Fitina ya mwondoa Mzee Chizi ATCL

Fitina ya mwondoa Mzee Chizi ATCL

Niliposikia hii story asb nilijisikia vibaya sana, maana sikutaka kuamini kuwa waziri kama mwakyembe ambaye naamini ni mtu makini angeweza kufanya madudu haya. Lakini baada ya kumsikia jioni Mwakyembe mwenyewe akiongea nimeanimi kuwa ingawa siipendi nyinyiem, bado Mwakyembe ni jembe, amenikumbusha bunge lilipotaka kumsafisha EL. Big up Mwakyembe!!!!
 
eng mbona kizungumkuti?
nani bora sasa?
na ni kwa nini kampuni hiyo hawataki ifufuke izae matunda?
napata headache. kuna post kibao humu wanamtetea Chizi.
ok nijuavo ukikodisha lazima kuna mikataba na lazima bodi ya ATCL inahusika ktk hilo
madudu ya nyuma pia wanahusika.bodi nayo ivunjwe
lokisa

umeyasikia hayoo?

yaani kwa jinsi alivyo ongea mwakyembe na wafanya kazi wake leo ATCL unaweza chukua panga na kumfuata chizi,maana kuna madudu ya kutisha,kumbe ndege tuliyokodi tumeanza kulipa wakati ikia ktk hanga na mpaka sasa kuna deni la kufa mtu tunadaiwa
 
Acheni Mwakyembe aisafishe hiyo wizara kwani ina madudu mengi.
 
Haya wakuu

ktk magazeti ya leo,inaonekana kuenguliwa kwa mzee Chizi ni fitina ya baadhi ya wakuu baada ya Mh huyo wa ATCL kuminya mianya yote ya kula pesa iliyokuwa ikifanywa na baadhi ya wakuu hapa Tanzania.
baada ya Chizi kupewa Nafasi ya kukaimu Ukurugenzi ndani ya ATCL alizuia utengenezaji wa ndege nje ya nchi na kuanza kutumia wataalamu wa ndani ya tanzania jambo ambalo baadhi ya wakuu hawakupendezwa nalo kwani limesababisha kuwanyima ulaji wao,na pia Chizi alijitahidi kubadirisha bei za ndege ili ziwe sawa na bei za ndege nyingine na hii ilivutia wasafiri wengi kuweza kuitumia ATCL lakini wakuu wengi waliudhika kwani maslahi yao ktk ndege nyingine yalianza kupungua

na ndio maana hata wakati ile ndege mpya ilipokuwa ikipaa angani viongozi kutoka wizarani hawakuhudhuria ktk hafla hiyo na hii ni kuonyesha kuwa viongozi hao hawakuwa tayari kumuunga mkono mkurugenzi Chizi labda kwa yeye kuleta ndege mpya na hili limesababisha kupunguza maslahi yao binafsi

WAZIRI MWAKYEMBE labda atoe hizo taratibu ama kanuni zilizokiukwa ili watanzania wajue

chanzo clousds fm,kipindi cha asubuhi 7/6/2012 na akina PJ

Mmeingizwa mkenge na watu wasiompenda Mwakyembe.
Kukodisha ndege ile ni maamuzi yasiyo sahihi na ni hatua ya kuliingizia taifa hasara kubwa.
Nyie mnaomtetea Chizi msifikiri ndani ya boksi,hizo taratibu na kanuni mnazodai zimetumiwa na Chizi huenda ni sahihi ila maamuzi ya solution aliyochukua kupitia kanuni na taratibu hizo yana walakini na uzembe wa wazi unaoonyesha mianya ya ubadhirifu na matumizi mabovu ya pesa yasiyo ya lazima na uzembe wa maksudi na wa wazi.
Ogopa sana mtu anayezunguka kwenye vyombo vya habari baada ya kuondoshwa sehemu-sehemu.
Spinning ni kitu ya hatari hasa kwa watu wanaofikiri ndani ya boksi.
 
