pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,594
- 2,981
Njia za kupunguza foleni ni
3) Makosa ya usalama barabarani yasilipishwe faini, askari wa usalama barabarani wakae na marungu, kosa dogo wavunje endiketa, linalozidi taa za mbele, kosa kubwa kioo na kuendelea. Na ukivunjiwa taa, askari wa mbele unakokwenda akikushika, anakuvunjia nyingine.
.
Hapo naamini unatania ndugu yangu - maana hilo likitendeka tutaendeleza utawala wa kiimla.