Asante Sana. Hapo umenisema Mimi kabisa. Ntajirekebisha...
Huku home Makabe, wanaume wanaamshana 6 a.m weekends na wana trainer wao. Wapo wengi, kama 3 football teams. I wish tungekuwa na yetu wanawake so go tone some ass.Mara nyingi kuanza ni rahisi but in less than a week mtu unajikuta ushaacha. Kuna kipindi ilibidi tuanzishe fit club, mtu akikosa bila prior information ya at least 3 days... elfu 5. Niliteseka but ilinisaidia sana
Huku home Makabe, wanaume wanaamshana 6 a.m weekends na wana trainer wao. Wapo wengi, kama 3 football teams. I wish tungekuwa na yetu wanawake so go tone some ass.
Hahaaaa!!!!
Karucee
Nitake radhi aisee!!! Nackukia kitambi big time.. Am a very fit dude; 6.1 Feets, 69 Kgs ribed. What on earth!!!!! Ailbeit I concur with you. Wengi wetu tunasingizia muda hauruhusu.... Ivi kuna mtu anafikiri kuna siku atapata muda wa kutosha?
Kama unaamka say saa 12 asubuhi... kwa nini usirudishe lisaa limoja nyuma au kama watu wanakesha baa hadi saa sita usiku.. ksi unaweza piga tizi pia usiku.... tatizo linaweza kuwa sio uvivu bali ni kujitambua na kujua umuhimu wa kuwa fiti na madhara ya kutokufanya mazoezi..
Kwa Proffession yangu ni ngumu sana kupata muda lakini kwa wiki nikizidiwa ntafanya siku nne minimum but maximum siku 6. It pays BIG time. Kuumwa umwa kijinga jinga na kulia lia sijui nguvu za nini it becomes historical. Kwa mwanaume kula sahihi na mazoezi ni kitu kisichoepukika vinginevyo mtu utakua unajitafutia matatizo. (mwanaume unapanga foleni ya chips!!!! dem it!!!
lara 1 waraka wako haujawatendea haki wanawake. .. nao wamezidi kupiga mizinga
Hahaaaa!!!!
Karucee
Nitake radhi aisee!!! Nackukia kitambi big time.. Am a very fit dude; 6.1 Feets, 69 Kgs ribed. What on earth!!!!! Ailbeit I concur with you. Wengi wetu tunasingizia muda hauruhusu.... Ivi kuna mtu anafikiri kuna siku atapata muda wa kutosha?
Kama unaamka say saa 12 asubuhi... kwa nini usirudishe lisaa limoja nyuma au kama watu wanakesha baa hadi saa sita usiku.. ksi unaweza piga tizi pia usiku.... tatizo linaweza kuwa sio uvivu bali ni kujitambua na kujua umuhimu wa kuwa fiti na madhara ya kutokufanya mazoezi..
Kwa Proffession yangu ni ngumu sana kupata muda lakini kwa wiki nikizidiwa ntafanya siku nne minimum but maximum siku 6. It pays BIG time. Kuumwa umwa kijinga jinga na kulia lia sijui nguvu za nini it becomes historical. Kwa mwanaume kula sahihi na mazoezi ni kitu kisichoepukika vinginevyo mtu utakua unajitafutia matatizo. (mwanaume unapanga foleni ya chips!!!! dem it!!!
wanawake tunaruhusiwa kufanya hivyo .... mwanaume kweli unaweza jiita mwanaume huku ukiwa huna hela loh hapana kwangu me nitakuona kinega
umepiga pameuma aiseeeMmmmmmmmmh!
MI NAOMBA KUKAZIA HAPO HAPO UNADE WA KINA LAZY BILLY!!!!!!!!! Wanaume wengi hususani WASOMI mnanisikitisha sanaaaaaaaa siku hizi. Mwanaume over 25 UNA MASTERS UNAOMBA OMBA HELA NYUMBANI/DEMU/WASHKAJI!!!!!!! Tufiakwaaaaaaaaaaa! Na elimuyako yote JUUUUUUU! It is simply OUTRAGEOUS!
Sawa HUJABAHATIKA KUAJIRIWA, ila sio ndo iwe LIFESTYLE! Kila siku wakalia nimeapply BOT, EWURA, GAPCO, sasa kuapply HOW DOES IT HELP YOUR FINANCIAL SITUATION? Na unajijua kabisaa P.O.BOX ya kufayiwa mchongo pande hizo HUNAAAAAAAAA!!!!!!!! Mwanaume unaishi kwa MIZINGA hadi washkaji WANAKUKWEPA!!!!!!!!!!
Kuchanika kwa jamvi SIO MWISHO WA MANGEZI! Sawa umesoma hujabaatika kuajiriwa, SO WHAT? Utakaa unangojea ajira milele na umri ndo unakutupa mkono.? Hata DILI za kimjinimjini zinakushinda kupiga ukae mjin kwa jeuri? REALLY? Hata kusema nichukue jiko apa niuze nyama, supu, na viazi kidogo, Ahaaaaaaaaa! WE MTHOMI BANA! Wakati kila wiki usingekosa kilo 2 au 3. Hata kuingia kariakoo udalalie mali, ahaaaaaaaaaa! We mthomi bana! Hata kuwa dalali wa nyumba basi, aaaaaaah! Mthomi wewe tenaaaa? Chukua mazao shamba huko, akuuuuuuuuu! Hio kazi ya layman.
MWANAUME SIO OFISI, MWANAUME WALLET! Wake up dudes! Mimi nimechoka jamani! Ukimpata msomi ujifuze kujibajet ndani ya huo mshahara ake milele na milele! They never think outside the box! WASIOSOMA SAIVI NDO WANACONTROL UCHUMI WA JIJI! It is so disappointing! Ukikaa na msomi anawaza KUKOPA anunue gari, na illiterate wa karakoo anawaza LINI ATASHUSHA COMMERCAL BUILDING even if it is the last thing he does before dying!
LAZY BILLY muace kutumia kisingizio sjaajira ndo maana sijatoka kimaisha! UKIWA NA 500,000 UKASINDWA KUIZUNGUSHA UPATE 550,000 BASI HATA UKIWA NA 50M HUTOWEZA KUIZUNGUSHA IZAE!
We mwanamke dah
u HV the guts aiseee
We always point fingers to women and personally I still do vitambi vya wanawake but kwakweli this was needed to be spoken
Guys we need to change aisee mazoezi muhm sana sio lazima ucheze mpira kwa wale Wa basketball o football au gym as real gym but u have to know mazoez Fulani kwaajili ya pumzi na body structure
Example push ups za aina 4 zinayosha kwa pumzi na kujenga mwili
Baiskeli ya mazoez pia kwa wengi I hope we can afford kujiachia sio ishu thanks so much miss wish cud HV known u aisee sijui ningekuapa ofa gani kwa hili
Kusaka ela nako mnaruusiwa pia
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.
Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.
But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!
Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.
Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.
Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.
Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.