Niliposikia hii story asb nilijisikia vibaya sana, maana sikutaka kuamini kuwa waziri kama mwakyembe ambaye naamini ni mtu makini angeweza kufanya madudu haya. Lakini baada ya kumsikia jioni Mwakyembe mwenyewe akiongea nimeanimi kuwa ingawa siipendi nyinyiem, bado Mwakyembe ni jembe, amenikumbusha bunge lilipotaka kumsafisha EL. Big up Mwakyembe!!!!

bwemero

hata mimi nilijisikia hovyo kabisa na kuanza kumchukia mwakyembe,lakini mwisho wa siku nilipopata mshindo nyuma kutoka kwa huyohuyo mwakyembe nilitamani hata sasa hivi chizi akamatwe na kuwekwa ndani,katutia hasara ndani ya muda mfupi aliokuwepo madarakani
 
eng mbona kizungumkuti?
nani bora sasa?
na ni kwa nini kampuni hiyo hawataki ifufuke izae matunda?
napata headache. kuna post kibao humu wanamtetea Chizi.
ok nijuavo ukikodisha lazima kuna mikataba na lazima bodi ya ATCL inahusika ktk hilo
madudu ya nyuma pia wanahusika.bodi nayo ivunjwe

we acha tu,nilianza kuwa na hasira na mwakyembe sasa hasira yangu ni maradufu kwa chizi,nalipa kodi yeye na marafiki zake wanabunya,inauma sana jamani
 
Mwakyembe jana kaongea, wao walimwaga unga, yeye kamwaga mboga, kisha jiko kalimwagia maji, na masufuria kayapondaponda. Clouds wajibu hoja
Haya wakuu

ktk magazeti ya leo,inaonekana kuenguliwa kwa mzee Chizi ni fitina ya baadhi ya wakuu baada ya Mh huyo wa ATCL kuminya mianya yote ya kula pesa iliyokuwa ikifanywa na baadhi ya wakuu hapa Tanzania.
baada ya Chizi kupewa Nafasi ya kukaimu Ukurugenzi ndani ya ATCL alizuia utengenezaji wa ndege nje ya nchi na kuanza kutumia wataalamu wa ndani ya tanzania jambo ambalo baadhi ya wakuu hawakupendezwa nalo kwani limesababisha kuwanyima ulaji wao,na pia Chizi alijitahidi kubadirisha bei za ndege ili ziwe sawa na bei za ndege nyingine na hii ilivutia wasafiri wengi kuweza kuitumia ATCL lakini wakuu wengi waliudhika kwani maslahi yao ktk ndege nyingine yalianza kupungua

na ndio maana hata wakati ile ndege mpya ilipokuwa ikipaa angani viongozi kutoka wizarani hawakuhudhuria ktk hafla hiyo na hii ni kuonyesha kuwa viongozi hao hawakuwa tayari kumuunga mkono mkurugenzi Chizi labda kwa yeye kuleta ndege mpya na hili limesababisha kupunguza maslahi yao binafsi

WAZIRI MWAKYEMBE labda atoe hizo taratibu ama kanuni zilizokiukwa ili watanzania wajue

chanzo clousds fm,kipindi cha asubuhi 7/6/2012 na akina PJ
 
Mwakyembe jana kaongea, wao walimwaga unga, yeye kamwaga mboga, kisha jiko kalimwagia maji, na masufuria kayapondaponda. Clouds wajibu hoja

LAKINI BUJIBUJI

CLOUDS nao walikuwa wakisoma habari kutoka gazeti la majira
 
Ndugu wasomaji, ninawashauri kuwa jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Pengine utaniuliza, wewe umesimama wapi? Nataka nikuambie mimi sisimami popote(kwa maana ya kuwa mimi nasimama katikati). Kati yangu mimi na wewe hakuna anyejua chochote na kama unajua huwezi kujua kwa undani na kwa usahihi vizuri. Katikati ya wimbi zito la sintojua, humo ndani zikiwepo siasa interest, ushindani interest, roho mbaya interest, chuki interest, maslahi interest, ukabila interest, ufisadi interest na bila kusahau kuzidiana kete na kuzidiana akili interest nk ni vigumu kuweza kuupata ukweli tunaoutaka.

