Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tumeshuhudia mvua iliyonyesha leo hii jijini dsm na kusababisha baadhi ya maeneo kufurika maji na kuhatarisha usalama wa watumiaji pia na miundo mbinu husika iliyojengwa kwa pesa za mvuja jasho
Hapo pichani ni Tazara flyover tazameni hali ilivyo kwa mvua moja tu ya leo!
In God we Trust
Hapo pichani ni Tazara flyover tazameni hali ilivyo kwa mvua moja tu ya leo!
In God we Trust