Mmmmmmmmmh!
MI NAOMBA KUKAZIA HAPO HAPO UNADE WA KINA LAZY BILLY!!!!!!!!! Wanaume wengi hususani WASOMI mnanisikitisha sanaaaaaaaa siku hizi. Mwanaume over 25 UNA MASTERS UNAOMBA OMBA HELA NYUMBANI/DEMU/WASHKAJI!!!!!!! Tufiakwaaaaaaaaaaa! Na elimuyako yote JUUUUUUU! It is simply OUTRAGEOUS!
Sawa HUJABAHATIKA KUAJIRIWA, ila sio ndo iwe LIFESTYLE! Kila siku wakalia nimeapply BOT, EWURA, GAPCO, sasa kuapply HOW DOES IT HELP YOUR FINANCIAL SITUATION? Na unajijua kabisaa P.O.BOX ya kufayiwa mchongo pande hizo HUNAAAAAAAAA!!!!!!!! Mwanaume unaishi kwa MIZINGA hadi washkaji WANAKUKWEPA!!!!!!!!!!
Kuchanika kwa jamvi SIO MWISHO WA MANGEZI! Sawa umesoma hujabaatika kuajiriwa, SO WHAT? Utakaa unangojea ajira milele na umri ndo unakutupa mkono.? Hata DILI za kimjinimjini zinakushinda kupiga ukae mjin kwa jeuri? REALLY? Hata kusema nichukue jiko apa niuze nyama, supu, na viazi kidogo, Ahaaaaaaaaa! WE MTHOMI BANA! Wakati kila wiki usingekosa kilo 2 au 3. Hata kuingia kariakoo udalalie mali, ahaaaaaaaaaa! We mthomi bana! Hata kuwa dalali wa nyumba basi, aaaaaaah! Mthomi wewe tenaaaa? Chukua mazao shamba huko, akuuuuuuuuu! Hio kazi ya layman.
MWANAUME SIO OFISI, MWANAUME WALLET! Wake up dudes! Mimi nimechoka jamani! Ukimpata msomi ujifuze kujibajet ndani ya huo mshahara ake milele na milele! They never think outside the box! WASIOSOMA SAIVI NDO WANACONTROL UCHUMI WA JIJI! It is so disappointing! Ukikaa na msomi anawaza KUKOPA anunue gari, na illiterate wa karakoo anawaza LINI ATASHUSHA COMMERCAL BUILDING even if it is the last thing he does before dying!
LAZY BILLY muace kutumia kisingizio sjaajira ndo maana sijatoka kimaisha! UKIWA NA 500,000 UKASINDWA KUIZUNGUSHA UPATE 550,000 BASI HATA UKIWA NA 50M HUTOWEZA KUIZUNGUSHA IZAE!
Nina kitambi cha kishikaji ila ***** kila demu ninayegonga lazima ajikande maji moto nakamua n.y.e.g.e zote mpaka papuchi inakuwa kavu.Wengi wanaishia kusema siamini kama ni wewe unavyoonekana na mambo yako tofauti kabisa.Siendi gym wala nini chumba changu ni gym tosha.Kitimoto siwezi acha.
You care about your well being thats why.
Congrats for that.
What do you do? Jog outside or hit the gym?
tenaupungue me na kitambi na wewe unakitambi vikojoleo vitagusanaje?
Kwa jogging hiyo peke yake mi hoi.Thanks,
I preffer working out in the morning bcoz nachoma storage fat na tumbo liko empty. Nafanya cardio na aerobics
Alhamis napiga jogging asubuhi natoka upanga mpaka sea cliff na kurudi. Jumamosi na napinga jogging kutokea mlimani city udsm ubungo, samnijoma rd back to mlimani city.
Chakula,
Asubuhi chapati ya brown moja na ndizi moja ya kuchemsha, saa 3 nakula matunda kg1.
Mchana ugali wa mhogo/dona na samaki na mboga za majani nyingiii
Jioni Yogati na matunda tu.
Maji.
Kwa siku nakunywa lita 3 na nusu.
so r u saying mwanaume kupungua ni lazima ila mwanamke ni option?
Kwa jogging hiyo peke yake mi hoi.
I cant stop laughing at 1 kg fruits. Sio nyingi?
I wish I could emulate you. Tatizo commitment na discipline sina!
Mechi za Mchangani ama
Yes ni mengi sana kwa sababu nataka tumbo yangu ijaye kusiwe na nafasi ya wanga mwingi mchana. Imagine mtu unapiga serious workout ya spining class kwa one hour then light weinght for 45 minutes unakuwa umeban sana. Mazoezi yanataka moyo sana.
Kwa jogging hiyo peke yake mi hoi.
I cant stop laughing at 1 kg fruits. Sio nyingi?
I wish I could emulate you. Tatizo commitment na discipline sina!
ndiyo nampungue na mtafute hela
Hello outstanding :biggrin1:
Naunga mkono hoja .....lol!!!!!!!!
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.
Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.
But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!
Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.
Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.
Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.
Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.