Ni sawa tunavyofanya kwa kila mtu kutoa mawazo yake kwa jinsi anavyoona, lakini nakushauri usipende kuchuma dhambi bila sababu ya msingi. Toa wazo lako lakini ogopa kuhukumu. Jambo unalomfanyia mwenzio siku moja utavuna hilohilo. Na si hivyo tu, unapohukumu ujue umemtangulia Mungu ajuaye vitu vyote. Katika utoaji wa wazo lako NAKUSHAURI ACHA NAFASI YA KUTO KUJUA, ILI YULE ANAYEJUA ZAIDI YAKO ATAKAPOJIELEZA AWEZE KUPATA NAFASI KWENYE MOYO WAKO BILA KUKUAIBISHA
 
hizi ndo zimecost usd 50,000...hata mwenge wangeshonewa

550871_10150845459575986_369685603_n.jpg
 
Mhh, Makubwa tena, kwa hiyo alichokisema Mwkyembe ni uongo? Chizi alikuwa siyo mlaji kumbe? Ehh. Nchi hatutafika, Je na hiyo ajira yake ambayo haikufuata utartibu vipi? Je na huko kushonesha uniform China kwa kusimamiwa na maofisa wawili nao uongo? Je na matumizi kinyume ya fedha zilizonunua mahangingi nako vipi? Mnatuchanganya. Ache akae pembeni tuone kama ATCL itafanya madudu bila yeye au itafanikiwa zaidi:clap2:
 
haya pengine hizo ni za hariri tupu ila rangi tu ndo inafanana na za hapa mwenge mbona kama batiki vile? au naota au ninaupofu wa macho?
 
hizi ndo zimecost usd 50,000...hata mwenge wangeshonewa

550871_10150845459575986_369685603_n.jpg


...Is this really the BEST they could Do? Couldn't they use some of the 4 colors of our Flag?? And didn't I hear somewhere that Cabin Attendants should be extremely Beautiful, Handsome and have PERSONALITY???
 
hao sio wazuri ngudu au unataka waajiri vimodo pekee?
kwa mliowahi kusafiri na FINNAIR, NORWEGIAN AIR nk mtajua kwanini hadio leo wahudumu wao ni wazee.
cha msingi utendaji
kwa uniform hapa wamechemsha.
...Is this really the BEST they could Do? Couldn't they use some of the 4 colors of our Flag?? And didn't I hear somewhere that Cabin Attendants should be extremely Beautiful, Handsome and have PERSONALITY???
 
hao sio wazuri ngudu au unataka waajiri vimodo pekee?
kwa mliowahi kusafiri na FINNAIR, NORWEGIAN AIR nk mtajua kwanini hadio leo wahudumu wao ni wazee.
cha msingi utendaji
kwa uniform hapa wamechemsha.



....Maybe you are right comrade Lokissa but aint we all entitled to our different mitizamos...?! :smiling:
 
Me nashangaa wanao sema katibu wa wizara ndio hanatakiwa kuwajibishwa kwa lipi hasa ambacho kafanya maana nimesikia mwanzo mwisho mazungumzo ya mwakyembe na wafanyakazi wa atcl na ameongea bila kujiumauma kuhusu mtiriliko mzima wa matukio ya management ya chizi na nifurahi sana kwa kusema ukweli sasa wanaosema katibu mkuu hanamaatatizo wayaseme matatizo yake maana nimesikia upande wa wizara bado wa chiz unaomtetea na hao clouds wanamambo ya ajabu sana hasa pj leo kachemsha sna halipo mwambia hando baada hando kuleta jokes kwamba anataka nafasi ya chiz akamwambia hawez kupata kwa kuwa yeye ni wakaskazin hapo pj umechemsha sna nataka kupata taarifa kutoka kwa chizi yeye ansemaje baada ya jana
 
mbona batiki za kibongo hiz hivi kweli tunashindwa kushona hapa nchini mpaka twende china mbona tunajiabisha kias hich yahan me nachukia sana watu wanapenda nafsi zao kuliko kujua nchi hipo kwenye kiwango gani cha uchumi hivi huyu chizi mbona kafanya madudu kiasi hik halafu haziendan kabisa na rangi za shirika
 
Back
Top Bottom