Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Ni mambo ya ajabu sana Mbunge wa Ubungo (chadema) amemshangaa Rais Magufuli kumrudisha Wizara ya Madini Waziri Muhongo akidai kwamba alijiuzuru kutokana na kashfa ya escrow, lakini hashangai Chama chake cha kilaghai na kitapeli CHADEMA kumkaribisha Lowassa ambaye ni fisadi mkubwa si ajabu aliyewahi kuishi Tanzania tangu kuanzishwa kwake ambaye Uwaziri Mkuu wake ulisitishwa kwa wizi wa mali ya umma na ambaye Chama chake cha CCM kilimzuia kugombea Urais kwa kutokuwa na sifa kutokana na wizi!

Lakini Chama cha Kubenea (CHADEMA) bado kilimkaribisha na siku hiyo hiyo ndani ya masaa machache kikampa bila ya kushindanishwa kinyume na taratibu hata kwa standard ya chama cha kitapeli kama CHADEMA nafasi ya kugombea Urais, ina maana kama ingetokea miujiza CHADEMA kingeshinda Uchaguzi leo hii tungekuwa na Rais ambaye Dunia nzima inamtambua kwamba ni mwizi na alijiuzuru kwa sababu ya wizi wa Mali ya umma, sasa Kubenea anapata wapi hata uhalali wa kuhoji Uwaziri wa Muhongo?
 
Kwani kuhoji uwaziri wa muhongo au uraisi wa Makufuli ni mbaya? ubaya wake nini? wapuuzi kweli ninyi! Kwani yeye Mungu asihojiwe? Nyumbu ninyi!
 
Atafanyiwa kama sendeka hamjui mhongo kuwa ni mjita..! Kubenea sigha mumura..
 
Katika watu ambao wanastahili kupuuzwa ni Saed Kubenea. Ameshakula sana vya Lowasa. Sasa ana kazi kubwa ya kumsafisha
 
kwani niulize Muhongo ana kesi ngapi mahakamani mpaka sasa. kwani vyombo vya dola vilitoa findings gani kuhusu yeye. makamanda tusiwe na ushabiki wa kipumbaf ambao hata hausaidii lolote.
tukimuuliza Kubenea atupe ushahidi wa kuwa Lowasa ni fisadi gazeti lake la kiuchunguzi lililokuwa likitufanya tununue tusome. atatupa.?? asituletee upumbaf wa elimu ya hapa na pale. asidhani wote ni wajinga kama yeye.
 
Kubenea tafadhali msafishe kwanza Lowasa ambaye ulikuwa unasema ni fisadi la kutupwa. kwa miaka minane alikuwa anatuambia haya kwenye magazeti yake ya mwanahalisi. aje atuambie ametumia njia gani ya kumsafisha. na je ushahidi aliokuwa anasema anao aliupeleka polisi au wapi
 
Ni mambo ya ajabu sana Mbunge wa Ubungo (chadema) amemshangaa Rais Magufuli kumrudisha Wizara ya Madini Waziri Muhongo akidai kwamba alijiuzuru kutokana na kashfa ya escrow, lakini hashangai Chama chake cha kilaghai na kitapeli CHADEMA kumkaribisha Lowassa ambaye ni fisadi mkubwa si ajabu aliyewahi kuishi Tanzania tangu kuanzishwa kwake ambaye Uwaziri Mkuu wake ulisitishwa kwa wizi wa mali ya umma na ambaye Chama chake cha CCM kilimzuia kugombea Urais kwa kutokuwa na sifa kutokana na wizi!

Lakini Chama cha Kubenea (CHADEMA) bado kilimkaribisha na siku hiyo hiyo ndani ya masaa machache kikampa bila ya kushindanishwa kinyume na taratibu hata kwa standard ya chama cha kitapeli kama CHADEMA nafasi ya kugombea Urais, ina maana kama ingetokea miujiza CHADEMA kingeshinda Uchaguzi leo hii tungekuwa na Rais ambaye Dunia nzima inamtambua kwamba ni mwizi na alijiuzuru kwa sababu ya wizi wa Mali ya umma, sasa Kubenea anapata wapi hata uhalali wa kuhoji Uwaziri wa Muhongo?
hata wewe unaweza kumuhoji hili ni taifa letu soooote km mtu kakwiba asihojiwe kisa nnn vyeo vyenyewe hivi vya kupeana yaani mtu anafahamika kabisa kwa upupu wake unamfunika na uwaziri halafu unahoji kuhojiwa kwake??? nonesense


ifike mahali tuelewe haki zetu tukiamua kukataa ufisadi tusioneane haya ....

nji za wenzetu ukiwa na kashfa hata ya kumnunulia kimada gari kwa hela ya uma they hang you hapa unafanya madudu halafu unapewa takrima ya uongozi fulani halafu inakuwa kinga ...no hapana
 
mtu wa elimu ya hapa na pale, nadhani hata darasa la saba hakufika. leo anaweza kuhoji credibility ya Muhongo? ? kwa ushahidi gani aliokuwa nao. ndio maana Mkapa alituita wapumbaf na malofa.
atuambie kwanza ufisadi wa lowasa aliokuwa akituambia ni wa aina gani na uliishaje. na kwa ninialikuwa anatumia mbinu hiyo kutufanya tununue magazeti yake ya kitapeli.
 
Ni mambo ya ajabu sana Mbunge wa Ubungo (chadema) amemshangaa Rais Magufuli kumrudisha Wizara ya Madini Waziri Muhongo akidai kwamba alijiuzuru kutokana na kashfa ya escrow,..
Naona mapovu tu. Kubenea ni mbunge, wewe ni typist. Nadhani hadi hapo unaweza kuona nani walau anaweza akahoji hilo na kusikika kwa urahisi
 
Mzee wa chachandu na mambo yake ya hapa na pale.
Aendelee na kazi yake ya kukagua shanga. Inaelekea ndiyo anaimudu!
 
Back
Top Bottom