bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,836
- 4,152
Lowasa angekuwa rais vijana wote wasio na kazi wangelipwa mishahara kila mwezi
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Lowasa angekuwa rais vijana wote wasio na kazi wangelipwa mishahara kila mwezi
Labda hazina ya UFISADI WA TAIFALowasa ni hazina ya Taifa
Na Marekani ingekuwa kama Tanzania je?
Kwani mpango wa miaka mitano haipo mkuu!?Chenge asingekuwa mwenyekiti wa bunge wala nape waziri! Angekuwa lowasa tungekuwa tayari na mpango wa maendeleo wa miaka mitano
Wewe ni wa kudharau kama watu wanavyidharau familia yenu!Du.............!!!!!!!
Pana pointi............!!!!
Ila sijui, pengine Lowassa angebadilika na kuuza mali zake zote na kuwapa masikini!!
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?
Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?
Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?
Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Kama huna kitu chenye akili kuchangia, peruzi mitandao mingine inayokufaa!Wewe ni wa kudharau kama watu wanavyidharau familia yenu!
Kama angelikuwa Lowassa ni Rais mkwamo wa kisiasa ZANZIBAR UINGEKUWA HISTORIAKama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?
Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?
Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?
Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Una ushaidiWasiwasi wangu pekee kuhusu Lowassa ilikuwa ni wale marafiki zake wasiojulikana ambao wamekuwa wakimpa mabilioni ya pesa kutoa makanisani, misikitini (hata kununulia ugombea CHADEMA) miaka nenda miaka rudi. Hawa jamaa si ajabu wangekuwa wameshaigeuza ikulu kuwa pango la walanguzi. Ni hilo tu ndo lilikuwa linanikera hata ukiniangalia usoni utaamini ni kweli lilikuwa linanikera (Nimekumbuka hotuba mashuhuri ya Baba wa Taifa)
Lowasa kipenzi cha watuNingkuwa na uwezo hawa wanomsema sema lowassa vibaya .....