For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

Yes, am addicted to fittness I dont do only to be fit its my passion.......

You care about your well being thats why.

Congrats for that.

What do you do? Jog outside or hit the gym?
 
Mmmmmmmmmh!

MI NAOMBA KUKAZIA HAPO HAPO UNADE WA KINA LAZY BILLY!!!!!!!!! Wanaume wengi hususani WASOMI mnanisikitisha sanaaaaaaaa siku hizi. Mwanaume over 25 UNA MASTERS UNAOMBA OMBA HELA NYUMBANI/DEMU/WASHKAJI!!!!!!! Tufiakwaaaaaaaaaaa! Na elimuyako yote JUUUUUUU! It is simply OUTRAGEOUS!

Sawa HUJABAHATIKA KUAJIRIWA, ila sio ndo iwe LIFESTYLE! Kila siku wakalia nimeapply BOT, EWURA, GAPCO, sasa kuapply HOW DOES IT HELP YOUR FINANCIAL SITUATION? Na unajijua kabisaa P.O.BOX ya kufayiwa mchongo pande hizo HUNAAAAAAAAA!!!!!!!! Mwanaume unaishi kwa MIZINGA hadi washkaji WANAKUKWEPA!!!!!!!!!!

Kuchanika kwa jamvi SIO MWISHO WA MANGEZI! Sawa umesoma hujabaatika kuajiriwa, SO WHAT? Utakaa unangojea ajira milele na umri ndo unakutupa mkono.? Hata DILI za kimjinimjini zinakushinda kupiga ukae mjin kwa jeuri? REALLY? Hata kusema nichukue jiko apa niuze nyama, supu, na viazi kidogo, Ahaaaaaaaaa! WE MTHOMI BANA! Wakati kila wiki usingekosa kilo 2 au 3. Hata kuingia kariakoo udalalie mali, ahaaaaaaaaaa! We mthomi bana! Hata kuwa dalali wa nyumba basi, aaaaaaah! Mthomi wewe tenaaaa? Chukua mazao shamba huko, akuuuuuuuuu! Hio kazi ya layman.

MWANAUME SIO OFISI, MWANAUME WALLET! Wake up dudes! Mimi nimechoka jamani! Ukimpata msomi ujifuze kujibajet ndani ya huo mshahara ake milele na milele! They never think outside the box! WASIOSOMA SAIVI NDO WANACONTROL UCHUMI WA JIJI! It is so disappointing! Ukikaa na msomi anawaza KUKOPA anunue gari, na illiterate wa karakoo anawaza LINI ATASHUSHA COMMERCAL BUILDING even if it is the last thing he does before dying!

LAZY BILLY muace kutumia kisingizio sjaajira ndo maana sijatoka kimaisha! UKIWA NA 500,000 UKASINDWA KUIZUNGUSHA UPATE 550,000 BASI HATA UKIWA NA 50M HUTOWEZA KUIZUNGUSHA IZAE!

Shkamoo sana lara 1 kila siku nawaambia rafiki zangu wanabaki kuSmile na kusema "We unajua kufyt"
*********** LEGENDARY! KUBWA LA MAADUI! JESHI LA MTU MMOJA! (GET RICH OR DIE TRYING!!!!)*********
 
Last edited by a moderator:
Nina kitambi cha kishikaji ila ***** kila demu ninayegonga lazima ajikande maji moto nakamua n.y.e.g.e zote mpaka papuchi inakuwa kavu.Wengi wanaishia kusema siamini kama ni wewe unavyoonekana na mambo yako tofauti kabisa.Siendi gym wala nini chumba changu ni gym tosha.Kitimoto siwezi acha.

Promo at work
 
You care about your well being thats why.

Congrats for that.

What do you do? Jog outside or hit the gym?


Thanks,

I preffer working out in the morning bcoz nachoma storage fat na tumbo liko empty. Nafanya cardio na aerobics

Alhamis napiga jogging asubuhi natoka upanga mpaka sea cliff na kurudi. Jumamosi na napinga jogging kutokea mlimani city udsm ubungo, samnijoma rd back to mlimani city.

Chakula,

Asubuhi chapati ya brown moja na ndizi moja ya kuchemsha, saa 3 nakula matunda kg1.

Mchana ugali wa mhogo/dona na samaki na mboga za majani nyingiii

Jioni Yogati na matunda tu.

Maji.

Kwa siku nakunywa lita 3 na nusu.
 
Thanks,

I preffer working out in the morning bcoz nachoma storage fat na tumbo liko empty. Nafanya cardio na aerobics

Alhamis napiga jogging asubuhi natoka upanga mpaka sea cliff na kurudi. Jumamosi na napinga jogging kutokea mlimani city udsm ubungo, samnijoma rd back to mlimani city.

Chakula,

Asubuhi chapati ya brown moja na ndizi moja ya kuchemsha, saa 3 nakula matunda kg1.

Mchana ugali wa mhogo/dona na samaki na mboga za majani nyingiii

Jioni Yogati na matunda tu.

Maji.

Kwa siku nakunywa lita 3 na nusu.
Kwa jogging hiyo peke yake mi hoi.

I cant stop laughing at 1 kg fruits. Sio nyingi?

I wish I could emulate you. Tatizo commitment na discipline sina!
 
Kwa jogging hiyo peke yake mi hoi.

I cant stop laughing at 1 kg fruits. Sio nyingi?

I wish I could emulate you. Tatizo commitment na discipline sina!

Yes ni mengi sana kwa sababu nataka tumbo yangu ijaye kusiwe na nafasi ya wanga mwingi mchana. Imagine mtu unapiga serious workout ya spining class kwa one hour then light weinght for 45 minutes unakuwa umeban sana. Mazoezi yanataka moyo sana.
 
Yes ni mengi sana kwa sababu nataka tumbo yangu ijaye kusiwe na nafasi ya wanga mwingi mchana. Imagine mtu unapiga serious workout ya spining class kwa one hour then light weinght for 45 minutes unakuwa umeban sana. Mazoezi yanataka moyo sana.

I can imagine. Ila kuugua ugua itakuwa a thing of the past kwako. Uongo?
 
Kwa jogging hiyo peke yake mi hoi.

I cant stop laughing at 1 kg fruits. Sio nyingi?

I wish I could emulate you. Tatizo commitment na discipline sina!

Kumbe nyani haoni---------- lake dah.
 
Naona mmetuamulia, ngojeni na mimi nije kuwaamulia vitandani!! nyie si mabigwa wa kuongea ehh!
 
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.

Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.


But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!

Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.

Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.

Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.

Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.

kwan gym zimejengwa kwa ajili yetu peke yetu,nanyie tengenezeni hata shape basi,mke unakuwa umefura utafikiri maandazi ya dona na udaga yaliyo jazwa hamira..kwenye mechi goli moja tuu umeshochoka unaanza visingizio,hamko flexible hutaki kupapatuliwa wewe kifo chamende tuu,wakati kanyumba ndogo mpaka chuma mboga kanajua,hata bafuni kanakupa kwanini kwako nisije kukupiga kimoja cha kuzugia nilale zangu...

Mabadiliko yanaanza nawewe uskimbilie kutulaumu wakati wewe ndo kabisaa
 
Back
Top Bottom