for jf guys only: unaweza kupiga bao ngapi

for jf guys only: unaweza kupiga bao ngapi

Ewaaa! wewe sasa ndo umekuja kumaliza tatzo maana tulitaka tuanze kumrushia mawe muda si mrefu,mimi naendelea vizuri kwakweli sijui kwako mkuu!
Daudi1 maswali gani hayo mkuu ya kuulizana mabao sijui ya mpira wa pete au kikapu au wa miguu au wa volleyball au wa nini mkuu
Safi sana mkuu maisha yanasonga tunamshukuru Mungu sana
 
Last edited by a moderator:
husika na kichwa cha habari je unaweza kupiga bao ngapi


[TABLE="class: outer_border, width: 700, align: left"]
[TR]
[TD]inategemeana na namba unayocheza, hali ya mchezo, mood uliyonayo na mazingira pia! unaweza toka droo ama ukapiga hati triki, ama ukapigwa wewe!! teh!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
mwenzenu ataka kujua unapiga ngapii mmekimbia swali aya bwana
Akishajua hiyo itamsaidia nini sasa kama bao napiga mimi hata nikisema napiga saba kama ww atataka kuiga wkt msosi anashindia chips mayai,siju pizza na makolokolo maengine ataishia kupiga moja tu nalo kwa shida
 
Kweli asee,

Hebu nipe matokeo ya Man U vs Swansea.


Mkuu Asprin Man U kwa sasa ni shidaa ni majanga
Kama una pressure au BP usiende kuangalia mechi ya Man u unawez akufa bure
Wanasema Man u inazidi kushuka chini na huko inaweza kuvumbua oil na gas tusubiri tuone
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky mimi nilirudi last week nilikotumwa na Kaisari so nipo kwa ofisi kaka.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Asprin Man U kwa sasa ni shidaa ni majanga
Kama una pressure au BP usiende kuangalia mechi ya Man u unawez akufa bure
Wanasema Man u inazidi kushuka chini na huko inaweza kuvumbua oil na gas tusubiri tuone

Kwahiyo mashabiki wa Man U tuwakaribishe Liverpool? Sisi huwa hatutembei peke yetu.
 
Last edited by a moderator:
Daudi1 maswali gani hayo mkuu ya kuulizana mabao sijui ya mpira wa pete au kikapu au wa miguu au wa volleyball au wa nini mkuu
Safi sana mkuu maisha yanasonga tunamshukuru Mungu sana
Bwana weee! ameshindwa kuwajibika huko amepiga kamoja sasa anataka kuja kupata confidance humu hawa watoto wanashida kweli
 
husika na kichwa cha habari je unaweza kupiga bao ngapi

Swali zuri sana hilo kama ungeanzia nyumbani kwenu kuuliza kwa baba yako!

Kiustarabu kabisa muulize"Baba siku upo fit hauumwi wala hauna stress unaweza piga bao ngapi kwa Mama?"!Mkuu usisahau kutuletea jibu!
 
Swali zuri sana hilo kama ungeanzia nyumbani kwenu kuuliza kwa baba yako!

Kiustarabu kabisa muulize"Baba siku upo fit hauumwi wala hauna stress unaweza piga bao ngapi kwa Mama?"!Mkuu usisahau kutuletea jibu!
Am off!!!!!
 
Nimeonja pendo nkajua umwema,nitakushukuru,nitakutukuzaaaaa,nikusifu weweweee*2! Wanajf simameni mkapige makofiii (rudia kiitikio)
 
Umeme umepanda kwa asilimia 80
Au baba na mama wanalipa?
 
Mr Rocky mimi nilirudi last week nilikotumwa na Kaisari so nipo kwa ofisi kaka.
pambana mkuu Mkirua maana nafasi ni hii kwa sasa na huyo Kaisari wako mchungu kweli hata kukupa nafasi ya kwenda kuoja hali ya hewa ambayo haijachafuliwa kakunyima

Kwahiyo mashabiki wa Man U tuwakaribishe Liverpool? Sisi huwa hatutembei peke yetu.

Mhhh huko mkuu Asprin hatuji tutaisubiri Man U ikishavumbua oil na gas huko chini kabisa tutafaidika

Bwana weee! ameshindwa kuwajibika huko amepiga kamoja sasa anataka kuja kupata confidance humu hawa watoto wanashida kweli
Daudi1 matatizo ya kula chips mayai na burger na pizza hayo watoto ukiwaambia kula ugali wanasema hawawezi tumbo litauma hawajazoea chakula kigumu
Sasa ukubwani anakuja kujikuta bao moja hoi anahema kama katika kukimbia marathon
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Swali zuri sana hilo kama ungeanzia nyumbani kwenu kuuliza kwa baba yako!

Kiustarabu kabisa muulize"Baba siku upo fit hauumwi wala hauna stress unaweza piga bao ngapi kwa Mama?"!Mkuu usisahau kutuletea jibu!
duuuh harudii tena
 
Back
Top Bottom