Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Acha tuzibe midomo yetu... wakubwa huwa hawakosei hata kama hasara itakuwa kama yoteTumeshuhudia mvua iliyonyesha leo hii jijini dsm na kusababisha baadhi ya maeneo kufurika maji na kuhatarisha usalama wa watumiaji pia na miundo mbinu husika iliyojengwa kwa pesa za mvuja jasho
Hapo pichani ni Tazara flyover tazameni hali ilivyo kwa mvua moja tu ya leo!View attachment 1036989
In God we Trust