sanahimogita
Member
- Oct 8, 2017
- 94
- 71
Kabla hujaandika hivyo, pita ktk platform nyingine uone majibizano yaliyopo.Mnaanzisha mada alafu mnaanza kulialia.
Hivi nani kaanzisha mada humu? Nyie ndo mnaanzisha mada za kuiponda udsm mkipondwa mnalialia.
Acheni utoto wa kutafuta ligi za kijinga.
Kwani mkitulia bila kuanzisha hizi mada kuna wa udsm ataanzisha kuwaponda nyie na vyuo vyenu?
Mkiona mtu kavaa ID ya udsm mnaanzish uzi, mkiona mtu kaulizia udsm selection mnaanzisha uzi, yaani hamna agenda maalum? Au hamna kazi ya kufanya??
Toa hoja kijana acha ujuaji