Humu wapenzi wa kweli wa masumbwi ni wachache sana.
Hata nikitaja jina la Adrien Broner sidhani kama naweza kupata watu watatu wanaomjua.....
Mwenye link ya huu mpambano aweke hapa bandugu...hawa dstv ni wapuuzI sana wameona tunaolipia compact plus hatustaili kuangalia huu mpambano....wanaona laki na elfu 13 ni ndogooo...pumbavu sana.....na kwahili silipii tena...
mkuu punguza porojo,mda umeshawadia ukweli upo karibuMyweather kapanic kabisa lazima apigwee.
My man the Real Deal Holyfield, ATLs own....
And my quarterback [Tom Brady] is in the house.
Earlier he was at the Kentucky Derby.
Na hii ndo ndinga aliyopanda Manny kuelekea MGM Grand.
Ni Ford something....
![]()
Tunaombeni Mtupe Updated Ya Kinachoendelea Uko.Wengine Tupo Vitandani
Hapo ndio utaona dstv hawafai. Pesa yote hiyo but huoni kitu seuze wale wa 17000 kwa mwezi watasubiri sana.
mkuu punguza porojo,mda umeshawadia ukweli upo karibu
Tunaombeni Mtupe Updated Ya Kinachoendelea Uko.Wengine Tupo Vitandani
huwezi jua wote lakini vichwa lazima uvijue.tufanye unapenda Rege halafu humjui Senzo,kwahiyo ukiwa mpenzi wa kitu Fulani utamjua kila MTU..watu wanawajua waliotangazwa na Dunia....hata Katika mziki wa Rege kulikua na watu zaid ya Bob Marley,lakini dunia inamjua Bob
Dstv ni wezi tu wanaona ili pambano ni wale waliolipia full package . Kwanini wasingeonyesha hata super sport 2