Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,165
Heh, abiria chunga mzigo wako, wasipouiba wanaweza hata kuutemea mate.
Ndipo utakapoanza tafuta bahari ubungo mataa
Ndipo utakapoanza tafuta bahari ubungo mataa
Mkuu mbinu ya kumpiga GF exile ni moja ya mbinu nzuri sana ya mwanaume kuwa huru, ni kweli wakati mwingine wadada huwa wanakera maana kwa kuwa wamezoea kubembelezwa na mama au baba zao basi wanahamishia huo upendo kwako, inakeraje!!!