for jf guys only: unaweza kupiga bao ngapi

for jf guys only: unaweza kupiga bao ngapi

husika na kichwa cha habari je unaweza kupiga bao ngapi

Unafanya research? Kupiga bao ngapi kwa time frame ipi? Mbona unauliza maswali ambayo majibu kupata ni kazi,uliza maswali kama mtu anayejitambua au wewe ni Gogle ?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Comrade kuna swali ambalo mpaka leo sijui jibu lake. NI kwanini Interhamwe waliwaua watutsi? kwanini hili swali tunakwepa kila mara kutafuta au kueleza majibu yake?

Hawa jamaa machinjachinja tukielewa akili zao ndio tunaweza kudeal nao vizuri, kila siku tunasema watutsi watutsi watutsi, why are we not talking of interhamwe?

Mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 yaliasisiwa na wahutu ikiwa no njia ya kulipiza kisasi cha udharirishwaji wa miaka mingi waliofanyiwa na watutsi. Wahutu walifanywa kuwa watwana tangu enzi za ukoloni wa wabelgiji huku watutsi wakiwa ndo mabwana mkubwa.
 
husika na kichwa cha habari je unaweza kupiga bao ngapi

Inategemea na aina ya pasi, crosi ama majalo nitakayoletewa ndani ya box, Na bila kusahau ahadi ya zawadi kutoka kwa viongozi .
 
watu kwa kuigana bana....usiogope mkuu ndo jf hiyo....ukianzisha thread mtu flani akicoment utumbo wote wanamuiga ndo vijana wa kibongo tulivyo...kama swali la kitoto mtu anaejitambua unapotezea sio kejeli na nini...? wabongo bana
 
Malafyale inaonesha hata hujaelewa swali kabisa anyway sio kosa lako like father. like son nahis una uchiz flan kaulize kwa dingi kama alipiga tungi au bangi wakati anakutengeneza na je ulipokuwa kiumbe kamili kaulize kwa mom kama alikuzaa bar au. tunasubir
 
Back
Top Bottom