Ujinga nikuishabikia man wanaojiita mashetani wekundu inamaana unashabikia shetani
Nimeipenda hii mtu anajistukia kuibiwa akat hana kitu mfukoni.* ni ujinga kunyan'ganyiana daladala mlangoni, baadae mnajikuta nyote mmepata seat
* ni ujinga kubipu upigiwe, then ukipigiwa hupokei
* ni ujinga kumshuku mtu anataka kukuibia njiani, wakati mifuko yako hamna kitu
* ni ujinga kuvaa saa ya mkononi iliyosimama, ukiulizwa mda je ?
* ni ujinga kuvaa kimini/kitopu, halafu uko bizi kujifunika maeneo yaliyo wazi
heh
Ni ujinga kuishangaa Madrid kufungwa 1-0 ugenini kwa Levante wakati Barca ilishawahi pigwa 2-0 na newly promoted hercules tena barca wakiwa home.ni ujinga kusema barca imedraw na kitimu kidogo wakati real madrid ilifungwa 1-0 na levante!
Ni ujinga kila daladala kipanya kuiita Hiace(haisi) wakati hiace ni aina mojawapo ya mabasi madogo.
Ni ujinga kuishangaa Madrid kufungwa 1-0 ugenini kwa Levante wakati Barca ilishawahi pigwa 2-0 na newly promoted hercules tena barca wakiwa home.
haha haaa mi nimependa hii... watu wanashabikia shetani..