The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 258
Ni ujinga eti kuuliza eti national anthem ya Jamaika eti ipo kwa rythm gani..
Hahahah..The PriestNi ujinga kuiga idea ya wakenya afu wakajua na kutuona sisi watz ndio wajinga
Ujinga NI - Wall | Facebook
Rejao ndio hivyo afu adm wa hiyo page akaanzisha post eti"watanzania nao wameiga ujinga wa wakenya" kumbe jamaa nao wanaingia humu Jf..hahahahHahahah..The Priest
Kumbe hii kitu ni ya wakenya?
Nilifikiri jamaa kaja na bonge ya Idea..kumbe mambo ya facebook!!!
hahah usijali jaguar labda ni wao ndio wameiga kwetu..emu sema we umetoa wapi jii idea mkuu.Ni ujinga kuamini kwamba kila joke inayokuja hapa mtunzi ni mwandishi wa thread husika.
There is this popular saying in soccer,"The English invented it,the Brazilians perfected it",who is superior?is it the one who invented it or the one who perfected it?
Nimekusoma mkuu,but what matters is not how you start but how you finish!so i'm on the side of who perfected it!The inventor is superior one as without the invention there wouldn't be perfection of any sort.....
Ila ni ujinga kubishana juu ya nani kaanzisha ujinga...hahahaha!!
Nimekusoma mkuu,but what matters is not how you start but how you finish!so i'm on the side of who perfected it!
the one who perfected it...by the way hata hizi zote bado ni ujinga kubadili maana ya thread iliyokuwa mwanzo,turudi kwenye ujinga zingine.There is this popular saying in soccer,"The English invented it,the Brazilians perfected it",who is superior?is it the one who invented it or the one who perfected it?