Fidel Castro ajitabiria kifo

Fidel Castro ajitabiria kifo

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,735
Reaction score
14,165
95863447_Fidel_Castro_who_claims_that_he_will_die_soon-large_trans++eo_i_u9APj8RuoebjoAHt0k9u7HhRJvuo-ZLenGRumA.jpg

Rais wa zamani Cuba, Fidel Castro awaaga wajumbe wa Chama Cha Kikomunisti Cuba na kuwaambia atakufa siku si nyingi lakini mapinduzi yataishi

Mwanamapinduzi na kiongozi mzalendo wa Taifa Timamu la Cuba atamka alamsiki kama babu zetu walivyofanya.

Si kitu rahisi lakini hana budi .

Alizaliwa kijijini Biran mwaka 1926.
Mwaka 1955 alipokea tuzo ya Batista.Bwana huyo aliweka record ya kuogelea kipande kirefu baharini na kuingia nchini Cuba na kufanikisha mapinduzi.

Amina.
 
95863447_Fidel_Castro_who_claims_that_he_will_die_soon-large_trans++eo_i_u9APj8RuoebjoAHt0k9u7HhRJvuo-ZLenGRumA.jpg


Mwana mapinduzi na kiongozi nzalendo wa Taifa Timamu la Cuba..Atamka alamsiki kama babu zetu walivyofanya.

Si kitu rahisi..lakini hana budi .

Alizaliwa kijijini Biran mwaka 1926.
Mwaka 1955 alipoea tuzo ya Batista..bwana huyo aliweka record ya kuogelea kipande kirefu baharini na kuingia nchini Cuba na kufanikisha mapinduzi.
AMINa
Naaam ukifanya mema duniani hakika matendo yako yatakufuata hata malaika wanajua
 
Back
Top Bottom