First lady wa Nigeria

First lady wa Nigeria

Leo ushinde hapa ujisomee. Ninajua hutaelewa kwa sasa hata ukisoma, lakini siku zijazo utanishukuru. Kama hujui kiingereza tafuta mkarimani.

Ibada yako ya matusi, kwangu usiniletee kwa sababu si muumini wako. Hope umeelewa. Haya kazi kwako.


https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...6xFkCxjliODroXqDg&sig2=TtRqYtM24j9mrzz2dlvikQ

https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...cfwUHoCsjoWxNbE6w&sig2=_axbQKnEnyvi6qmRLoVLRg

https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...ocEQ9gwZHE843aSfw&sig2=uHXLs7MPv9-rU6EgWAuXGQ



https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...13tpixovp6yuaKSRg&sig2=X1qCe9feZImLJzhJUO2jNw




Akili. Yako km ya. Baba yako gwajima
 
Usiweke nadhiri ndugu humjui FaizaFoxy niulize mie

na hili ndilo kosa kubwa kwa binaadamu walio wengi.
Kiukweli wengi wa wanaume humu jamvini hawampendi FaizaFoxy kwasababu ana wa-outsmart majority of them.
na kama kawaida mwanume akipata mwanamke anayeweza kumpiku basi kwa insecurity waliyonayo wataanza kumhumiliate ili tu huyu mwanamke afeel kuwa na low self esteem.

Imagine kama huyu ameweka nadhiri kwa kitu asichokijua na siku ikitokea akamwona sijui atafungia wapi uso wake.
I wish tungekuwa na wanawake kama FaizaFoxy 10 tu unyanyasaji wa kijinsia ungekwisha kabsa hapa TZ
 
Last edited by a moderator:
Jamani kama sijaelewa vile... Kwani Rais wa Nigeria si ni Goodluck Jonathan?? Huyu Buhari ni nani??
 
Wewe unajua umri wa yule babu ni 72 bado birthday ya mwaka huu hajafanya.Then unasema 1 wewe huyo ndio wa kupigia misele kwenye uprezidaa

Hao wengine labda wa siri. Ila anayejulikana ni huyo hapo ambaye alimuopoa akiwa na miaka 19. Unataka kuniambia ww ukiwa na uwezo na nguvu hauwezi kumchukua binti uliyemzidi miaka 28?
 
Hao wengine labda wa siri. Ila anayejulikana ni huyo hapo ambaye alimuopoa akiwa na miaka 19. Unataka kuniambia ww ukiwa na uwezo na nguvu hauwezi kumchukua binti uliyemzidi miaka 28?
Kwa hiyo jamaa kaoa akiwa na miaka 47.Unanidanganya meku
 
Ngoja prezidaa ajipakulie vyake bana,na uzuri utaongezeka zaidi kwa huyo first lady
 
Ameoa akiwa na miaka 29. Mke wa kwanza waliachana na ameshafariki
Sasa umegugo kwenye Wikipedia ambao nao wanaishi marekani.
Yule ustadhi hata 4 ruksa kumbuka sijabisha kua yule sio mkewe.
 
Sasa umegugo kwenye Wikipedia ambao nao wanaishi marekani.
Yule ustadhi hata 4 ruksa kumbuka sijabisha kua yule sio mkewe.

Kwenye wake hakuna siri labda mechi za mchangani. Mbona Jacob Zuma ana wanne na hakuna siri?Mswati ana wake bila kujulikana idadi na hakuna siri?
 
Aisha Buhari,44yrs,utadhani mtoto mbichi na hapo amezaa watoto wa 5

/attachment.php?attachmentid=239734&stc=1&d=1427911593

Ila blog nyingi za Nigeria wanadai ana miaka kati ya 38-39, kwa hiyo aliolewa akiwa underage ila wanasema kwa mujibu wa Kuruani (niko tayari kukosolewa) ni sahihi. Sasa sijui umri sahihi wa huyu first lady mpya ni miaka mingapi? Hebu tuendelee kuchimba.
 
Kwenye wake hakuna siri labda mechi za mchangani. Mbona Jacob Zuma ana wanne na hakuna siri?Mswati ana wake bila kujulikana idadi na hakuna siri?
Mbona mke wa Lipumba ni siri wewe?Mapenzi ni maisha binafsi tunajua serekalini official ni 1 sasa hao wengine labda kama ni mjomba ako ndio utamjua.
Pia uislam wake ni uwezo wako tuu.
 
Back
Top Bottom