nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,735
- 14,165
Rais wa zamani Cuba, Fidel Castro awaaga wajumbe wa Chama Cha Kikomunisti Cuba na kuwaambia atakufa siku si nyingi lakini mapinduzi yataishi
Mwanamapinduzi na kiongozi mzalendo wa Taifa Timamu la Cuba atamka alamsiki kama babu zetu walivyofanya.
Si kitu rahisi lakini hana budi .
Alizaliwa kijijini Biran mwaka 1926.
Mwaka 1955 alipokea tuzo ya Batista.Bwana huyo aliweka record ya kuogelea kipande kirefu baharini na kuingia nchini Cuba na kufanikisha mapinduzi.
Amina.