Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Hii ndio shida yako,unatangaza vita nikija tupigane unalala chini na kupiga yowe. Hivi kwann upo namna hii wewe?😂
Nimekuambia anzisha mada ya ushoga, afu uone jinsi nitakavyo tiririka, hii ya feminism hainihusu kabisaa.

Kwenye mada ya ushogaa huniwezi kamwee, sana utaishia kupovukwa. Wee endelea kulumbana na wahusika wa hoja za feminism. Ila ukianzisha mada ya gays, nitag nikufurahishee.
😂😂😂😂😂😂
 
Kwa jinsi nilivyosoma comment yake hapo juu ambayo amekulenga wewe mleta mada, sidhani kama anaweza kusoma na kuelewa hilo bandiko langu.
Ni kweli, sitoweza kusoma bandiko lako lote, ila nitakujibu kwa uchache wake.
Angalia hata hoja nyepesi alizokuandikia hapo utagundua kuwa ni wale wale wanaotaka tuendelee kuamini feminism ya sasa bado iko katika ile ile misingi ya dhumuni kuu ambayo ni kupigania equality.
Sawa, nimeandika hoja nyepesi kuliko zako nzito, lakini nilifikiri huu ni mjadala wenye lengo la kujenga na sio kutoleana lugha ziziso. Ndio maana katika comments zangu hujaona nikikashifu maoni ya mwengine.
Kingine, mleta mada hakuweka mipaka katika kujadili athari za modern or traditional feminism. Ndio maana akataka kujua faida za feminism(kwa maelezo yake, toka ianzishwe miaka ya 1990)
Ukisoma maelezo yako hapo, kwamba feminism ilikuwepo, na misingi yake ni katika equality, lakini kwako unaamini feminism kwa sasa imeenda beyond equality na kumpendelea mwanamke huku ikimkandamiza mwanaume. ( OK, hiki ndicho nilichokiomba, kuwa tupeni mfano. Mfano ukisema sheria ya ndoa, basi to a mfano. Hii ni sehemu tunajifunza, na sio kupeana maneno ya dharau, kuona hoja za wengine ni ujinga)

Ndio maana katika moja ya comments zangu, nikasema feminism sio ndogo, ni jambo pana. Na nikasema kuwa feminists hata wao kwa wao wanapingana. Ndio maana kuna makundi kama vile liberal, Marxist, modern feminists etc. Kila watu wana msimamo wao, na kila kundi linaweza kuona wengine wamekengeuka.
Umetolewa mfano kuwa kuna mwanamke anaefanye IMF na anaamini katika traditional family. Hii haindoi ukweli kuwa feminists movements zimemsaidia kufika hapo alipo. Haijalishi anafuata mlengo gani, sababu wapo feminists ambao wanaamini mwanamke anatakiwa kubaki katika role zile zile za traditional wife, lakini akapata haki nyingine alizonyimwa na mfumo Dume kama kushiriki katika siasa nk.
Kwa hoja yako hapo juu ni kwamba hata wewe unakubali kuwa feminists walikuwepo, na wapo, ila kinachokera ni kuona wanaenda beyond equality.
Ndio maana unaona anasema eti siku hizi tuna madoctors wa kike,ma engineers wa kike n.k ... sasa kwani nani hataki kuwepo na watalaamu wa kike wa kada mbali mbali? Asichokijua ni kwamna aina ta feminism iliyowaleta hao madokta wa kike kila mtu alii support na tunaendelea kui support mpaka leo hii, kwani matunda yake tunayaona.
Zemanda, soma hiyo mistari juu, ulitaka kujua faida ya feminism toka ianzishwe, huyu mwenzako katusaidia hapo kwamba kulikuwa na aina ya feminism ambayo hata yeye alii support, ambayo imeleta hao madaktari. Kwa hiyo feminism sio kitu haramu kwa ujumla kama ulivyoamini, bali liko kundi LA feminists ambalo hamjapenda misimamo yake.
Basi kwa misingi hiyo hata Jada yuko sahihi, kwani anachoamini ni katika usawa, na ndio msimamo wake katika comments zake nilizosoma. Hajatakwa kuwepo na beyond equality, kwamba pawepo mfumo jike.
Natolea mfano katika siasa, ukisoma history siasa ilikuwepo toka enzi na enzi, hata dola za zamani zilizotawaliwa na machifu palikuwa na siasa. Tukaja kuwa na mfumo wa chama kimoja cha siasa. Kisha tukapigania mfumo wa vyama vingi, kwa nini tulipigania vyama vingi? Ni kwa sababu tuliamini kuwa ndani ya chama kimoja kuna ukandamizaji wa demokrasia, uminywaji wa haki nk,
Na sasa tuna vyama vingi, wapo wanaondelea kusimama katika misingi ya ccm wakiamini ndio sahihi, na wapo chadema etc, ccm ikikiuka misingi ya haki haimaanishi siasa yote ni haramu. Tutaangalia upande mwingine wenye hoja,
The same kwenye feminism, nilipingana na mleta thread kwamba yote ni haramu, kwa kuwa naamini kuwa upande mwingine ni nzuri.

