For Ladies:: Tujue aina za Waume Hapa

For Ladies:: Tujue aina za Waume Hapa

hahahhahhaaha Mashindano yakizid sasa inakuwa ni kuharibu kabisaaa

Sasa baba hajui weekend wala nn yeye anakuambia natoka sasa siye hatutaki kutoka mpka najiangaliaga kwenye kioo au natisha nawauliza watu kwani nipoje? Wananiambia mbona upo bomba sana jamaa tu anamichepuko
 
Sasa baba hajui weekend wala nn yeye anakuambia natoka sasa siye hatutaki kutoka mpka najiangaliaga kwenye kioo au natisha nawauliza watu kwani nipoje? Wananiambia mbona upo bomba sana jamaa tu anamichepuko

Asikupe mawazo..siku mpe mtoko hatari kwa kumkumbusha wajibu wake.maana hivi vitu vya kusubiriwa tufanyiwe navyo....!!!
 
Mwee!natamani nimpate huyo namba 10!mbona nitaenjoy.habari zako wifi yangu Everysalt?
 
Ukimpata baby andika maumivu.
Huyo visiting ni kumuandalia chumba chake tu,siku akija ku visit anakaribishwa chumba cha wageni.
Kuna mijanaume bure kabisa!!
 
Ukimpata baby andika maumivu.
Huyo visiting ni kumuandalia chumba chake tu,siku akija ku visit anakaribishwa chumba cha wageni.
Kuna mijanaume bure kabisa!!
Chumba cha wageni ???haahhahahhaa hehhehe hiyo dawa nzuri sana
 
Back
Top Bottom