mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Wanabodi,,
Mwalimu, alijenga hoja, alifafanua na kufundisha, hakuwa na mipasho na ushabiki wa vyama vya siasa.
Uzalendo ni kuipenda nchi yako, na hiyo haimaanishi kuipenda serikali. Serikali sio nchi. Serikali ni kikundi cha watu wenye nguvu ya kuwaletea wananchi maendeleo au umasikini, kutegemea na utashi na/au malengo ya kikundi hiko. Na usisahau, viongozi wa kisiasa na nguo za ndani wanapaswa kubadilishwa Mara kwa mara, kwa sababu zinazofanana.
KatiKa Vitu Ambavyo Magufuli Amepungukiwa Ni Kushindwa Kujizuia Kusema Anachofikiri Ni Sahihi Kwakuwa Kama Binadamu Sio Wakati Wote Atakua Sahihi
Kuweka Akiba Ya Maneno Ni Sifa Muhimu Sana Kwa Kiongozi Ambaye Ni Mkuu Wa Nchi, Rais Wa Nchi Hapaswi Hata Kuhisiwa Kuwa Na Sifa Ya UROPOKAJI
Tunaweza kutofautiana sera na itikadi, lakini mambo ya msingi kama uzalendo na kuulinda uhai wa watanzania ni lazima.
Kwamba maendeleo hayana chama, wakati watendaji wa serikali wamefungamana na CCM na mipasho ya CCM inaendelea ni kupotosha.
Aliyepita Alituambia Foleni Ni Ishara Ya Maisha Bora, Huyu Anatuambia Bombadia Ni Ishara Ya Mapato Kuongezeka, Hivi Tulimkosea Nini Mungu?
Rejea hapa kauli ya Kikwete; Foleni za magari ni maisha bora - Kikwete
mr mkiki.
Mwalimu, alijenga hoja, alifafanua na kufundisha, hakuwa na mipasho na ushabiki wa vyama vya siasa.
Uzalendo ni kuipenda nchi yako, na hiyo haimaanishi kuipenda serikali. Serikali sio nchi. Serikali ni kikundi cha watu wenye nguvu ya kuwaletea wananchi maendeleo au umasikini, kutegemea na utashi na/au malengo ya kikundi hiko. Na usisahau, viongozi wa kisiasa na nguo za ndani wanapaswa kubadilishwa Mara kwa mara, kwa sababu zinazofanana.
KatiKa Vitu Ambavyo Magufuli Amepungukiwa Ni Kushindwa Kujizuia Kusema Anachofikiri Ni Sahihi Kwakuwa Kama Binadamu Sio Wakati Wote Atakua Sahihi
Kuweka Akiba Ya Maneno Ni Sifa Muhimu Sana Kwa Kiongozi Ambaye Ni Mkuu Wa Nchi, Rais Wa Nchi Hapaswi Hata Kuhisiwa Kuwa Na Sifa Ya UROPOKAJI
Tunaweza kutofautiana sera na itikadi, lakini mambo ya msingi kama uzalendo na kuulinda uhai wa watanzania ni lazima.
Kwamba maendeleo hayana chama, wakati watendaji wa serikali wamefungamana na CCM na mipasho ya CCM inaendelea ni kupotosha.
Aliyepita Alituambia Foleni Ni Ishara Ya Maisha Bora, Huyu Anatuambia Bombadia Ni Ishara Ya Mapato Kuongezeka, Hivi Tulimkosea Nini Mungu?
Rejea hapa kauli ya Kikwete; Foleni za magari ni maisha bora - Kikwete
mr mkiki.