Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Tungeenda vizuri sana Lowasa alijiandaa kuwa Rais tena urais ulikuwa sahiz YAKE alikuwa na marafiki wengi wakimataifa
 
Afadhali , Lazima watanzania wote ifike mahali wamuelewe rais Magufuli. Hawa vibaraka wa Mafisadi wao hakuna haja ya kuwabembeleza, ni kuwatia kitanzi sawasawa
hivi na yeye amepigwa stop kusafiri nje ya nchi, ama wakati ule alikuwa anasafiria pesa zake maana tangu baada ya uchaguzi sijasikia kama ameenda Ulaya tena!
 
Ingekuwa ni moja ya nchi hatari duniani kwa wasio nacho ambao ni wengi kuishi na kufurahia japo uwepo wao duniani,maana Tungekamliwa hadi mkojo.ili kurudisha pesa alizotumia.
Majengo ya BOT ingekuwa ndio ofisi ya chadema.
Na ndio ingekuwa anguko rasmi la nchi hii.Mungu anatupenda sana aisee!
 
Back
Top Bottom