For Men: Ilishawahi kukutokea?

For Men: Ilishawahi kukutokea?

hili ni tatizo kwa kweli hasa watu kama wewe, haumini katika ukweli kwa sababu we mwenyewe hujiamini na hujielewi yani kosa ni mtu kuwa na confidence na mtu wake loooh? halafu ndo nyienyie kesho mnalalamika hamna true love. YOU ARE WHAT YOU THINK

I smell the MASTER OF ALL GAMES!!!!! Na wasiwasi na huyo GF huenda ni Retired but Extremly Dangerous Pro.(REDP) Yaani ana master every move, she makes. Unaweza dhani you are playing her kumbe she is playing you!!!!!

Kitu kikiwa very PERFECT kinatiaga mashaka,especially kama ni mgeni ndo anatakiwa afanye lots of mistakes!!!!

Labda mashaka yangu tuuu! They are FEW GOOD WOMEN LEFT!!!! LOL!


Eeeeeeeeeh! Kumbe waliambiwa wanaume peke yao ndo wajibu!!!!!!!!!!! Mweeeeeee!
 
hili ni tatizo kwa kweli hasa watu kama wewe, haumini katika ukweli kwa sababu we mwenyewe hujiamini na hujielewi yani kosa ni mtu kuwa na confidence na mtu wake loooh? halafu ndo nyienyie kesho mnalalamika hamna true love. YOU ARE WHAT YOU THINK


Hahahaaaaa! SUIT YOUR SELF BY CLASSFYING ME WHERE YOU SEE FIT!!!!!!!!!
 
Jamani si ndo.maana nikamubia mwenyewe? Kama ni kizuri si twashare wote. platzoom, mwenyewe tena eeh
Afadhali Paw angekwambia, si unajua moderator wanajua kuassess

shosti laiti ungelijua sifa anayokupa platozoom ungechekelea mpaka gego la 46!!!!!

Ahsante sana charminglady kwa kulisema hili, kama ningesema mimi huenda King'asti asingeniamini.
platozoom amekufagilia kwa sana, ulitakiwa kum-hug😛hoto:😛hoto:😛hoto:
 
Last edited by a moderator:
Jamani si ndo.maana nikamubia mwenyewe? Kama ni kizuri si twashare wote. platzoom, mwenyewe tena eeh

Red.........hapo umeongea kitu adhimu "kizuri twashare wote" ...........Mashalaah King'asti nabata rakha mimi
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwa mwanamke ungenielewa navyosema good boys, they are too good for consumption, labda uwatie ndimu kidogo wachangamke lol
Khah, mwanamme hata hajawahi kimbizwa kwa ugoni
![/QUOTE]

girl.u a bad asssss!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom