Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

hivi uzito wa ngumi ya kina Tyson unatofautiana na hii au wote sawa,maana ukiangalia ngumi za kina tyson ni hatari mno

Hawa ni wepesi mno! Uzito wa Mayweather ni kilo 66.4 (paundi 146), na uzito wa Mfilipino ni kilo 65.9 (paundi 145). Ngumi za wavulana hawa ni kama kumkuna tu Tyson!
 
hivi uzito wa ngumi ya kina Tyson unatofautiana na hii au wote sawa,maana ukiangalia ngumi za kina tyson ni hatari mno
Tyson

Tyson alikuwa na uzito wa kilo 105 (paundi 231), japo kuna kipindi alikuwa na kilo zaidi 110! Kwa hiyo uzito wa ngumi yake usipime! Alikuwa anawakalisha wazito wenzake raundi ya kwanza tu! Mapambano mengi alikuwa anashinda kwa "KO" ya raundi ya kwanza! Konde la Mayweather kwenye uso wa Tyson ni kama anamkuna tu! Ndio maana hawapambanishwi mabondia wa uzito tofauti!
 
Aya sasa
 

Attachments

  • 1430564848476.jpg
    1430564848476.jpg
    81.7 KB · Views: 237
Nikiwatazama kiufundi.....namtazama MAYWEATHER JR kama bondia mwenye defence skills za hali ya juu sana...huku akiwa ni mwepesi wa kurusha hook na jab za haraka sana....ni bondia anayecheza mtindo unaomfanya autawale ulingo huku akimlazimisha mpinzani amfuate aliko.....ni bondia ambaye ana shabaha ya hali ya juu sana....inakadiriwa kuwa katika kila ngumi tano anazorusha basi nne huwa zinalenga target....pia ni mzuri katika counter attack huku akitumia vizuri left hook na uppercut katika kasi ya umeme....Kwa upande wa PAC MAN namtazama kama bondia mwenye kasi ya kutupa makonde ambaye hajapata kutokea chini ya jua....huku akiwa na defence skills mbovu......PACMAN huwa anatumia sana JAB katika kushambulia hali inayomfanya muda mwingi anaposhambulia sehemu kubwa ya sura yake kuwa wazi na kuwapa fursa wapinzani kutumbukiza makonde kadhaa usoni....lakini vile vile ni kama anatumia muda mwingi kutupa ngumi ili adui asimsogelee karibu......ambapo kwa bondia mjanja kama MAYWEATHER atamfanya afurahi kwa skills yake nzuri ya kukwepa................KIUJUMLA PAMBANO LITAKUWA GUMU SANA KWA PANDE ZOTE MBILI.....
 
Nikiwatazama kiufundi.....namtazama MAYWEATHER JR kama bondia mwenye defence skills za hali ya juu sana...huku akiwa ni mwepesi wa kurusha hook na jab za haraka sana....ni bondia anayecheza mtindo unaomfanya autawale ulingo huku akimlazimisha mpinzani amfuate aliko.....ni bondia ambaye ana shabaha ya hali ya juu sana....inakadiriwa kuwa katika kila ngumi tano anazorusha basi nne huwa zinalenga target....pia ni mzuri katika counter attack huku akitumia vizuri left hook na uppercut katika kasi ya umeme....Kwa upande wa PAC MAN namtazama kama bondia mwenye kasi ya kutupa makonde ambaye hajapata kutokea chini ya jua....huku akiwa na defence skills mbovu......PACMAN huwa anatumia sana JAB katika kushambulia hali inayomfanya muda mwingi anaposhambulia sehemu kubwa ya sura yake kuwa wazi na kuwapa fursa wapinzani kutumbukiza makonde kadhaa usoni....lakini vile vile ni kama anatumia muda mwingi kutupa ngumi ili adui asimsogelee karibu......ambapo kwa bondia mjanja kama MAYWEATHER atamfanya afurahi kwa skills yake nzuri ya kukwepa................KIUJUMLA PAMBANO LITAKUWA GUMU SANA KWA PANDE ZOTE MBILI.....

okey, then what do u predict
 
Hawa ni wepesi mno! Uzito wa Mayweather ni kilo 66.4 (paundi 146), na uzito wa Mfilipino ni kilo 65.9 (paundi 145). Ngumi za wavulana hawa ni kama kumkuna tu Tyson!

Ila ndo the most expensive fight kutokea dunian. hao akina Tyson wako wa miaka ya 90 hawajawai fikia hizo Dau
 
Pacq bora ashinde akasaide wanacnhi wake maskini.
Sio misifa ya Weather ambayo haina tija yoyote.

Pack amekulia mtani maisha ya umaskini sana,na kwa sie wapenzi wa Tyson enzi zake tulimkubali kwamba mtoto wa kitaa kaingia kakimbiza.
Vote to Pacq.

Na pia ikumbukwe kwamba Pacq ameishajua uchungu wa kupigwa ngum,sasa je Weather anaweza kuvumilia kichapo?
 
Good grief!

Kabisa hujui tofauti ya heavyweight na welterweight?

Hakuna chochote cha ajabu kutokujua chochote! Hata wewe kuna mambo mengi usiyoyajua! Ni Mungu peke yake anayejua mambo yote. Lakini ujanja ni kuuliza na ndicho alichokifanya mwanajamvi mwenzetu! Moja ya faida la jukwaa hili ni kuelimishana.
 
Back
Top Bottom