Mfano Mimi siwezi kubaliana na hoja za lesbian feminists, wanaoamini ili mwanamke akombolewe ni lazima waishi wao kama wao. Wakiamini mwanaume ndio adui yao mkuu.
Asichokijua kinachohubiriwa na modern feminists ni tofauti kabisa na kile wanachoki practice, kinachofanyika sasa hivi ni shifting of oppression from one side to opposite side tena bila remorse yoyote.
Ndugu, inawezekana unajua mengi zaidi yangu, ila haiondoi ukweli kuwa hata we we innawezekana huelewi unachoandika. Nilikuomba nitolee mfano, nikajibiwa huko juu kuwa sheria sijui ya niñi na nini, semeni basi how imemkandamiza mwanaume.


Zemanda ametoa mfano hapo katika matangazo ya kazi. Kwanza nimpongeze, hizo ndio hoja tunazotaka, tunabishana kwa hoja na mifano. Tena kwa lugha nzuri.
Na Mimi nitamjibu kwa kutumia mfano. Unapochukua mzani kupima kitu, upande mmoja ukielemea upande mwingine, either utafanya jitihada kuongeza or kupunguza ili kuwepo usawa. Ndio maana kukawepo na special seats hata katika siasa ili kupigania usawa. Sidhani kama mfano wake kuwa tanroads sijui katika ajira 12 mwanaume watatu ni athari za feminism, kama malengo yalikuwa ni kuongeza usawa katika ajira hakuna ubaya, ila kama ni madhaifu ya ubinadamu hiyo sio juu ya feminism.
Haiwezekani umalaya wa bosi tena may be wa kiume kuamua kupendelea mwanamke kwa faida zake binafsi ukasema ni madhara ya feminists movements.
Huyu tukimwambia sasa hivi nchini CANADA kuna sheria maalumu imetungwa kwa ajili ya kuwalinda wanawake tu basi sidhani kama anaweza hata kuamini.

Violence Against Women Act(VAWA).
Kabla hujaniambia Mimi story za Canada ungemuelewesha ndugu yako, sababu hata wewe umeikubali kuwa IPO, tena movements nzuri zipo, so sio kwamba ni haramu, Bali baadhi ya modern feminists wanaoenda beyond equality ndio adui zenu. Sababu traditional feminism hadi Leo wapo. Basi apiganie kile anachoona hakimfai na sio kuharamisha kila kitu.
Na walioipushi hiyo kitu ni mafeminists maana wana nguvu kweli kweli huko.

Kwake yeye anataka tuendelee kuamini habari za equal education rights,equal opportunities,equal participation, equal blah...blah. na wakati huko tumeshapita siku nyingi sana mzani umeshaanza kuelemea upande wa kiumeni.
Hapa Mimi ndio ninapopataka kwa hoja na mifano, kwamba tushavuka beyond equality katika eneo lipi, kubwa umenipa challenge hapo, nitakaa niipitie hiyo act ulosema ipo Canada. Hii ni dunia, hakuna anayejua kila kitu, basi tubishane kwa hoja na lugha nzuri, mfano kuna kaka hapo juu sijui ni fundi mchundo, yani. Mmempopoa vibaya, kwa kuwa hakubaliani na hoja zenu. Tujibishane kwa hoja. Hainafanyi nimuone mtu msomi kwa lugha ya malkia, Bali hoja zake na lugha yake yenye stars.
 
Ni kweli, sitoweza kusoma bandiko lako lote, ila nitakujibu kwa uchache wake.

Sawa, nimeandika hoja nyepesi kuliko zako nzito, lakini nilifikiri huu ni mjadala wenye lengo la kujenga na sio kutoleana lugha ziziso. Ndio maana katika comments zangu hujaona nikikashifu maoni ya mwengine.
Kingine, mleta mada hakuweka mipaka katika kujadili athari za modern or traditional feminism. Ndio maana akataka kujua faida za feminism(kwa maelezo yake, toka ianzishwe miaka ya 1990)
Ukisoma maelezo yako hapo, kwamba feminism ilikuwepo, na misingi yake ni katika equality, lakini kwako unaamini feminism kwa sasa imeenda beyond equality na kumpendelea mwanamke huku ikimkandamiza mwanaume. ( OK, hiki ndicho nilichokiomba, kuwa tupeni mfano. Mfano ukisema sheria ya ndoa, basi to a mfano. Hii ni sehemu tunajifunza, na sio kupeana maneno ya dharau, kuona hoja za wengine ni ujinga)

Ndio maana katika moja ya comments zangu, nikasema feminism sio ndogo, ni jambo pana. Na nikasema kuwa feminists hata wao kwa wao wanapingana. Ndio maana kuna makundi kama vile liberal, Marxist, modern feminists etc. Kila watu wana msimamo wao, na kila kundi linaweza kuona wengine wamekengeuka.
Umetolewa mfano kuwa kuna mwanamke anaefanye IMF na anaamini katika traditional family. Hii haindoi ukweli kuwa feminists movements zimemsaidia kufika hapo alipo. Haijalishi anafuata mlengo gani, sababu wapo feminists ambao wanaamini mwanamke anatakiwa kubaki katika role zile zile za traditional wife, lakini akapata haki nyingine alizonyimwa na mfumo Dume kama kushiriki katika siasa nk.
Kwa hoja yako hapo juu ni kwamba hata wewe unakubali kuwa feminists walikuwepo, na wapo, ila kinachokera ni kuona wanaenda beyond equality.

