The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,464
- 17,296
Wakuu habari za Jumatatu.
Kuna jambo kidogo limenivutia kidogo kunitazama kwa umakini zaidi, wazungu husema lime 'attract my attention'.
Jambo lenyewe ni kwamba, imetolewa orodha ya benki kubwa 10 Afrika Mashariki. Katika orodha hiyo benki 8 kati ya 10 zinatoka Kenya.
Kwa mfano, mtaji wa Benki ya Equity ya Kenya, ni mkubwa zaidi ya mtaji wa Crdb na NMB za Tanzania kwa pamoja. Mtaji wa Equity bank ya Kenya ni Dola Bilioni 11 huku crdb na nmb kwa pamoja ni dola bilioni 9.6
Cha kushangaza zaidi, hat bank za kimataifa ambazo zina matawi Tanzania zina hali mbaya kuliko dada zao wa Kenya, mfano Stanbic bank na Standard chartered bank. Nenda hata bank za I&M, Absa, DTB nk.
Kwa Kenya tofauti ya masikini na tajiri ni kubwa sana kuliko Tanzania, Tanzania ina idadi kubwa ya watu kuliko Kenya. Je ni uwezo wa watu wa kenya kiuchumi kua mkubwa(purchasing power) kuliko Tanzania ama ni nini?
Kwa mtazamo wako, nini sababu ya benki za kenya kufanya vizuri zaidi kuliko benki za Tanzania?
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1736743682970099839?s=19
Kuna jambo kidogo limenivutia kidogo kunitazama kwa umakini zaidi, wazungu husema lime 'attract my attention'.
Jambo lenyewe ni kwamba, imetolewa orodha ya benki kubwa 10 Afrika Mashariki. Katika orodha hiyo benki 8 kati ya 10 zinatoka Kenya.
Kwa mfano, mtaji wa Benki ya Equity ya Kenya, ni mkubwa zaidi ya mtaji wa Crdb na NMB za Tanzania kwa pamoja. Mtaji wa Equity bank ya Kenya ni Dola Bilioni 11 huku crdb na nmb kwa pamoja ni dola bilioni 9.6
Cha kushangaza zaidi, hat bank za kimataifa ambazo zina matawi Tanzania zina hali mbaya kuliko dada zao wa Kenya, mfano Stanbic bank na Standard chartered bank. Nenda hata bank za I&M, Absa, DTB nk.
Kwa Kenya tofauti ya masikini na tajiri ni kubwa sana kuliko Tanzania, Tanzania ina idadi kubwa ya watu kuliko Kenya. Je ni uwezo wa watu wa kenya kiuchumi kua mkubwa(purchasing power) kuliko Tanzania ama ni nini?
Kwa mtazamo wako, nini sababu ya benki za kenya kufanya vizuri zaidi kuliko benki za Tanzania?
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1736743682970099839?s=19