Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Mbona hizo tuhuma zoooote ni kama unamsema raisi aliyekaa madarakani na kuyafanya hayo uliyasema? Kama umeamua kumdharirisha mtu mtaje tu kwa jina lake direct badala ya kunguka na kupitishia tusi kwa mtu mwingine. Sema tu hivi; "Hivi kingetokea nini kama JK angeendelea kua rais wa Tanzania kwa miaka mingine 5 au 10" Ku predict ambacho kingefanywa na mtu mwingine ambaye hajaingia Ikulu kwa madhaifu yaliofanywa na umpendaye sio vizuri.


Hiyo sasa inabidi ufanye wewe mimi nimeshaanza kuhusu fisadi Lowasa, ya JK unaweza pia wewe kuandika!
 
European Union wangeleta majeshi Tanzania kudhibiti madawa ya kulevya. Halafu mke wa Lowassa angeipamba Ikulu iwe nzuri zaidi.
 
toeni mada/changieni mada kwa kutumia vichwa siyo niniliii alishawahi kuisema mstahiki meya wa jj kubwa kwa wabunge wa kipindi hicho mkoa wa dar.
 
Eeh mwenyezi MUNGU tuepushie mbali na manyang'au wooote wasio na mapenzi mema na wananchi wa Tanzania.
 
European Union wangeleta majeshi Tanzania kudhibiti madawa ya kulevya. Halafu mke wa Lowassa angeipamba Ikulu iwe nzuri zaidi.
This is satirical writting please elaborate further for some of us whose brains were not much developed
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
ungesema na za sherehe ya ccm singida
 
KIBOKO cha ccm ni
3300ce54c9bdd3c00e4f6e2a7c00d5ed.jpg
 
naona watu hawamjui lowasa ...yule mzee ni opportunist sijapata kuona...nakumbka alileta mabasi mawili UDOM kuchukuwa wanafunzi waliotaka kwenda arusha kufungua mkutano wake wa kutangaza nia ya kugombea urais kabla hajatimkia cdm...yani ndo mana niliposikia kaja cdm nilikata tamaa kabisa...nikajua ukombozi umefka mwisho
 
lowassa ni mtu krietivu sana. leo tungekuwa tunajenga mitambo ya kuzalisha umeme wa makaa na maji. hukumbuki maji ya victoria?
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
"Sheria wanapanga wao, Sheria hiyohiyo wanavunja wao.. Watawala haohao wapinzani haohao... viongozi waheshimiwe & wananchi wadharauliwe "
 
Hapo kwenye mawaziri sasa shuguli ingekuwa pevu hebu fikilia sasa ndo angekuwa waziri wa mambo ya nje
 
Kapwila nasema toka moyoni mwangu bila kumumunya maneno Said Kubenea MB wa Ubungo ninamuogopa mno,makala zake mimi nilikuwa mmoja wa wasomaji wake wakubwa na nilikuwa kila Nakala ikitoka ni lazima niinunue kama ilivyokuwa RAI enzi hizo,maana alimchamba vya kutosha Lowasa na Ufisadi wake kwabmuda wa miaka minane na kudai anao ushahidi lukuki wa kuthibitisha hayo anayoandika,kwani hakujivicha ktk kujitambulisha kama Reporter,alidiriki kuandika kwamba hata akiogeshwa na sabuni ya aina gani hatotakata kwa uvundo wa Ufisadi,lkn kumbe naye kabadili gea angani na Kuanza kuchotelea maji na sabuni zenye manukato sijui toka kwa Malkia Kreopatra wa Misri ili kumtakasa na kusimama majukwaani kumuombea kura kwa wananchi ili awe rais wa JMT,nikasema ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni,Najiuliza Mh Kubenea ule ushahidi bado upoo?
 
Back
Top Bottom