Zemanda, soma hiyo mistari juu, ulitaka kujua faida ya feminism toka ianzishwe, huyu mwenzako katusaidia hapo kwamba kulikuwa na aina ya feminism ambayo hata yeye alii support, ambayo imeleta hao madaktari. Kwa hiyo feminism sio kitu haramu kwa ujumla kama ulivyoamini, bali liko kundi LA feminists ambalo hamjapenda misimamo yake.
Basi kwa misingi hiyo hata Jada yuko sahihi, kwani anachoamini ni katika usawa, na ndio msimamo wake katika comments zake nilizosoma. Hajatakwa kuwepo na beyond equality, kwamba pawepo mfumo jike.
Natolea mfano katika siasa, ukisoma history siasa ilikuwepo toka enzi na enzi, hata dola za zamani zilizotawaliwa na machifu palikuwa na siasa. Tukaja kuwa na mfumo wa chama kimoja cha siasa. Kisha tukapigania mfumo wa vyama vingi, kwa nini tulipigania vyama vingi? Ni kwa sababu tuliamini kuwa ndani ya chama kimoja kuna ukandamizaji wa demokrasia, uminywaji wa haki nk,
Na sasa tuna vyama vingi, wapo wanaondelea kusimama katika misingi ya ccm wakiamini ndio sahihi, na wapo chadema etc, ccm ikikiuka misingi ya haki haimaanishi siasa yote ni haramu. Tutaangalia upande mwingine wenye hoja,
The same kwenye feminism, nilipingana na mleta thread kwamba yote ni haramu, kwa kuwa naamini kuwa upande mwingine ni nzuri.

Mfano Mimi siwezi kubaliana na hoja za lesbian feminists, wanaoamini ili mwanamke akombolewe ni lazima waishi wao kama wao. Wakiamini mwanaume ndio adui yao mkuu.

Ndugu, inawezekana unajua mengi zaidi yangu, ila haiondoi ukweli kuwa hata we we innawezekana huelewi unachoandika. Nilikuomba nitolee mfano, nikajibiwa huko juu kuwa sheria sijui ya niñi na nini, semeni basi how imemkandamiza mwanaume.


Zemanda ametoa mfano hapo katika matangazo ya kazi. Kwanza nimpongeze, hizo ndio hoja tunazotaka, tunabishana kwa hoja na mifano. Tena kwa lugha nzuri.
Na Mimi nitamjibu kwa kutumia mfano. Unapochukua mzani kupima kitu, upande mmoja ukielemea upande mwingine, either utafanya jitihada kuongeza or kupunguza ili kuwepo usawa. Ndio maana kukawepo na special seats hata katika siasa ili kupigania usawa. Sidhani kama mfano wake kuwa tanroads sijui katika ajira 12 mwanaume watatu ni athari za feminism, kama malengo yalikuwa ni kuongeza usawa katika ajira hakuna ubaya, ila kama ni madhaifu ya ubinadamu hiyo sio juu ya feminism.
Haiwezekani umalaya wa bosi tena may be wa kiume kuamua kupendelea mwanamke kwa faida zake binafsi ukasema ni madhara ya feminists movements.

Kabla hujaniambia Mimi story za Canada ungemuelewesha ndugu yako, sababu hata wewe umeikubali kuwa IPO, tena movements nzuri zipo, so sio kwamba ni haramu, Bali baadhi ya modern feminists wanaoenda beyond equality ndio adui zenu. Sababu traditional feminism hadi Leo wapo. Basi apiganie kile anachoona hakimfai na sio kuharamisha kila kitu.

Hapa Mimi ndio ninapopataka kwa hoja na mifano, kwamba tushavuka beyond equality katika eneo lipi, kubwa umenipa challenge hapo, nitakaa niipitie hiyo act ulosema ipo Canada. Hii ni dunia, hakuna anayejua kila kitu, basi tubishane kwa hoja na lugha nzuri, mfano kuna kaka hapo juu sijui ni fundi mchundo, yani. Mmempopoa vibaya, kwa kuwa hakubaliani na hoja zenu. Tujibishane kwa hoja. Hainafanyi nimuone mtu msomi kwa lugha ya malkia, Bali hoja zake na lugha yake yenye stars.
Yaan pamoja na mifano michache niliyokupa bado unaona haina mantiki, unauliza eti nikupe mifano? Kwamba unataka nikupe mifano ya kesi za talaka jinsi wanawake wanavyopendelewa mahakamani na sheria zetu kandamizi? Yaan nikutajie kabisa kuwa case namba 1034 baina ya Bi ashura na Bw.Hassan mazingira yake yalikuwa hivi na hivi kitu ambacho kilionesha upendeleo kwa mwanamke au?

Sasa basi kabla sijakupa hizo vivid examples unazotaka nijibu masuala yafuatayo:

1). Kuna adhabu gani ambayo ipo kwa mwanamke anayemfanyia mwanaume utapeli wa uzazi(partenity fraud)?

2).Ukiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wa jinsia zote, unapendekeza ni adhabu gani itolewe kwa mwanamke ambaye atapatikana na kosa la kumsingizia mwanaume kuwa amembaka?...(what is maximum penalty do you suggest for false rape accuser?.. mind you here in URT any one found guilty is expected to rot in jail for not less than 30 years)

3).Ni kwanini ukienda jela za wanawake huwezi kukuta wafungwa waliohukumiwa kwa kesi za child molestation na wakati huku mitaani wapo wanawake wengi tu wanaowafanyia watoto wa kiume unyanyasaji wa kingono uhusani wadada wa kazi?

Majibu yako kwa hayo maswali ndio yatatoa taswira ya muendelezo wa huu mjadala kati yangu na wewe.
 
