 2822646View attachment 2822645
Hakuna trading Bot ambayo ni profitable acheni kuwa wapumbavu na wapuuzi.
 
Habari hili ndo chapisho langu la Kwanza kuandika ndani ya jamii forums na nimeona niandike ili kuwazindua vijana wenzangu kuhusu utapeli unaondelezwa na vijana wanaojifanya wanafanya forex nchini Tanzania.

Mimi binafsi nilijifunza forex na ni biashara ilonivutia sana baada ya kuona jinsi vijana mitandaoni wanavoipamba biashara hii, ila kiukweli ni tofauti na uhalisia, biashra ya forex ipo kweli na inafanya kazi kweli ila kwa Tanzania bado sana, watu wanaingiza pesa kwa kusomesha watu, kuuza ma bots na kufanya Acc Management.

Kuna mkasa ulionitokezea hadi nikaamua kuandika hili chapisho.

Kuna kijana mtanzania maarufu sana tiktok na insta anajiita noebillions huyu kijana amejikita kufanya forex kwa kutumia bot na kuaminisha watu kuwa anapata faida maradufu kwa mtaji mdogo, jambo ambalo sio kweli kiuhalisia.

Kwanza naomba kuelezea jinsi alivyonitapeli:

Noebillions nilianza kumjua instagram na nikamzoea kwa kuchat nae hadi niliwahi kumuomba kufanya nae interview akakubali ila sikufanya nae kwasbabu zangu mimi zilikuw nje ya uwezo wangu.

Kuna siku alisema anatka kukuza acc za watu ndani ya wiki moja na ili upate huduma hii umlipe 500K kama ada then ueke dollar 50 kwenye acc yako ili akukuzie acc yako. Nilifanya uchunguzi then kwa ujinga ukanipitikia kwasababu nilishajenga mazoea nae nikamtumia hela.

Baada ya hapo ndo nikapata funzo ambalo limenifanya niwazindue na wenzangu.

Akaanza kuniblock twitter, akafata insta na akafuta chat zetu ila nahskuru Mungu mimi niliwah kuscreenshot chat zote.

Karibuni nitafanya video kuhusu utapeli mzima uloinikuta kutoka kwa kijana huyu ambae vijana wengi wanashawishika kufanya biashara nae aidha kunnua bot kwa kuamini watapat faida nyingi kwa haraka.

Nimalizie kusema mabot kwnye forex ni kweli na mimi natumia ila kiuhalisia hayapo kama vile wanavoonesha mitandaoni so kuwa makini.

View attachment 2822644View attachment 2822646View attachment 2822645
Jana nlikuwa nazungumza na jamaa yangu nikawa namwambia kuwa siku hizi unafake una ela, unaishi high life then whatever shit you would say people, watu wanaamini.
Usiamini watu ambao wanavaa suti na viatu expensive lakini wamekosa pesa ya sox.
Mentor wa fx karibu wote africa matapeli na ni wauza stratergies ambazo kiuhalisia wao hawazitumii.
Sasa mtu anakublock kwa just 120k tshs si ana njaa huyo
 
Okay so unabuni hizo automation then unazitumia wapi au unaziweka sokoni wadau wanafika bei,kama nakuelewa na kama nashindwa kukuelewa hivi
Hapana.

Nipo ktk tafiti ktk maabara yangu binafsi.

Hizo automation baadae sasa nitaamua nizifanyie nini ingawa akili yangu inawaza kujikita zaidi ktk simulation na operation za kijeshi.
 
Back
Top Bottom