for jf guys only: unaweza kupiga bao ngapi

for jf guys only: unaweza kupiga bao ngapi

Pweza ,ngisi na supu yao kila siku vinafunguliwa .hv bei haishuki
 
Mkuu Asprin Man U kwa sasa ni shidaa ni majanga
Kama una pressure au BP usiende kuangalia mechi ya Man u unawez akufa bure
Wanasema Man u inazidi kushuka chini na huko inaweza kuvumbua oil na gas tusubiri tuone

Mkuu upo?
 
Last edited by a moderator:
utakuwa pembeni yangu?

Ndiyo maana yake!
Ratiba zako zikiruhusu just inform me nianze mapema kuondoka Kyela kuja Dar!Itakuwa mara yangu ya 2 sasa kufika Dar! Nije kuona tena stand ya Ubungo na yale mataa yake ya barabarani mweee!
 
juzi timu yetu ilicheza na kifaurombe, mi mwenyewe nlifunga 14
 
okey count me in....
Ndiyo maana yake!
Ratiba zako zikiruhusu just inform me nianze mapema kuondoka Kyela kuja Dar!Itakuwa mara yangu ya 2 sasa kufika Dar! Nije kuona tena stand ya Ubungo na yale mataa yake ya barabarani mweee!
 
aisee pamoja sana mkuu Mr Rocky mwaka huu unaogawanyika kwa mbili naona utakuwa poa. maana 2013 kwa kweli nilisahaulika sana katika waiting list ya muumba kwa upande wa mafanikio.

Naamini umeanza na maombi DEMBA na naamini Mungu atakufanikisha kwa yote
 
Last edited by a moderator:
Inategemea na mechi yenyewe kama ni rahisi ni kama jana man city alivopiga goli sita na kama timu mbovu kama man u ila jina ni kubwa basi nashinda mbili moja au moja bila na uwanja pia unahusika kama ni mzuri basi goli nyingi tu nashindaga..
 
Kwahiyo mashabiki wa Man U tuwakaribishe Liverpool? Sisi huwa hatutembei peke yetu.
Wenye ugonjwa wa kuhama hama Ni mashabiki wa Arsenal,Man U hata tukishika mkia tunahuzunika pamoja.
Forever United.
 
Back
Top Bottom