Na Mimi nitamjibu kwa kutumia mfano. Unapochukua mzani kupima kitu, upande mmoja ukielemea upande mwingine, either utafanya jitihada kuongeza or kupunguza ili kuwepo usawa. Ndio maana kukawepo na special seats hata katika siasa ili kupigania usawa. Sidhani kama mfano wake kuwa tanroads sijui katika ajira 12 mwanaume watatu ni athari za feminism, kama malengo yalikuwa ni kuongeza usawa katika ajira hakuna ubaya, ila kama ni madhaifu ya ubinadamu hiyo sio juu ya feminism.
Haiwezekani umalaya wa bosi tena may be wa kiume kuamua kupendelea mwanamke kwa faida zake binafsi ukasema ni madhara ya feminists movements.
Yaani hapa umetumia maneno mepesi sana pamoja na assumptions zako ambazo hazina kichwa wala miguu kuidogosha au kudunisha hoja yenye mantiki nzito aliyoletea Zemanda, halafu bila aibu eti unaendelea kuuliza unataka mifano? Mifano ipi unayotoka binadamu wewe ambayo itakuwa ina mantiki kwako kama mifano unai downplay kwa justifications na assumptions za kitoto hivi?

Haya hebu twende na hii hii assumption yako, kwamba eti lengo la hao TANROAD kuajiri wanawake 9 kati ya nafasi 12 ilikuwa ni kulazimisha gender balance kutokana na uwepo wa wafanya kazi wa kike wachache hapo kwenye hiyo taasisi.

Sasa mbona hatuoni maamuzi ya dizaini hii yakifanyika kwenye kazi za jeshi?

Kumbuka kwenye jeshi letu kuna namba ndogo sana ya wanawake, mpaka sasa hivi wanajeshi wa kike ni 13% tu wanajeshi wote. Na serikali huwa kila leo inawahasa wanawake wajiunge na jeshi.

Sasa kwanini hatujawahi kuona serikali ikirecruit wanajeshi wa kike let's say labda 400 kati ya wanajeshi 600 katika awamu moja?

Kwanini serikali huwa haijali namba kubwa ya wanawake kiupendeleo kwenye majeshi yetu kama ZIMA MOTO na JWTZ hili kufix gender imbalance iliyopo huko kama ambavyo tunaona huko TRA na kwenye taasisi zingine zenye ulaji?

Na kwanin nyie feminists huwa hampigi kelele kuhusu hili na wakati mnataka haki sawa na mzani wa kijinsia ubalance kwenye kila sekta?

Nataka unijibu kwa mantiki iliyonyooka hapa kwanin mnachagua sekta za kupigania huo usawa wenu, na sio uniletee assumption za kitoto hapa mara sijui eti tamaa ya ngono ya muajiri ndio imefanya wanawake waajiriwe wengi.. nipe jibu lenye mashiko.
 
Yaan pamoja na mifano michache niliyokupa bado unaona haina mantiki, unauliza eti nikupe mifano? Kwamba unataka nikupe mifano ya kesi za talaka jinsi wanawake wanavyopendelewa mahakamani na sheria zetu kandamizi? Yaan nikutajie kabisa kuwa case namba 1034 baina ya Bi ashura na Bw.Hassan mazingira yake yalikuwa hivi na hivi kitu ambacho kilionesha upendeleo kwa mwanamke au?
Ndio, hakuna mfano ulonipa ukanishawishi, so, siwezi kukubali TU kuwa umenishawoshi, NA kingine sio kosa kisheria kupishana hoja wala huna deni katika kunishawishi nikubali au nikatae. Ndio maana hata zemanda alipotoa mfano wa jinsi matangazo ya kazi yanavyowekwa katika mfumo wa kumkandamiza mwanaume, nilimwelewa na kujibu hoja yake.
Sasa basi kabla sijakupa hizo vivid examples unazotaka nijibu masuala yafuatayo:

1). Kuna adhabu gani ambayo ipo kwa mwanamke anayemfanyia mwanaume utapeli wa uzazi(partenity fraud)?
Kukujibu swali lako, hapa Tanzania paternity fraud kwanza sio crime. Hakuna sheria inayosema ni crime. Lakini anayetenda jambo hilo anaweza kushtakiwa kupitia sheria nyingine kwa kuwa kitendo chake kitaambatana na utoaji taarifa za uongo, pamoja na kumnyima haki mtoto kumtambua biological father.
Kwa hiyo adhabu zipo, kama mwanamke atashtakiwa.

Na swali lako nikilirudisha katika case yetu ya athari za feminism hainijii wala kuniingia. Sababu sio kwamba kulikuwa na sheria ambazo zilimbana mwanamke katika suala LA paternity fraud, wakaja hawa feminists wakahakikisha hiyo sheria inaondolewa ili kumkandamiza mwanaume akose haki.
SASA hapo ni wapi feminism imeenda beyond equality na kukukandamiza mwanaume katika paternity fraud?
Hapo ni suala LA udhaifu wa sheria na sio feminists movements. Labda kama utakuja niambia ni hawa mafeminist wanapigana asubuhi mchana na jioni katika kuhakikisha paternity fraud inaendelea kutotambulika kama crime hapa Tanzania.
2).Ukiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wa jinsia zote, unapendekeza ni adhabu gani itolewe kwa mwanamke ambaye atapatikana na kosa la kumsingizia mwanaume kuwa amembaka?...(what is maximum penalty do you suggest for false rape accuser?.. mind you here in URT any one found guilty is expected to rot in jail for not less than 30 years)
Nikiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wote, binadamu yeyote, kwa kosa lolote. Haijalishi ni kubaka au kuua, apete hukumu kulingana na sheria ya kosa husika.
Na hapo ndipo tunapokuja kwenye hoja yako, ambayo kwa moyo wa dhati nikupongeze kwamba hii ni hoja ya msingi mno. Kwamba hukumu ya aliyebaka ni miaka isiyopungua 30, lakini hukumu kwa aliyesingizia kubakwa itakuwa ni pungufu ya hapo.
Kisha nitarudi kwenye hoja yetu ya msingi, kwamba adui yenu sio feminism Bali ni sheria. Sio kwamba feminists walikuta sheria ambayo inasema kuwa mwanamke anayesingizia apate kifungo hiki, wao wakapigana kuhakikisha sheria inafutwa na kuwakandamiza.

Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30.
Je sheria inasemaje ikitokea mwanamke amebaka? Au sheria inaainisha kuwa ubakaji ni kosa linalotendwa na mwanaume pekee?
Je sheria inampendelea mwanamke mbakaji kuwa akae jela miaka miwili lakini mwanaume 30.

3).Ni kwanini ukienda jela za wanawake huwezi kukuta wafungwa waliohukumiwa kwa kesi za child molestation na wakati huku mitaani wapo wanawake wengi tu wanaowafanyia watoto wa kiume unyanyasaji wa kingono uhusani wadada wa kazi?
Ni ukosefu wa elimu. Ni uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
Nipo kwa ajili ya kujifunza.

Majibu yako kwa hayo maswali ndio yatatoa taswira ya muendelezo was huu mjadala kati yangu na wewe.
Majibu yangu hayo hapo.
Na msimamo wangu utabaki kuwa mleta thread ana haki ya kuamini kuwa feminism ni kirusi haramu, bila kuona wanaopinga hoja kama fundi mchundo, Jada nk wamepotea.
Nawe pia ni mtu unayeamini katika feminism, kwamba ilikuwepo na ipo na faida zake ulikubaliana nami tofauti na zemanda ambaye hajaona faida toka ianzishwe.
The only thing, kinachokukera wewe ni modern feminism ambayo unaamini kuwa imeenda beyond equality. Na hapo ndipo nilipokutaka Mimi hoja kuwa tupe mifano ili tujifunze. Tuone athari zake ili tujikinge.
Ndio uzuri wa kuwepo kwa mijadala kama hii ili tupate points kutoka kwenu wasomi. Ila kama unaona kwamba huyu ninaeongea nae kichwa maji haelewi, usipate haja ya kujichosha.
 
Yaani hapa umetumia maneno mepesi sana pamoja na assumptions zako ambazo hazina kichwa wala miguu kuidogosha au kudunisha hoja yenye mantiki nzito aliyoletea Zemanda, halafu bila aibu eti unaendelea kuuliza unataka mifano? Mifano ipi unayotoka binadamu wewe ambayo itakuwa ina mantiki kwako kama mifano unai downplay kwa justifications na assumptions za kitoto hivi?

Haya hebu twende na hii hii assumption yako, kwamba eti lengo la hao TANROAD kuajiri wanawake 9 kati ya nafasi 12 ilikuwa ni kulazimisha gender balance kutokana na uwepo wa wafanya kazi wa kike wachache hapo kwenye hiyo taasisi.

Sasa mbona hatuoni maamuzi ya dizaini hii yakifanyika kwenye kazi za jeshi?

Kumbuka kwenye jeshi letu kuna namba ndogo sana ya wanawake, mpaka sasa hivi wanajeshi wa kike ni 13% tu wanajeshi wote. Na serikali huwa kila leo inawahasa wanawake wajiunge na jeshi.

Sasa kwanini hatujawahi kuona serikali ikirecruit wanajeshi wa kike let's say labda 400 kati ya wanajeshi 600 katika awamu moja?

Kwanini serikali huwa haijali namba kubwa ya wanawake kiupendeleo kwenye majeshi yetu kama ZIMA MOTO na JWTZ hili kufix gender imbalance iliyopo huko kama ambavyo tunaona huko TRA na kwenye taasisi zingine zenye ulaji?

Na kwanin nyie feminists huwa hampigi kelele kuhusu hili na wakati mnataka haki sawa na mzani wa kijinsia ubalance kwenye kila sekta?

Nataka unijibu kwa mantiki iliyonyooka hapa kwanin mnachagua sekta za kupigania huo usawa wenu, na sio uniletee assumption za kitoto hapa mara sijui eti tamaa ya ngono ya muajiri ndio imefanya wanawake waajiriwe wengi.. nipe jibu lenye mashiko.
Over and out, maana nishajua naongea na kiumbe wa aina gani. Napoteza energy Bure TU.
 
Yaani hapa umetumia maneno mepesi sana pamoja na assumptions zako ambazo hazina kichwa wala miguu kuidogosha au kudunisha hoja yenye mantiki nzito aliyoletea Zemanda, halafu bila aibu eti unaendelea kuuliza unataka mifano? Mifano ipi unayotoka binadamu wewe ambayo itakuwa ina mantiki kwako kama mifano unai downplay kwa justifications na assumptions za kitoto hivi?

Haya hebu twende na hii hii assumption yako, kwamba eti lengo la hao TANROAD kuajiri wanawake 9 kati ya nafasi 12 ilikuwa ni kulazimisha gender balance kutokana na uwepo wa wafanya kazi wa kike wachache hapo kwenye hiyo taasisi.
Nakubaliana na wewe kuwa ninaweza kuwa na hoja za kitoto, lakini at least ubongo wangu unafanya kazi. Zemanda nilimuomba mfano akaja na huo wa tanroads, na huo ndio usomi na ukomavu, nimemwelewa haijalishi kama nilimpinga au vipi.

