Mkuu tunachobishania sijui nin, kwenye kufaulu huwa kuna madaraja ingawa wote mmekua mmefaulu,
Ndivo ilivo kwenye uchaguzi wa vyuo, ndo mana kuna wengine huwa wamekidhi vigezo vya TCU lakini selection waliotaka wao huwa hawaipati, the same scenario ukija kwenye hoja yetu, nilichokuambia ni kuwa utofaut huwa unaletwa na wanafunzi wenye we nikakupa mfano uangalie intake ya hvo vyuo je ni sawa??
Hainingii akilini wanafunzi waliofanya vzuri form six hawa wote wakifika chuo eti waje kuwa vilaza, na wale waliofaulu kawaida waje kuwa vipanga,
By the way usiku mwema huu ubishani huna tija kwangu na kwako ila siwezi kukaa kimya endapo nikiona mtu anapotosha.