minimum mimi huwa napiga sita per day.
saba per day
hahahahaha unapotezea siohiyo ni kawaida sana kwenye netball. mtu mmoja anaweza kufunga hata mabao 30 katika mechi moja...
mydia miss chagga siku hizi unasoma kichina? sikupati pati kwenye maandishi yakoza kitandani we ujui na wewe kwani mada ujasoba sasa me napiga sanba ni nouma
aisee pamoja sana mkuu Mr Rocky mwaka huu unaogawanyika kwa mbili naona utakuwa poa. maana 2013 kwa kweli nilisahaulika sana katika waiting list ya muumba kwa upande wa mafanikio.
Muumba huwa hazuii mafanikio ya mtu!
Labda hukuweka jitihada za kutosha; kumtanguliza muumba kwenye kila ufanyalo ni muhimu lakini!
Badala ya kujadili kupanda kwa umeme wewe unaleta Mapenz hapa kuwa uyaone.
hahahahaha unapotezea sio
mbutaa! Kiruu utaua.saba per day
mbutaa! Kiruu utaua.