Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
husika na kichwa cha habari je unaweza kupiga bao ngapi
mbwa wanauzwa popobawa,ni bull dogs bei maelewano
husika na kichwa cha habari je unaweza kupiga bao ngapi
mbwa wanauzwa popobawa,ni bull dogs bei maelewano
Ndo hapo sasa wanona ukila hizo burger na chips ndiyo umewini maisha mpaka wengine wanaona ukila ugali eti maisha yamekupiga ndiyo maana idadi ya wanawake wanao sagana inaongezeka wanaona wanaume ni michosho tu!
Majanga ya generation y.
Woow! Heri ya mwaka
dah kweli nimeamini sasa....ilipokaribia xmas ulikata mawasiliano,baada ya ckukuu kupita ndo umerudi sasa.....dah spare tairi mimi......mpaka wengine wapate pancha ndo nitumike
Heheheeee...looh! Bora nikunyamazie nisimwage mchele kwenye kuku wengi mana....
habari ya hapa! Nimepitwa na lipi?
Ndo hapo sasa wanona ukila hizo burger na chips ndiyo umewini maisha mpaka wengine wanaona ukila ugali eti maisha yamekupiga ndiyo maana idadi ya wanawake wanao sagana inaongezeka wanaona wanaume ni michosho tu!
Majanga ya generation y.
Mr Rocky rafiki hii nimeipenda hii safi sana maanake tunachoka jamani looohhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!
Hapa kweli madawa yamechanganywa yakachanganyika,aisee bei ya kuanzia wanauzajembwa wanauzwa popobawa,ni bull dogs bei maelewano
Miss vip tena... mi nliona kama inatuhusu sisi (ME)... sasa inakuwaje we unapiga saba per day..? Hateree! na nyie kumbe mnafunga!!!...saba per day
mwe!!!hao kuku kawaleta nani humu?kwani uongo?si ndo umerudi leo?
na mengi tu!! Hebu mjibu mdogo ako hapo juu
mi sielewi ni bao gani hizo anamaanisha. We umemuelewaje