For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

Aaaaaaanh kuamka tu na mipasho!!!!!!!
Haya wamekusikia "coach potatoes"!!!!!

Yupo sahihi sana hapa mjini watu wengi hawafanyi mazoezi, namshukuru Mungu huku kwetu Mivumoni kuna vimilima kidogo hivyo binafsi nimejiwekea utaratibu wa kukimbia japo Kilomita5 mara tatu kwa wiki, yaani Jumamosi, Jumapili na siku moja ya kazi nitakayoiotea eidha asubuhi nichelewe kazini au jioni niwahi kurudi home na imenisaidia napoteza uzito taratibu Mwaka 2010 nilikuwa na Kg93 kwasasa nina86 zinapungua taratibu ila hazijawahi kupanda, na yale mambo mengine yana boreka kila mwaka
 
halafu mimi nashangaa sana...wanawake siku hizi wana vitambi ati.......!
 
Keep it up buddy.
Yupo sahihi sana hapa mjini watu wengi hawafanyi mazoezi, namshukuru Mungu huku kwetu Mivumoni kuna vimilima kidogo hivyo binafsi nimejiwekea utaratibu wa kukimbia japo Kilomita5 mara tatu kwa wiki, yaani Jumamosi, Jumapili na siku moja ya kazi nitakayoiotea eidha asubuhi nichelewe kazini au jioni niwahi kurudi home na imenisaidia napoteza uzito taratibu Mwaka 2010 nilikuwa na Kg93 kwasasa nina86 zinapungua taratibu ila hazijawahi kupanda, na yale mambo mengine yana boreka kila mwaka
 
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.

Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.


But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!

Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.

Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.

Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.

Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.

Kumbe mmeo yupo hivi? Ujumbe mfikishie indirect
 
Mabinti wote wanaoongelea wanaume sijui kuvua nguo wanaonekanaje nawashangaa sana, Mmewavuaje wanaume wengi hivo kujudge kua ni wanaume wote? Kama boys wenu ni wachafu mkiwavua em waambie wajirekebishe, si mlipendana hadi kufikia mmevuana sasa mnyooshe unavoona wewe, mkisema humu JF sawa, ila huko mnavokua mnavuana mnasema? au ndio ile kimya kimya unamezea.. kama mtu ana kitambi akivua kinakuboa ulimpenda tokea mwanzoni kivipi sasa? si ungemwambia akichakachue kitoke....

Na girls wa kibongo mmekuaje na hayo matumbo? na hiyo misuli? binti instead ya kua soft anakua na misuli misuli, mwili umekomaa... Vipi imekuaje? afu mjiweke safi maana huko chini jasho na nini pako sensitive. No offense najua sio kwa girls wote, ila kwenye mazoezi wengi matumbo sijui wanakula nini
 
Japo sijakuelewa apo kwenye bold!!

Bao nane mkuu! Khaa! kulikoni?.... kupiga 8 za dakika mbili mbili au tatu tatu na kupiga bao mbili za lisaa na ushee bora kipi apo!!!! La tatu ndio usiseme.

Idadi sio kitu, bali inatakiwa KIWANGO. Lakini kiwango hakini kwa chipsi na uvivu.

Mkuu Tized yeah bao 8 na wala unakuta sikamii,inatokea tu hamu haiishi na hakuna kuchoka! Bao 1 - 3 zinaunganishwa mkuu
 
kwa mwaanume mwenye akili hili atachukua na kufanyia kazi........ alafu hawajui wakiwa na vitambi wakivua nguo wanatia kinyaaa..... mwanaume uwe smart nikimaanisha from your body language hadi uvaaji... mtu anvua nguo utafikiria mdudu kumbe mtu...

badilikeni mwanaume umeunganika kichwa huna shingo tumbo makalio mapaja manene lohhhh mmmh inatia kinyaaa

mbona kama unawasema wanawake wenzio
maana takwim zinaonyesha 78.426% ya wanawake nchin wana vitambi
 
Back
Top Bottom