TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,776
- 21,280
Kwanza siyo muaminifu na bakhresa (chawa wake) yupo radhi kuua biashara yako ili yake iendelee.Bakhresa alishakataa Mali zake kuhesabiwa
Mfano; baharini, yaani chawa wa bakhresa wanahonga kwa manahodha wa boat nyingine ili wazitie chumvi vife vyake viendelee kuwepo, hataki ushindani, but kwenye mpira kachemka kakutana na magwiji Yanga na Simba!.
Juzi alikuwa radhi kumuaribia bwana mdogo Feisal, kisa pesa!.