Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Hawa ni wepesi mno! Uzito wa Mayweather ni kilo 66.4 (paundi 146), na uzito wa Mfilipino ni kilo 65.9 (paundi 145). Ngumi za wavulana hawa ni kama kumkuna tu Tyson!

Watoto kama hawa wakitupiwa ngumi moja na Lennox Lewis wanapelekwa ICU
 
Waungwana mimi nipo kwa manpacquiao.je ni wangapi tupo upande mmoja?nauliza hivyo kwa kuwa ninauzoefu wa michezo mingi,kuna watu wengi wana kuwa bendera fuata upepo.ni bora tujuane mapema kabisa.
 
Kura yangu iko kwa Pacman, i always admire the guy, ptovided he's a Southpaw, itakua ngumu sana kwa Money kumpiga. Money pia yuko vzr sana, hamna haja ya kumuelezea sana coz historia yake imeshathibitisha hilo. Ujinga itakua ni kumchukia Money kwa sababu ya show-off zake. Anapata hela kwa jasho lake, anastahili kuitumia vile anataka.
 
Ila ndo the most expensive fight kutokea dunian. hao akina Tyson wako wa miaka ya 90 hawajawai fikia hizo Dau

Ni kweli ila sababu hasa ni ujanja wa waandaaji ambao wamefanikiwa kuihadaa dunia iamini kuwa Hilo ni pambano la karne! Pamoja na ubora wa mabondia hawa, lakini si kwa kiwango cha kipekee ambacho haijawahi kutokea. Nimefuatilia mapambano yao wote wawili, hayawezi kabisa kufananishwa na mapambano yaliyawahusisha mabondia kama Tyson, Mohamed Ali, Joe Frezier, Evander Hollyfield, Lewis nk kwa ufundi, msisimko, nk. Ingia you tube ucheki mapambano ya wababe hao, halafu tazama pia mapambano ya hawa wavulana wa welterweight utaelewa hiki ninachokisema. Sema wakati wa zamani social media hazikuwepo nyingi, na chache zilizokuwepo hazikuwa accessible kwa walio wengi, Hivyo promotion ilikuwa ni ngumu. Wajanja wamelazimisha kupiga pesa ya nguvu kupitia pambano hili! Inakadiriwa waandaaji wataingiza dola $ 500,000,000 kupitia pambano hili ambapo ukitoa gharama zote ikiwa ni pamoja na malipo ya mabondia bado watabaki na pesa ya kufa mtu!
 
I lost touch with TMT siku Money alipomzingua Victor Ortiz, haikuwa uana-michezo kabisa in my books. Mpaka leo naombea adundwe ili kusawazisha ile mambo.

Nimeskia alichosema kuhusu Ali, and he's right 100%. Mara ya kwanza naona tape ya RITJ nilichukia kinoma, Ali fought like a biatch vs Foreman na bado akashinda, rope-a-dope blah blah blah ni mahaba na siasa tu. Kwa kuwa tuko mstari mmoja kwenye hili, ugomvi wangu kwa Floyd umepungua kiasi.

Advantage pekee aliyonayo Manny kwa Money ni sala zake na za wafilipino tu, muda ndio utasema kama ni za kweli ama la.
 
Hahahahahaha lol! Zero facts the writer is just stating his/her opinion and NN has presented zillion facts to support his argument. What about this one? Still there are no facts Obama is just stating his opinion!! LoL! Color blind society is still a long way to go my friend.

Enjoy your weekend NN.

Obama: ‘There’s No Doubt’ That Some People Really Dislike Me Because I’m Black."

What facts do you want me to present?

I haven't stated anything outlandish.

Or have I?
 
Kura yangu iko kwa Pacman, i always admire the guy, ptovided he's a Southpaw, itakua ngumu sana kwa Money kumpiga. Money pia yuko vzr sana, hamna haja ya kumuelezea sana coz historia yake imeshathibitisha hilo. Ujinga itakua ni kumchukia Money kwa sababu ya show-off zake. Anapata hela kwa jasho lake, anastahili kuitumia vile anataka.

Wewe ni mweusi?

Kama wewe ni mweusi kwa nini humuungi mkono mweusi mwenzako?
 
Hawa DirecTV nao wanatukamua $ 99 kwenye pay per view yao!.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
LOL! Mkuu si tunayataka wenyewe yakukamuliwa hahahaaha, lakini mie sijawahi kujutia kukamuliwa ili kuangalia pambano la Money Mayweather. Mapambano yote ambayo niliyoyaangalia pambano lilipoisha roho yangu ilikuwa nyeupeeee! Natumai na leo pia itakuwa hivyo.

Hawa DirecTV nao wanatukamua $ 99 kwenye pay per view yao!.
 
Hawa DirecTV nao wanatukamua $ 99 kwenye pay per view yao!.

Halafu sasa pambano lenyewe lije kuboa.

Kuna uwezekano kabisa kuwa pre-fight hype ikawa more entertaining than the fight itself.

Hapo ndo utajua nguvu ya marketing.
 
Wakuu nina king'amuzi cha Star times naweza kuona pambano la Man Pac na Money W? Nisaidien niandae kabisa
 
Ni kweli ila sababu hasa ni ujanja wa waandaaji ambao wamefanikiwa kuihadaa dunia iamini kuwa Hilo ni pambano la karne! Pamoja na ubora wa mabondia hawa, lakini si kwa kiwango cha kipekee ambacho haijawahi kutokea. Nimefuatilia mapambano yao wote wawili, hayawezi kabisa kufananishwa na mapambano yaliyawahusisha mabondia kama Tyson, Mohamed Ali, Joe Frezier, Evander Hollyfield, Lewis nk kwa ufundi, msisimko, nk. Ingia you tube ucheki mapambano ya wababe hao, halafu tazama pia mapambano ya hawa wavulana wa welterweight utaelewa hiki ninachokisema. Sema wakati wa zamani social media hazikuwepo nyingi, na chache zilizokuwepo hazikuwa accessible kwa walio wengi, Hivyo promotion ilikuwa ni ngumu. Wajanja wamelazimisha kupiga pesa ya nguvu kupitia pambano hili! Inakadiriwa waandaaji wataingiza dola $ 500,000,000 kupitia pambano hili ambapo ukitoa gharama zote ikiwa ni pamoja na malipo ya mabondia bado watabaki na pesa ya kufa mtu!

Nakubaliana na wewe kuwa Utandawazi umesaidia Kulipa Hype hili pambano. Enzi za Akina Ali, Tyson mambo haya Kama Insta na other social medias hazikuwepo Ila bado nalo lina utamu wake hill pambano
 
Halafu sasa pambano lenyewe lije kuboa.

Kuna uwezekano kabisa kuwa pre-fight hype ikawa more entertaining than the fight itself.

Hapo ndo utajua nguvu ya marketing.

Au pambano lenyewe liishie round ya pili!.😀
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom