suala co wengine wanaichukuliaje................suala ni ww mwenyew coz maisha ni ya kwako huish kulingana na wngine wanaonaje jambo fulan, unaonesha ni jins gan ulivo na akil ndogo kk, mpk kila mtu aseme ndio na ww ndio ufanye, kwa attitude hyo nafikir maisha yataendelea kuwa magumu kwako.
Sio kila unachokiona ww kila mtu atakiona, binadamu tumetofautina sana kimtazamo (kutakana na mazingira, mazoea, experience, knowlegde, etc) kitu kinachopelekea kila mtu kuwa na his/her own personal philosophy.
Ushauri wa bure................fuata instinct na intuition yako, ukisubir wengine wanasema nn hutakaa ufanikiwe ktk chochote kk, mwana wa mungu mwenyew walimpinga na kumuua ndo ije kuwa ww binadam wa kawaida.
Unafikir ni kwa nn 3% tu ya watu dunian ndo wamefanikiwa???..................wameweza kuckiliza mioyo yao na co mawazo ya wengine. Mzee Mengi na Bakhresa wangewasililza watanzania wengine wanasema nn kuhusu biashara wanazotaka kuzifanya, nafikir leo wasingekuwa hapo walipo.
In short unahtaj mentoring sana ndugu.........sion dalili yoyote ya ww kuish maisha mazur, utalipa bill tu hapa dunian then urud mavumbin coz hujui kwann umezaliwa.
Mtafute mtu anaitwa Nick Vujicic google usome historia yake na mambo anayoyafanya,jamaa hana mikono wala miguu lakn anajielewa, ww naamin una kila kitu lakn hujitambui
Sio kila unachokiona ww kila mtu atakiona, binadamu tumetofautina sana kimtazamo (kutakana na mazingira, mazoea, experience, knowlegde, etc) kitu kinachopelekea kila mtu kuwa na his/her own personal philosophy.
Ushauri wa bure................fuata instinct na intuition yako, ukisubir wengine wanasema nn hutakaa ufanikiwe ktk chochote kk, mwana wa mungu mwenyew walimpinga na kumuua ndo ije kuwa ww binadam wa kawaida.
Unafikir ni kwa nn 3% tu ya watu dunian ndo wamefanikiwa???..................wameweza kuckiliza mioyo yao na co mawazo ya wengine. Mzee Mengi na Bakhresa wangewasililza watanzania wengine wanasema nn kuhusu biashara wanazotaka kuzifanya, nafikir leo wasingekuwa hapo walipo.
In short unahtaj mentoring sana ndugu.........sion dalili yoyote ya ww kuish maisha mazur, utalipa bill tu hapa dunian then urud mavumbin coz hujui kwann umezaliwa.
Mtafute mtu anaitwa Nick Vujicic google usome historia yake na mambo anayoyafanya,jamaa hana mikono wala miguu lakn anajielewa, ww naamin una kila kitu lakn hujitambui