Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Leo ni mara ya nne nimesafiri mpaka benki ya TCB iliyoko kwenye majengo ya Shirika la Elimu Kibaha kupata huduma za kibenki.
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwaambia uongozi wa hii benki, watupie jicho lao kurekebisha dosari nyingi za hii benki kabla mambo hayajaharibika.
Machache niliyozoea kuyakuta.
1. Very Poor Customer Care. Yani ni jambo la kawaida sana kwa wafanyakazi wa hii benki kupita bila kuzungumza na wewe au kuwasemesha wakiwa kwenye viti vyao na wao kukunyamazia kimya wakiwa Bize na simu zao. Yani hawajali kabisa.
2. Kwenye Counter yao iliyopo sambamba na dirisha la Posta, ni kawaida sana mteja kuwa kwenye foleni na Cashier kuwa Bize kuongea na simu. Yani hajali muda wa kabisa wa mteja wala hashtuki mteja kutumia muda mrefu kwenye queue.
Mbaya zaidi Wafanyakazi wa benki wenyewe hufika kwenye Counter wakati Cashier yupo na mteja na kuanza mazungumzo na mbaya zaidi ni mazungumzo binafsi yanayochukua mpaka dakika tano
3. Kubwa kuliko yote ni pale umeme unapokatika. Computer ya Cashier haina UPS. Umeme ukikatika na Kompyuta ya Cashier inazimika. Aibu iliyoje hawana Standby Generator. Ni mpaka mtu anaitwa Manumba sijui ndio akaiwashe. Akiwa hayupo mtakaa hapo kusubiri mpaka aje aiwashe. Kwa siku ya leo tumesubiri kwa zaidi ya masaa mawili ili jenereta liwashwe. Ni aibu kwa kweli.
Ni aibu mno kwa benki kubwa kama hii kuwa na huduma mbovu kama hizi.
Na wafanyakazi hawaonyeshi kujali. Huenda viongozi wa hii benki hawana taarifa ya kinachoendelea hapa kwenye tawi lao la pekee hapa Kibaha. Imagine mteja ana haraka zake tawi lipo tumbi mteja anatoka kwa Mathiasi, au Maili moja anakuja kukutana na vituko kama hivi.
Benki ya Posta Kibaha MJIREKEBISHE.
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwaambia uongozi wa hii benki, watupie jicho lao kurekebisha dosari nyingi za hii benki kabla mambo hayajaharibika.
Machache niliyozoea kuyakuta.
1. Very Poor Customer Care. Yani ni jambo la kawaida sana kwa wafanyakazi wa hii benki kupita bila kuzungumza na wewe au kuwasemesha wakiwa kwenye viti vyao na wao kukunyamazia kimya wakiwa Bize na simu zao. Yani hawajali kabisa.
2. Kwenye Counter yao iliyopo sambamba na dirisha la Posta, ni kawaida sana mteja kuwa kwenye foleni na Cashier kuwa Bize kuongea na simu. Yani hajali muda wa kabisa wa mteja wala hashtuki mteja kutumia muda mrefu kwenye queue.
Mbaya zaidi Wafanyakazi wa benki wenyewe hufika kwenye Counter wakati Cashier yupo na mteja na kuanza mazungumzo na mbaya zaidi ni mazungumzo binafsi yanayochukua mpaka dakika tano
3. Kubwa kuliko yote ni pale umeme unapokatika. Computer ya Cashier haina UPS. Umeme ukikatika na Kompyuta ya Cashier inazimika. Aibu iliyoje hawana Standby Generator. Ni mpaka mtu anaitwa Manumba sijui ndio akaiwashe. Akiwa hayupo mtakaa hapo kusubiri mpaka aje aiwashe. Kwa siku ya leo tumesubiri kwa zaidi ya masaa mawili ili jenereta liwashwe. Ni aibu kwa kweli.
Ni aibu mno kwa benki kubwa kama hii kuwa na huduma mbovu kama hizi.
Na wafanyakazi hawaonyeshi kujali. Huenda viongozi wa hii benki hawana taarifa ya kinachoendelea hapa kwenye tawi lao la pekee hapa Kibaha. Imagine mteja ana haraka zake tawi lipo tumbi mteja anatoka kwa Mathiasi, au Maili moja anakuja kukutana na vituko kama hivi.
Benki ya Posta Kibaha MJIREKEBISHE.