Foleni za Huduma NMB ni ujinga mtupu

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,519
86,070
Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa.

Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma.

Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana Nikawa Kibaha NMB, foleni kubwa na Huduma mbovu, Leo tena hivyo hivyo.
IMG_20231230_103950.jpg
 
Hapo umenena. Yaani utaona counter na dawati la maulizo kuna mtu mmoja au wawili. Wengine wako busy na shughuli zingine kabisa.

Kwanini wasiweke nguvu kwenye kuhudimia wateja au waongeze wafanyakazi maana kila siku wanajisifu wameoata faida ya mwaka ya 100%.

Nenda Mlimani City, Chuo Kikuu, Sinza, etc kwote ni sawa.
 
Tarehe hizi hujui mzee kuna nini NMB... Njoo NMB kuanzia tarehe 10 hadi 19 uenjoy chap tu..
Pamoja na tarehe, benki nyingi sana wanaboa pale mnapokuwa kwenye foleni ndefu halafu teller moja tu ina mtu, nyingine zote tupu..!! Sasa sijui wale ma-bank teller huwa wanakuwaga wapi..!!

Cha kuudhi zaidi ni kwamba akija ndugu au rafiki wa bank teller, anaitwa straight..!! Halafu ma-branch manager wapo nao wanaziangalia tu hizo foleni..!!
 
Hapo umenena. Yaani utaona counter na dawati la maulizo kuna mtu mmoja au wawili. Wengine wako busy na shughuli zingine kabisa.

Kwanini wasiweke nguvu kwenye kuhudimia wateja au waongeze wafanyakazi maana kila siku wanajisifu wameoata faida ya mwaka ya 100%.

Nenda Mlimani City, Chuo Kikuu, Sinza, etc kwote ni sawa.
Ewaaaaaa, wako hapa wanaingia na kutoka Tu mlango mmoja kwenda mwingine, nimemaliza one hour kwa foleni ya watu wasiozidi nane
 
Jana pale Kibaha NMB ilibidi nitumie njia ya mkato kuhudumiwa japo haikua Sahihi. Sikua na namna vinginevyo ningekesha
Pole aisee..!! Mimi ilishawahi nikuta NBC Mbagala branch..!! Kwakweli nilishindwa kuvumilia..!! tulikuwa kweny foleni ndefu na huku kuna teller moja tu ipo kazini, nyingine zote hazina bank teller. Cha kuudhi akaja rafiki wa bank teller akamwita straight mbele yetu, wallah nilishindwa kuvumilia.. !! Nikamwambia yule bank teller kwamba anachokifanya siyo sawa..!! Tukamaindiana pale lakini mwisho bank teller wengine wakaongezeka ndo ikawa nafuu yetu..!!
 
Hapo umenena. Yaani utaona counter na dawati la maulizo kuna mtu mmoja au wawili. Wengine wako busy na shughuli zingine kabisa.

Kwanini wasiweke nguvu kwenye kuhudimia wateja au waongeze wafanyakazi maana kila siku wanajisifu wameoata faida ya mwaka ya 100%.

Nenda Mlimani City, Chuo Kikuu, Sinza, etc kwote ni sawa.
Nchi nyingine wamepunguza kabisa matawi ya benki na wafanyakazi. Mambo karibu yote yanafanyika online. Inatakiwa benki za Tanzania ziwe na mwelekeo huu. Anyways najua pengine mazingira yetu hayaruhusu jambo kama hili kufanyika kwa sasa, ila serikali ikubali kuwa kuwa na database ya raia wote na mtandao wa interenet unaoaminika mambo mengi yanakwama.
 
Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa.

Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma.

Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana Nikawa Kibaha NMB, foleni kubwa na Huduma mbovu, Leo tena hivyo hivyo. View attachment 2857280
Hizi banks kubwa TZ si wamejazana wahaya na wachaga tu. Watu wanakula sikukuu bwasheee
 
Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa.

Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma.

Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana Nikawa Kibaha NMB, foleni kubwa na Huduma mbovu, Leo tena hivyo hivyo. View attachment 2857280
Sio mbaya mkihamia benki nyingine zinazojitambua kama ABSA, STanbic< Maendeleo na nyinginezo.
 
Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa.

Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma.

Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana Nikawa Kibaha NMB, foleni kubwa na Huduma mbovu, Leo tena hivyo hivyo. View attachment 2857280
Kwa leo tangu saa 2 asubuhi kulikuwa na tatizo la network NMB zote. Hii ilifanya huduma za ndani zisimame kwa muda na kurejea saa 4 asubuhi.
Hali hii ilisababisha foleni kwa muda ila baadae hali ilitengemaa
 
Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa.

Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma.

Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana Nikawa Kibaha NMB, foleni kubwa na Huduma mbovu, Leo tena hivyo hivyo. View attachment 2857280
Wafanyakazi wa NMB wanamiliki NMB wakala zilizo karibu na Benk wanazofanyia kazi!! So wana slow down huduma mwenda kwenye vibanda vyao wapige faida!! This is capitalism, Nyerere alituchelewesha
 
NMB inatumia njia ya kuhodhi mamlaka na kujipatia faida lukuki. Pensheni zote za umma lazima zipitie NMB - KWANINI? Kwanini wastaafu wasipewe haki ya kuchagua benki wazipendazo badala ya kulazimishwa na NMB?

Halafu NMB inatoza malipo eti ya kadi kila mwezi pamoja na huduma ya mtandao. Kuna benki nyingi hapa nchini hazina tozo kama NMB. Huu ni wizi. Halafu wanasema eti NMB inaongoza
 
Back
Top Bottom