Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
madam, no body is denying genocide of Rwanda, what people are arguing is that, it din't happen only against tusi, it also was against hutu. if more than 800,000 tutsis were killed during genocide of 1994, given the tribal statistic of Rwanda in 1994 then there would be no tutsi in rwanda today, all would have varnished because the population of Tutsi in 1994 was smaller than the purported number of tutsi who were killed. this draws an inference that, it is possible genocide against hutu happened and the bigger number of deaths were hutu, not tusi. umeelwa?
Argument ya watafiti ..wengi ..inadhihirisha uwongo wa Kagame na mbinu ya kutaka kuwa tawala kiakili Maisha yote kila wanapokumbuka Hiyo genocide.
Watafiti wamesema hivi ..,mwaka 1994 Wakati MAUWAJI yanatokea Watutsi wengi walikuwa nje Tanzania,Congo,Uganda ..inadaiwa kuwa population ya Watutsi walikumbwa na mapigano ni Kama 500'000 ....Baada ya MAUWAJI mwisho watafiti waligundua kuwa Watutsi 300'000 walikuwa wamebaki ...kabla ya wengine kuanza Kurudi kutoka kwenye ukimbizi.
Theory Hii ya watafiti ambayo hata BBC wanaongelea kwa kuwahoji Hao watafiti ni kuwa ..Kama Watutsi waliouliwa walikuwa 200'000 ....basi Hii Ina maanisha kuwa Wahutu hasa wenye msimamo wa kadiri waliokuwa wakiwahifadhi Watutsi ...na wengine ambao waliuliwa na Askari wa RPF walipokuwa wakiingia mjini Ndio wengi.
Hoja ya Jumuia ya kimataifa inajikita kwenye kuhoji kwa nini Rwanda wameamua ku dharau ukweli kuwa wapo Wahutu wengi wasio na hatia waliuliwa ...kwa nini hawakumbukwi??