For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

aya Tyta nimekufunika leo

images
 
Last edited by a moderator:
ndiyo lakini hivi wanume mmekuwaje kukimbia majukumu lakini sisis tunasadia tu hivi ni nini?
The thing is sio kukimbia majukumu, wasichokitaka ni kuchunwa in the name of love. Hivi kuna mwanaume asiependa kuspend kwa mwanamke wake according to his means?

Tatizo mi naona ni sisi wanawake kutaka vitu beyond our means so tunawachuna wanaume tusiokuwa na mapenzi nao.

Maybe am old fashioned but I will be damned if I ever ask a man for hela ya salon, vocha? NO.
 
Asante! Mtu ukiwa na mazoezi unajifurahia sana.

Mi napenda kukosolewa sana kwa sababu ndio kunanifanya mtu bora zaidi kuliko kusifiwa. Kukosolewa hakunaga unafiki ila kusifiwa unafiki ni mwingi sana. Honest compliments are very limited now days.

So ukiona anayekukosoa au kukurekebisha kitu; huyo ni mtu wa kumshukuru sana. LoL!

You know I do love you zingi zingi eeh!

Hongera kwa kuwafit. Ngoja hao wengine waje kunipa za uso. Wala sijali, lols. Nakomaa na mada yangu. Lols.
 
The thing is sio kukimbia majukumu, wasichokitaka ni kuchunwa in the name of love. Hivi kuna mwanaume asiependa kuspend kwa mwanamke wake according to his means?

Tatizo mi naona ni sisi wanawake kutaka vitu beyond our means so tunawachuna wanaume tusiokuwa na mapenzi nao.

Maybe am old fashioned but I will be damned if I ever ask a man for hela ya salon, vocha? NO.

kama wote wangekuwa wana akili kama hii maisha yangekuwa mazuri sana.
 
Maneno yako yamenichomaaaaa mpakaa, kweli tupu umeongea lifestyle yetu imekuwa ya kipuuzi sana hadi mm mwenyewe najichukiakwasasa, nilikuwa na body zuri sana la mazoezi mpunga ulipoaanza kukaa vema, nikaoa, nikapata na mausafiri yakutosha, na jumba lakifahari, basi tumbo hiloooo,,, na ufanisi ukashuka asilimia 40 kitandani, asee leo ntapiga gym mpaka nizimie, atleast 3 days a week sio mbaya, asante mama kwatukumbusha na kutupenda, nimekupenda
Safiii. Hongera kwa uamuzi mzuri.
 
Maneno yako yamenichomaaaaa mpakaa, kweli tupu umeongea lifestyle yetu imekuwa ya kipuuzi sana hadi mm mwenyewe najichukiakwasasa, nilikuwa na body zuri sana la mazoezi mpunga ulipoaanza kukaa vema, nikaoa, nikapata na mausafiri yakutosha, na jumba lakifahari, basi tumbo hiloooo,,, na ufanisi ukashuka asilimia 40 kitandani, asee leo ntapiga gym mpaka nizimie, atleast 3 days a week sio mbaya, asante mama kwatukumbusha na kutupenda, nimekupenda
Safiii. Hongera kwa uamuzi mzuri.
 
Sawa, tumekubali ukweli ila sasa....na nie wanawake (lazy ass women) mnakuwa na vitambi kama vyetu inakuwaje? Mfanye mazoezi sio saloon na kulala kula tu. Mkiwa juu ati mmechoka.😝
Na nyie mfanye mazozi sio kwa ajili ya 6x6 bali kwa afya. Hujui hata 6x6 ni zoezi? 😆

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Daah!!mibia sinywi, nyama once in a while...ndambi hilooo kama roba la viazi!!
 
Yes. I know that you love me. You are a nice person Tized.
Asante! Mtu ukiwa na mazoezi unajifurahia sana.Mi napenda kukosolewa sana kwa sababu ndio kunanifanya mtu bora zaidi kuliko kusifiwa. Kukosolewa hakunaga unafiki ila kusifiwa unafiki ni mwingi sana. Honest compliments are very limited now days.So ukiona anayekukosoa au kukurekebisha kitu; huyo ni mtu wa kumshukuru sana. LoL!You know I do love you zingi zingi eeh!
 
Usitake kuhamisha mada kutoka kwenye uhalisia,waweza kuanzisha thread yako hukoo..apa changia kwa hoja zenye mashiko.
hoja zako ni za msingi.

1. Wanawake wa bongo mnanepea mpaka inakera. Utamkuta mwanamke ana tumbo kubwa sijui kitambi/mimba/ugonjwa.

2. Wamekuwa mabingwa wa kuchoropoa mimba Kila wakati. si Kinondoni si mbezi si Sinza sehemu zote za kutolea mnazijua.

3. wamekuwa rahisi kutongozwa na kudangwa na vitu vidogo. Mpaka sasa mnatoa kabang bureeee. Hamna tofauti na wanauza papuchi pale ambiance. huko maofisini mnatembeza k kuanzia mabosi, madreva mpaka walinzi. JANGA LA KITAIFA.

4. Wanawaza bia na wanaume tu. Kila usiku mnajirundika kwenye vipub na bar mkitafuta ofa.

Nitaendelea....
 
bora umewakumbusha my dear Karucee maana kuna wengine humu ni wabishi kama nini!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom