Kukataza pikipiki kwenda mjini, ni akili za kiafrika wala foleni haiwezi kupungua

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
KATAZO LA PIKIPIKI KUINGIA MJINI ILA KWA KIBALI MAALUM, JE HICHO KIBALI KINARUHUSU HIYO PIKIPIKI KUFANYA BIASHARA MJINI.

Watu wanaenda mjini kwa pikipiki na baiskeli ili kupunguza foleni, ila sisi bila sababu tunataka pikipiki na baiskeli ndo walipie vibari vya kuingia mjini.

Wenzetu wenye Magari binafsi ndo wanalipia kuingia mjini ili kupunguza foleni. Hata huku ilitakiwa wenye magari binafsi wapande mabasi ya mwendo kasi

Jana majira ya saa kumi na moja(July 6 2018)barabara ya Nyerere kabla ya kituo cha basi cha Kamata, kuna mkulima alishikiliwa pikipiki yake mpya aliyotoka kununua punde tu Kariakoo, wakaipakia kwenye suzuki carry kuipeleka karakana ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA )
TUKIO LIMENIPELEKEA KUWAZA KWA SAUTI

1)Kariakoo pana maduka mengi ya pikipiki, je ni njia gani iliyo ainishwa ya kuzitoa mjini baada ya kuuzwa.

2)Inakuja je kuvizia pikipiki za kukamata pale Darajani na kwenye ukuta wa Shule wasichana ya Jangwani, ingali mbele atua chache baada ya kituo cha zima moto Kuna kijiwe cha bodaboda.
 
Haya ndo madhara ya kupata madaraka kupitia waganga wa kienyeji.

Hekima ya Mungu Mwenyezi haitaonekana kwao
 
KATAZO LA PIKIPIKI KUINGIA MJINI ILA KWA KIBALI MAALUM, JE HICHO KIBALI KINARUHUSU HIYO PIKIPIKI KUFANYA BIASHARA MJINI.

Watu wanaenda mjini kwa pikipiki na baiskeli ili kupunguza foleni, ila sisi bila sababu tunataka pikipiki na baiskeli ndo walipie vibari vya kuingia mjini.

Wenzetu wenye Magari binafsi ndo wanalipia kuingia mjini ili kupunguza foleni. Hata huku ilitakiwa wenye magari binafsi wapande mabasi ya mwendo kasi

Jana majira ya saa kumi na moja(July 6 2018)barabara ya Nyerere kabla ya kituo cha basi cha Kamata, kuna mkulima alishikiliwa pikipiki yake mpya aliyotoka kununua punde tu Kariakoo, wakaipakia kwenye suzuki carry kuipeleka karakana ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA )
TUKIO LIMENIPELEKEA KUWAZA KWA SAUTI

1)Kariakoo pana maduka mengi ya pikipiki, je ni njia gani iliyo ainishwa ya kuzitoa mjini baada ya kuuzwa.

2)Inakuja je kuvizia pikipiki za kukamata pale Darajani na kwenye ukuta wa Shule wasichana ya Jangwani, ingali mbele atua chache baada ya kituo cha zima moto Kuna kijiwe cha bodaboda.
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni mkuu.. Hizi sheria ni za ajabu sana. Nakumbuka hata mimi 3 years ago nilidakwa na askari daraja la salender baada ya kutoka kununua pikipiki kariakoo, nikawaonyesha documents zote na risiti lakini walidai kuwa nilipaswa kuwa na kibali maalum cha kuendesha pikipiki mjini, la sivyo eti nilipe faini au pikipiki yangu wabaki nayo.
Niliwakatalia katu katu wakanipeleka kituoni salender. Tulipofika kituoni Bahati nzuri mkubwa wao alikuwa akitoka ofisini na kunikuta nje najibishana na askari wake, na aliponisikiliza akagundua sina kosa, ndio akaniruhusu nikaonda.
Sitaweza kusahau ukatili niliofanyiwa siku hiyo. Nilikasirika sana.
 
KATAZO LA PIKIPIKI KUINGIA MJINI ILA KWA KIBALI MAALUM, JE HICHO KIBALI KINARUHUSU HIYO PIKIPIKI KUFANYA BIASHARA MJINI.

Watu wanaenda mjini kwa pikipiki na baiskeli ili kupunguza foleni, ila sisi bila sababu tunataka pikipiki na baiskeli ndo walipie vibari vya kuingia mjini.

Wenzetu wenye Magari binafsi ndo wanalipia kuingia mjini ili kupunguza foleni. Hata huku ilitakiwa wenye magari binafsi wapande mabasi ya mwendo kasi

Jana majira ya saa kumi na moja(July 6 2018)barabara ya Nyerere kabla ya kituo cha basi cha Kamata, kuna mkulima alishikiliwa pikipiki yake mpya aliyotoka kununua punde tu Kariakoo, wakaipakia kwenye suzuki carry kuipeleka karakana ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA )
TUKIO LIMENIPELEKEA KUWAZA KWA SAUTI

1)Kariakoo pana maduka mengi ya pikipiki, je ni njia gani iliyo ainishwa ya kuzitoa mjini baada ya kuuzwa.

2)Inakuja je kuvizia pikipiki za kukamata pale Darajani na kwenye ukuta wa Shule wasichana ya Jangwani, ingali mbele atua chache baada ya kituo cha zima moto Kuna kijiwe cha bodaboda.


Sababu ya kukataza pikipiki kuingia mjini siyo foleni bali ni kuondoa chaos ya bodaboda huko kwa wadosi, fikiria bodaboda waanze kupiga misele yao huko kama wafanyavyo kwenu migomigo huo hautakuwa mji.

Hivyo hiyo ndo sababu kuu kwa maoni yangu kwani hata hiace haziruhusiwi pia bali wanataka mabasi ya kistaarabu kwani huko huenda wastaarabu!
 
Rais anaingiaje hapo ? Nafikiri mamlaka za jiji ndio zinazo husika kuweka sheria ndogo, !

Mamlaka za chini zipo kwake na anabariki wayafanyayo, je kuruhusu machinga wazagae ovyo ovyo kubungudhi wafanyabiashara wakubwa ilhali hawalipi kodi, hawana leseni wala mashine za EFD unaona nayo ni akili? Jua na wa chini yake wanafanya ya h. Ov. Y. O kama mkubwa wao.
 
KATAZO LA PIKIPIKI KUINGIA MJINI ILA KWA KIBALI MAALUM, JE HICHO KIBALI KINARUHUSU HIYO PIKIPIKI KUFANYA BIASHARA MJINI.

Watu wanaenda mjini kwa pikipiki na baiskeli ili kupunguza foleni, ila sisi bila sababu tunataka pikipiki na baiskeli ndo walipie vibari vya kuingia mjini.

Wenzetu wenye Magari binafsi ndo wanalipia kuingia mjini ili kupunguza foleni. Hata huku ilitakiwa wenye magari binafsi wapande mabasi ya mwendo kasi

Jana majira ya saa kumi na moja(July 6 2018)barabara ya Nyerere kabla ya kituo cha basi cha Kamata, kuna mkulima alishikiliwa pikipiki yake mpya aliyotoka kununua punde tu Kariakoo, wakaipakia kwenye suzuki carry kuipeleka karakana ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA )
TUKIO LIMENIPELEKEA KUWAZA KWA SAUTI

1)Kariakoo pana maduka mengi ya pikipiki, je ni njia gani iliyo ainishwa ya kuzitoa mjini baada ya kuuzwa.

2)Inakuja je kuvizia pikipiki za kukamata pale Darajani na kwenye ukuta wa Shule wasichana ya Jangwani, ingali mbele atua chache baada ya kituo cha zima moto Kuna kijiwe cha bodaboda.

walio pewa wakuongoze wewe unajua uwezo wao wakufikiri ufikilii kama wewe unayeongozwa
 
Sababu ya kukataza pikipiki kuingia mjini siyo foleni bali ni kuondoa chaos ya bodaboda huko kwa wadosi, fikiria bodaboda waanze kupiga misele yao huko kama wafanyavyo kwenu migomigo huo hautakuwa mji.

Hivyo hiyo ndo sababu kuu kwa maoni yangu kwani hata hiace haziruhusiwi pia bali wanataka mabasi ya kistaarabu kwani huko huenda wastaarabu!
Kwa hiyo polisi wakishindwa kusimamia effectively wenye pikipiki, na hii inachangiwa na wao kuwa bize na issues za kipuuzi za siasa na kuacha role yao kuu ya kusimamia usalama wa raia, dawa ni kuzuia piki piki? Niliwahi kufika mji mkuu wa Nepal (Karthmandou) kuna pikipiki nyingi sanaa but kila mtu anafuata sheria.
 
Kwa hiyo polisi wakishindwa kusimamia effectively wenye pikipiki, na hii inachangiwa na wao kuwa bize na issues za kipuuzi za siasa na kuacha role yao kuu ya kusimamia usalama wa raia, dawa ni kuzuia piki piki? Niliwahi kufika mji mkuu wa Nepal (Karthmandou) kuna pikipiki nyingi sanaa but kila mtu anafuata sheria.


Kwanza pikipiki siyo chombo cha kubebea abiria hakijatengenezwa kwa madhumuni hayo ni kwamba tunalazimisha tu ili kupunguza ajira.
 
Kwanza pikipiki siyo chombo cha kubebea abiria hakijatengenezwa kwa madhumuni hayo ni kwamba tunalazimisha tu ili kupunguza ajira.
Sema pikipiki hairuhusiwi kubeba zaidi ya abiria mmoja ( yaani mishikaki).... Lakini ikiwa traffic wameshindwa kuzuia daladala, mabasi etc yasijaze ndo wataweza kuzuia mishikaki? Halafu siyo wote wenye pikipiki wanaoingia mijini kati ni bodaboda... Inaweza kuwa mfanyakazi kampakia work mate wake wanawahi zao kazini.
 
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni mkuu.. Hizi sheria ni za ajabu sana. Nakumbuka hata mimi 3 years ago nilidakwa na askari daraja la salender baada ya kutoka kununua pikipiki kariakoo, nikawaonyesha documents zote na risiti lakini walidai kuwa nilipaswa kuwa na kibali maalum cha kuendesha pikipiki mjini, la sivyo eti nilipe faini au pikipiki yangu wabaki nayo.
Niliwakatalia katu katu wakanipeleka kituoni salender. Tulipofika kituoni Bahati nzuri mkubwa wao alikuwa akitoka ofisini na kunikuta nje najibishana na askari wake, na aliponisikiliza akagundua sina kosa, ndio akaniruhusu nikaonda.
Sitaweza kusahau ukatili niliofanyiwa siku hiyo. Nilikasirika sana.
polisi tanzania ni viumbe wenye akili duni duniani
 
Ukinunua pikipiki mjini unatakiwa usiiendeshe bali uipakie kwenye gari utoke nayo mjini ikiwa imepakiwa...

Ila kwa sasa uhalifu wa kutumia pikipiki mjini umepungua sana... zamani ilikua kero aisee...


Cc: mahondaw
 
Tatizo sheria inaweza kuwa Nzuri ila wakati wa utekelezaji inawekewa ugumu mwingi ili kuhalalisha upigaji hadi inapoteza maana. sasa Unaanzaje kumlipisha faini mtu aliyetoka kununua pikipiki!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom