Wa muhas tunazo admission letterSizan kama kuna chuo kinatuma admission letter ving vinatoa joining instruction
Sawa mkuuVijana mkasome, muache tabia ya kupenda Vyupi na Kubet chuoni
Karibu sana mkemia mtarajiwa ila huku mtaani mambo magumu hatar....Udom bachelor of science in chemistry
Kwa Sheria soma UD au TUMAINI iIringa (University of Iringa).Habari wakuu!
Niwapongeze wote waliochaguliwa vyuo mbalimbali Tanzania, You guys you have made it, Bingo!
Pia, niwape pole kwa waliokosa chuo, maisha ni safari na kila kitu kinasababu zake, tujifunze kushukuru kwa kila jambo.
Nimechaguliwa kusoma sheria, Chuo kikuu cha Dodoma, Namshukuru Mungu nikatimize ndoto.
Nawakaribisha wote humu, mkutane na watu mnaoendana kwa fani mlizochaguliwa, NETWORKING ni MUHIMU SANA.
Jitambulishe Chuo ulichochaguliwa na Course unayoenda kusoma.
Karibuni wote!
Kwanini nisome huko?9
Kwa Sheria soma UD au TUMAINI iIringa (University of Iringa).
#YNWA
Tarehe 23 November!
Ahsante kwa taarifa huyu mtoto tangu form 4 alikuwa anakula hela zangu.
Sasa huko chuo najua nitampata.maisha ya chuo nayajua.

hajapata mkopo?Asante ni dogo bna,ko atapokelewa na naniHuwa wanapewa kule Hall 7 kama sikosei mnaenda kujiandikisha kwa USAB, ila kunguni kama wote na mnakuwa mixed na all genders
Ningeshauri uende usajili umeshaanza kuepuka usumbufu.
Bado tuna mchechetoMadogo mkasome akili za form six mziache huko mtaani
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Asiende kabla ya usajili kuanzaAsante ni dogo bna,ko atapokelewa na nani
Wengine watu wazima, Ebooh!Madogo mkasome akili za form six mziache huko mtaani
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hmmm mbona hatariKaribu sana mkemia mtarajiwa ila huku mtaani mambo magumu hatar....
Tupieni Links hapa au tuunge la kwetuHamna mwenye link za magroup ya 1st year?
Yaaaah mkuu nliwekewa kwny accountKwani umeshapewa hiyo joining instruction?
ǟɦǟǟǟWa muhas tunazo admission letter