First lady wa Nigeria

First lady wa Nigeria

2.jpg
 
Hiyo formula haipo kwenye ulimwengu wa Mathematics.
Ipo kwa vile kila kitu ukizidisha na sifuri ni sifuri. Nina maana mwananke akiwa mbali (the distance is not zero) na kama humjui (kujua ni zero) then unapata uzuri. Kadri anavyokuwa karibu nawe unamwona wa kawaida na badaye kufeel ni nung'aembe wakati wasiomfahamu wanamtamani. Hii fomula ndiyo inahalalisha michepuko. Mara ngapi umeshuhudia msichana akiwa mbali unamuona ni mzuri ajabu (Beautiful Onyinye) lakini akikusogelea ndipo unaona na makovu, matege etc
 
Huyu ni mke wa tano buhari ana watoto kumi ila huyu aisha ana watoto watano .

Kwa sasa wamebaki wanne baada ya mmoja kufariki kwa sukari
 
Huyu ni mke wa tano buhari ana watoto kumi ila huyu aisha ana watoto watano .

Kwa sasa wamebaki wanne baada ya mmoja kufariki kwa sukari

Usiwe unatoa maelezo ya uongo bila kufanya utafiti...utaumbuka!
 
na hili ndilo kosa kubwa kwa binaadamu walio wengi.
Kiukweli wengi wa wanaume humu jamvini hawampendi FaizaFoxy kwasababu ana wa-outsmart majority of them.
na kama kawaida mwanume akipata mwanamke anayeweza kumpiku basi kwa insecurity waliyonayo wataanza kumhumiliate ili tu huyu mwanamke afeel kuwa na low self esteem.

Imagine kama huyu ameweka nadhiri kwa kitu asichokijua na siku ikitokea akamwona sijui atafungia wapi uso wake.
I wish tungekuwa na wanawake kama FaizaFoxy 10 tu unyanyasaji wa kijinsia ungekwisha kabsa hapa TZ

Hakuna mwanamke mzuri mwenye roho mbaya au majibu mabaya sura ya mtu na roho yake iko hivyo hivyo,ukiangalia comments zake utabaini hata sura na roho yake vilivyo!
_kwanza ana chuki za kidini na kisiasa
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mwanamke mzuri mwenye roho mbaya au majibu mabaya sura ya mtu na roho yake iko hivyo hivyo,ukiangalia comments zake utabaini hata sura na roho yake vilivyo!
_kwanza ana chuki za kidini na kisiasa
i wish to come across with that reference!!
never seen it ether!!
nijuavyo mimi uzuri wa mtu ni subjective sana na huwez ukawa na prejudice kwa kutizama maandish hata siku moja.
mfano tupo watu wengi sana ambao sura na maimbo yetu ni mabaya na hayana mvuto machoni pa watu ila maneno ya vinywa vyetu ni matam adi mtu unataman kuonana na msemaji. sasa ifike siku ukutane na mimi utakimbia mbio zisizoshikika.
mie kwa kutumia mfano wangu binafsi naweza kupinga kabisa hoja yako kwamba umekosea sana.
 
Huyo ni mke wa ngapi? Wekeni picha ya mke wa kwanza

Huyu mke pekee wa Rais Mteule wa Nigeria, ana umri wa miaka 44.Alioelewa akiwa na umri wa miaka 19.

Kabla ya huyo Buhari alikuwa na mke ambaye alitalakiana, nadhan aliishafariki kwa sasa.

Baba yake huyu first lady nae alikuwa waziri wa zamani wa Nigeria kwenye serikali ya kijeshi ya Buhari, naona akampa zawadi binti yake baada ya jamaa kutoka jela.

Ni mwanamke mwenye elimu yake, ana masters, na mpiganiaji wa haki za wanawake.
 
Back
Top Bottom