CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
My dear huyo ni New president wa Nigeria baada ya uchaguzi kufanyika... Goodluck Jonathan Chali
Thanks mamie, nilitoka nje kidogo ya dunia. Asante kwa kunitoa tongotongo...
My dear huyo ni New president wa Nigeria baada ya uchaguzi kufanyika... Goodluck Jonathan Chali
Buhari ana umri zaidi ya miaka 70 huyu ana miaka 44 huyu atakuwa mke mdogo,Wanaijeria huoa wanawake wengi na huyu nu muislamu si ajabu atakuwa na zaidi ya huyo hata bau Obasanjo alikuwa na mke mdogo mrembo aliyefia kitanda cha upasuaji akifanya upasuaji wa kuongeza urembo,tusisahahu hata hapa tuna mababu wameota mabinti waliochini ya miaka 35 na wao wako kwenye 70 ,muhimu mfukoni si uzee.Ana mke mmoja.