For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

I agree with a post! tubadilike wanaume sio hadi tuanze kusemwa. Vitambi na kukosa mazoezi ni hatari kwa afya zetu !
 
Aisee kweli ndambi zitatuua hadi kufunga viatu ni soo..binafsi nimeshaanza joging lakini inakuwa sio sustainable ndo mana ndambi halipungui..
 
Waambie wamekuwa vikwazo katika maisha ya kila siku. Wanataka vikubwa wakati hawana pakuanzia. Hata Roma haikujengwa kwa siku moja.
 
kwan gym zimejengwa kwa ajili yetu peke yetu,nanyie tengenezeni hata shape basi,mke unakuwa umefura utafikiri maandazi ya dona na udaga yaliyo jazwa hamira..kwenye mechi goli moja tuu umeshochoka unaanza visingizio,hamko flexible hutaki kupapatuliwa wewe kifo chamende tuu,wakati kanyumba ndogo mpaka chuma mboga kanajua,hata bafuni kanakupa kwanini kwako nisije kukupiga kimoja cha kuzugia nilale zangu...

Mabadiliko yanaanza nawewe uskimbilie kutulaumu wakati wewe ndo kabisaa
Lazy ass speaking.
 
Ndiyo maana machangu wanawapata kirahisi wengine kazi hawawezi ila kwakuwa wenzao wako kazini wanawasifia ili wazidi kuwaibia.
 
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.

Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.


But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!

Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.

Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.

Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.

Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.

....Asante sana kwa ukumbusho huu muhimu Karucee, #nimehamasika !
 
Last edited by a moderator:
Wana wake wa bongo bna.! Pasua kichwa kweli,tukikonda shdaa,tukitoka vitambi nongwa,tukiwa slim mna taka six pak, lol mbo kila kitu kwenu kero.? Mnataka nin.? Mbona nyie mna vitambi vya michemsho na bia za bure sisi hatusemi.?

Muda mwingne muwe mnaridhika mnapo gegedwa ka goli kamoja,wanaume sio sex machineee aaarghgg
 
Karucee,working out is about discipline,commitment and sacrifice.................but it justifies the end.Thanks for your remainder Precious
 
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.

Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.


But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!

Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.

Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.

Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.

Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.

Heheeee wachane mama. Bwana mwanaume fizique si unajua mtu wangu? lots love from this side
 
Back
Top Bottom