Sangoma aliwatuma ili ........wavutie waume za watu bungeni au umesahau wengi wao ni ......mkuu pale bungeni akina dada zetu wa upinzani wanazo shughuli nyingi😎Nimeshangaa sana kusikia kuwa wabunge wa UKAWA wanavaa shanga wakati wanaenda mjengoni.
Kubenea mzee wa shanga sijui aliwaona vipi wamevaa wabunge wa ukawa
Katika watu ambao wanastahili kupuuzwa ni Saed Kubenea. Ameshakula sana vya Lowasa. Sasa ana kazi kubwa ya kumsafisha
Mkuu sasa ulichotuambia hapo juu ni nini? kama Lowassa (ambaye unamwita fisadi) alijiuzuru kwa sababu ya wizi wa mali za umma, mbona Muhongo naye alijiuzuru kwa wizi wa mali za umma bado JPM kamarudisha kuwa waziri? Unataka tueleweze niini katika mifano hiyo miwili yenye kufanana lakini yenye matokeo yanayotofautiana? Ilishasemwa na Aristotle miaka mingi iliyopita: "The validity of an argument can be determined by its structure rather than its content....." as long as the premises are true, the conclusion is also guaranteed to be true... ELIMU, ELIMU, ELIMU!
Bandiko la kipuuzi hili! Unamhusishaje Lowassa humu? KYaani Kubenea asihoji uchafu wa baadhi ya watu kisa tu Lowassa yuko Chadema? Mmezoea kuwajengea watu woga wa kipuuzi na hii ndio maana wabunge wengi wa CCM ni mambu mbu yasiyojua kureason.Ni mambo ya ajabu sana Mbunge wa Ubungo (chadema) amemshangaa Rais Magufuli kumrudisha Wizara ya Madini Waziri Muhongo akidai kwamba alijiuzuru kutokana na kashfa ya escrow, lakini hashangai Chama chake cha kilaghai na kitapeli CHADEMA kumkaribisha Lowassa ambaye ni fisadi mkubwa si ajabu aliyewahi kuishi Tanzania tangu kuanzishwa kwake ambaye Uwaziri Mkuu wake ulisitishwa kwa wizi wa mali ya umma na ambaye Chama chake cha CCM kilimzuia kugombea Urais kwa kutokuwa na sifa kutokana na wizi!
Lakini Chama cha Kubenea (CHADEMA) bado kilimkaribisha na siku hiyo hiyo ndani ya masaa machache kikampa bila ya kushindanishwa kinyume na taratibu hata kwa standard ya chama cha kitapeli kama CHADEMA nafasi ya kugombea Urais, ina maana kama ingetokea miujiza CHADEMA kingeshinda Uchaguzi leo hii tungekuwa na Rais ambaye Dunia nzima inamtambua kwamba ni mwizi na alijiuzuru kwa sababu ya wizi wa Mali ya umma, sasa Kubenea anapata wapi hata uhalali wa kuhoji Uwaziri wa Muhongo?
....lusinde alishamaliza kwa kutabanaisha kwamba waliomchafua lowasa wana kazi ya kudumu ya kumsafisha...Katika watu ambao wanastahili kupuuzwa ni Saed Kubenea. Ameshakula sana vya Lowasa. Sasa ana kazi kubwa ya kumsafisha
Hivi Mzee Msekwa naye anamiliki magazeti?Huyu mzee wa vyupi na shanga niwakupuuzwa tu hana lolote analoweza ongea akashtua nafsi zetu huyu huyu vigazeti vyake miaka yote vilituhabarisha lowasa, lowasa, fisadi fisadi ushahidi anao kumbe mchimba chumvi tu kama anaushahidi wa mhongo kua alishiriki kwenye ufisadi huo ni vyema ushahidi huo apeleke mahakamani.
Yaani tume ya Mwakyembe ina kazi ya kudumu kumsafisha Lowassa?....lusinde alishamaliza kwa kutabanaisha kwamba waliomchafua lowasa wana kazi ya kudumu ya kumsafisha...
Kwani kubenea alishaonyesha vyeti vyake?Aaaah huyu kebenea wa std 7 ndio anapambana na profesa
wafanyabiashara marafiki zake wote wangeshakuwa mabilionea. friends of LowaKwa Lowasa hiki anachofanya Magu ni cha mtoto. Tungelishuhudia mabadiliko ya kasi tena bila kutumia magufu kama anavyofanya Magu. Halafu lazma kuwa systematic, siyo kila kukicha unatoa jambo jipya bila kufanya analysis ya lile la jana ni kwa kiasi gani umefikia au kukaribia lengo.