Nimekomaa na wewe kuwa toa mfano upo na nge nge nyingi mfano siuoni. Yani nikuulize nitajie mazao ya nafaka unijibu ni mazao yanayolimwa mkoa wa Moro,
Wewe hoja yako ni kuwa tuko beyond equality.
 
Ndio, hakuna mfano ulonipa ukanishawishi, so, siwezi kukubali TU kuwa umenishawoshi, NA kingine sio kosa kisheria kupishana hoja wala huna deni katika kunishawishi nikubali au nikatae. Ndio maana hata zemanda alipotoa mfano wa jinsi matangazo ya kazi yanavyowekwa katika mfumo wa kumkandamiza mwanaume, nilimwelewa na kujibu hoja yake.

Kukujibu swali lako, hapa Tanzania paternity fraud kwanza sio crime. Hakuna sheria inayosema ni crime. Lakini anayetenda jambo hilo anaweza kushtakiwa kupitia sheria nyingine kwa kuwa kitendo chake kitaambatana na utoaji taarifa za uongo, pamoja na kumnyima haki mtoto kumtambua biological father.
Kwa hiyo adhabu zipo, kama mwanamke atashtakiwa.

Na swali lako nikilirudisha katika case yetu ya athari za feminism hainijii wala kuniingia. Sababu sio kwamba kulikuwa na sheria ambazo zilimbana mwanamke katika suala LA paternity fraud, wakaja hawa feminists wakahakikisha hiyo sheria inaondolewa ili kumkandamiza mwanaume akose haki.
SASA hapo ni wapi feminism imeenda beyond equality na kukukandamiza mwanaume katika paternity fraud?
Hapo ni suala LA udhaifu wa sheria na sio feminists movements. Labda kama utakuja niambia ni hawa mafeminist wanapigana asubuhi mchana na jioni katika kuhakikisha paternity fraud inaendelea kutotambulika kama crime hapa Tanzania.

Nikiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wote, binadamu yeyote, kwa kosa lolote. Haijalishi ni kubaka au kuua, apete hukumu kulingana na sheria ya kosa husika.
Na hapo ndipo tunapokuja kwenye hoja yako, ambayo kwa moyo wa dhati nikupongeze kwamba hii ni hoja ya msingi mno. Kwamba hukumu ya aliyebaka ni miaka isiyopungua 30, lakini hukumu kwa aliyesingizia kubakwa itakuwa ni pungufu ya hapo.
Kisha nitarudi kwenye hoja yetu ya msingi, kwamba adui yenu sio feminism Bali ni sheria. Sio kwamba feminists walikuta sheria ambayo inasema kuwa mwanamke anayesingizia apate kifungo hiki, wao wakapigana kuhakikisha sheria inafutwa na kuwakandamiza.

Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30.
Je sheria inasemaje ikitokea mwanamke amebaka? Au sheria inaainisha kuwa ubakaji ni kosa linalotendwa na mwanaume pekee?
Je sheria inampendelea mwanamke mbakaji kuwa akae jela miaka miwili lakini mwanaume 30.


Ni ukosefu wa elimu. Ni uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
Nipo kwa ajili ya kujifunza.


Majibu yangu hayo hapo.
Na msimamo wangu utabaki kuwa mleta thread ana haki ya kuamini kuwa feminism ni kirusi haramu, bila kuona wanaopinga hoja kama fundi mchundo, Jada nk wamepotea.
Nawe pia ni mtu unayeamini katika feminism, kwamba ilikuwepo na ipo na faida zake ulikubaliana nami tofauti na zemanda ambaye hajaona faida toka ianzishwe.
The only thing, kinachokukera wewe ni modern feminism ambayo unaamini kuwa imeenda beyond equality. Na hapo ndipo nilipokutaka Mimi hoja kuwa tupe mifano ili tujifunze. Tuone athari zake ili tujikinge.
Ndio uzuri wa kuwepo kwa mijadala kama hii ili tupate points kutoka kwenu wasomi. Ila kama unaona kwamba huyu ninaeongea nae kichwa maji haelewi, usipate haja ya kujichosha.
Yaani hivi ndivyo jinsi ulivyojibu hoja zangu serious??? Una umri gani kwanza kumbe naongea na kasichana ambako akili zake bado ziko kwenye infant stage
Ndio, hakuna mfano ulonipa ukanishawishi, so, siwezi kukubali TU kuwa umenishawoshi, NA kingine sio kosa kisheria kupishana hoja wala huna deni katika kunishawishi nikubali au nikatae. Ndio maana hata zemanda alipotoa mfano wa jinsi matangazo ya kazi yanavyowekwa katika mfumo wa kumkandamiza mwanaume, nilimwelewa na kujibu hoja yake.

Kukujibu swali lako, hapa Tanzania paternity fraud kwanza sio crime. Hakuna sheria inayosema ni crime. Lakini anayetenda jambo hilo anaweza kushtakiwa kupitia sheria nyingine kwa kuwa kitendo chake kitaambatana na utoaji taarifa za uongo, pamoja na kumnyima haki mtoto kumtambua biological father.
Kwa hiyo adhabu zipo, kama mwanamke atashtakiwa.

Na swali lako nikilirudisha katika case yetu ya athari za feminism hainijii wala kuniingia. Sababu sio kwamba kulikuwa na sheria ambazo zilimbana mwanamke katika suala LA paternity fraud, wakaja hawa feminists wakahakikisha hiyo sheria inaondolewa ili kumkandamiza mwanaume akose haki.
SASA hapo ni wapi feminism imeenda beyond equality na kukukandamiza mwanaume katika paternity fraud?
Hapo ni suala LA udhaifu wa sheria na sio feminists movements. Labda kama utakuja niambia ni hawa mafeminist wanapigana asubuhi mchana na jioni katika kuhakikisha paternity fraud inaendelea kutotambulika kama crime hapa Tanzania.

Nikiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wote, binadamu yeyote, kwa kosa lolote. Haijalishi ni kubaka au kuua, apete hukumu kulingana na sheria ya kosa husika.
Na hapo ndipo tunapokuja kwenye hoja yako, ambayo kwa moyo wa dhati nikupongeze kwamba hii ni hoja ya msingi mno. Kwamba hukumu ya aliyebaka ni miaka isiyopungua 30, lakini hukumu kwa aliyesingizia kubakwa itakuwa ni pungufu ya hapo.
Kisha nitarudi kwenye hoja yetu ya msingi, kwamba adui yenu sio feminism Bali ni sheria. Sio kwamba feminists walikuta sheria ambayo inasema kuwa mwanamke anayesingizia apate kifungo hiki, wao wakapigana kuhakikisha sheria inafutwa na kuwakandamiza.

Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30.
Je sheria inasemaje ikitokea mwanamke amebaka? Au sheria inaainisha kuwa ubakaji ni kosa linalotendwa na mwanaume pekee?
Je sheria inampendelea mwanamke mbakaji kuwa akae jela miaka miwili lakini mwanaume 30.


Ni ukosefu wa elimu. Ni uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
Nipo kwa ajili ya kujifunza.


Majibu yangu hayo hapo.
Na msimamo wangu utabaki kuwa mleta thread ana haki ya kuamini kuwa feminism ni kirusi haramu, bila kuona wanaopinga hoja kama fundi mchundo, Jada nk wamepotea.
Nawe pia ni mtu unayeamini katika feminism, kwamba ilikuwepo na ipo na faida zake ulikubaliana nami tofauti na zemanda ambaye hajaona faida toka ianzishwe.
The only thing, kinachokukera wewe ni modern feminism ambayo unaamini kuwa imeenda beyond equality. Na hapo ndipo nilipokutaka Mimi hoja kuwa tupe mifano ili tujifunze. Tuone athari zake ili tujikinge.
Ndio uzuri wa kuwepo kwa mijadala kama hii ili tupate points kutoka kwenu wasomi. Ila kama unaona kwamba huyu ninaeongea nae kichwa maji haelewi, usipate haja ya kujichosha.
Yaan hivi ndivyo ulivyojibu hoja zangu? Una umri gani kwanza we binti nishaanza kuona kumbe najibizana na kasichana ambako ndio kametoka kuvunja uongo na akili zake bado ziko kwenye developing stage maana ujengaji wako wa hoja ni wa KITOTO sana.
 
Ndio, hakuna mfano ulonipa ukanishawishi, so, siwezi kukubali TU kuwa umenishawoshi, NA kingine sio kosa kisheria kupishana hoja wala huna deni katika kunishawishi nikubali au nikatae. Ndio maana hata zemanda alipotoa mfano wa jinsi matangazo ya kazi yanavyowekwa katika mfumo wa kumkandamiza mwanaume, nilimwelewa na kujibu hoja yake.

Kukujibu swali lako, hapa Tanzania paternity fraud kwanza sio crime. Hakuna sheria inayosema ni crime. Lakini anayetenda jambo hilo anaweza kushtakiwa kupitia sheria nyingine kwa kuwa kitendo chake kitaambatana na utoaji taarifa za uongo, pamoja na kumnyima haki mtoto kumtambua biological father.
Kwa hiyo adhabu zipo, kama mwanamke atashtakiwa.

Na swali lako nikilirudisha katika case yetu ya athari za feminism hainijii wala kuniingia. Sababu sio kwamba kulikuwa na sheria ambazo zilimbana mwanamke katika suala LA paternity fraud, wakaja hawa feminists wakahakikisha hiyo sheria inaondolewa ili kumkandamiza mwanaume akose haki.
SASA hapo ni wapi feminism imeenda beyond equality na kukukandamiza mwanaume katika paternity fraud?
Hapo ni suala LA udhaifu wa sheria na sio feminists movements. Labda kama utakuja niambia ni hawa mafeminist wanapigana asubuhi mchana na jioni katika kuhakikisha paternity fraud inaendelea kutotambulika kama crime hapa Tanzania.

Nikiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wote, binadamu yeyote, kwa kosa lolote. Haijalishi ni kubaka au kuua, apete hukumu kulingana na sheria ya kosa husika.
Na hapo ndipo tunapokuja kwenye hoja yako, ambayo kwa moyo wa dhati nikupongeze kwamba hii ni hoja ya msingi mno. Kwamba hukumu ya aliyebaka ni miaka isiyopungua 30, lakini hukumu kwa aliyesingizia kubakwa itakuwa ni pungufu ya hapo.
Kisha nitarudi kwenye hoja yetu ya msingi, kwamba adui yenu sio feminism Bali ni sheria. Sio kwamba feminists walikuta sheria ambayo inasema kuwa mwanamke anayesingizia apate kifungo hiki, wao wakapigana kuhakikisha sheria inafutwa na kuwakandamiza.

Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30.
Je sheria inasemaje ikitokea mwanamke amebaka? Au sheria inaainisha kuwa ubakaji ni kosa linalotendwa na mwanaume pekee?
Je sheria inampendelea mwanamke mbakaji kuwa akae jela miaka miwili lakini mwanaume 30.


Ni ukosefu wa elimu. Ni uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
Nipo kwa ajili ya kujifunza.


Majibu yangu hayo hapo.
Na msimamo wangu utabaki kuwa mleta thread ana haki ya kuamini kuwa feminism ni kirusi haramu, bila kuona wanaopinga hoja kama fundi mchundo, Jada nk wamepotea.
Nawe pia ni mtu unayeamini katika feminism, kwamba ilikuwepo na ipo na faida zake ulikubaliana nami tofauti na zemanda ambaye hajaona faida toka ianzishwe.
The only thing, kinachokukera wewe ni modern feminism ambayo unaamini kuwa imeenda beyond equality. Na hapo ndipo nilipokutaka Mimi hoja kuwa tupe mifano ili tujifunze. Tuone athari zake ili tujikinge.
Ndio uzuri wa kuwepo kwa mijadala kama hii ili tupate points kutoka kwenu wasomi. Ila kama unaona kwamba huyu ninaeongea nae kichwa maji haelewi, usipate haja ya kujichosha.
"Tanzania paternity fraud kwanza sio crime."

Kwanini sio crime? Huoni kwamba kitendo cha kutoitambua kuwa ni kosa ni kama kubariki hivyo vitendo nq ndio maana vimeshamiri sana miaka hii?

Hivi unajua maumivu na trauma anayopitia mwanaume baada ya kugundua kuwa mtoto aliyemlea kwa miaka 10 akijua ni wake kumbe sio wake? Do you actually know how traumatic it is?

Nimeona wanaume kadhaa wakinyonga baada ya kufanyiwa paternity fraud, hii peke ni sababu tosha kwanin hili linapaswa kuwa kosa la jinai na adhabu yake iwe nzito... halafu wewe uko hapa kwa kujiamini kabisa eti "kwanza paternity fraud sio crime"? Serious? Si ndio akili za kitoto hizi nnazozisema.

Na pia hizo adhabu zake unazosema zipo ni adhabu gani? Mbona huzitaji?

Kwanza kitendo tu cha kutokuwepo adhabu rasimi inayohusu paternity fraud tayari ni ukandamizaji kwa wanaume, kwamba nyie wanawake mna uhuru wa kukitombesha kwa mwanaume A na kisha malezi mnambambikizia mwanaume B bila wasi wasi wowote.

Na hao feminists kama kweli ni wapenda haki walipaswa kulipigia kelele na hili hata kama wahanga ni wanaume.

Na pia nikufahamishe feminists wanahusika vipi kwenye hili?

Nchini ufaransa sasa hivi mwanaume hauruhusiwi kufanya DNA test bila ridhaa ya mke wako/mwanaume uliyezaa nae, yaani ikitokea mimi na wewe tumepata mtoto halafu nikawa na mashaka nae, wewe ndio unatoa go ahead kuwa nifanye DNA test hama laa, na ukikataa haifanyiki na wakati huo mimi lazima niwajibike kama baba kwa huyo mtoto... sasa uliza ni akina nani waliopush mpaka hii sheria ikapitishwa? Ni hao hao modern feminists, sasa je huu sip ukandamizaji wa wanaume ambao umetokana na hiyo modern feminism?

Yaan kwa jinsi ulivyojibu hili suala kwa maneno mepesi yasiokuwa na uzito wowote wa kimantiki inaonesha uchanga wa kifikra ulionao.
 
Ndio, hakuna mfano ulonipa ukanishawishi, so, siwezi kukubali TU kuwa umenishawoshi, NA kingine sio kosa kisheria kupishana hoja wala huna deni katika kunishawishi nikubali au nikatae. Ndio maana hata zemanda alipotoa mfano wa jinsi matangazo ya kazi yanavyowekwa katika mfumo wa kumkandamiza mwanaume, nilimwelewa na kujibu hoja yake.

Kukujibu swali lako, hapa Tanzania paternity fraud kwanza sio crime. Hakuna sheria inayosema ni crime. Lakini anayetenda jambo hilo anaweza kushtakiwa kupitia sheria nyingine kwa kuwa kitendo chake kitaambatana na utoaji taarifa za uongo, pamoja na kumnyima haki mtoto kumtambua biological father.
Kwa hiyo adhabu zipo, kama mwanamke atashtakiwa.

Na swali lako nikilirudisha katika case yetu ya athari za feminism hainijii wala kuniingia. Sababu sio kwamba kulikuwa na sheria ambazo zilimbana mwanamke katika suala LA paternity fraud, wakaja hawa feminists wakahakikisha hiyo sheria inaondolewa ili kumkandamiza mwanaume akose haki.
SASA hapo ni wapi feminism imeenda beyond equality na kukukandamiza mwanaume katika paternity fraud?
Hapo ni suala LA udhaifu wa sheria na sio feminists movements. Labda kama utakuja niambia ni hawa mafeminist wanapigana asubuhi mchana na jioni katika kuhakikisha paternity fraud inaendelea kutotambulika kama crime hapa Tanzania.

Nikiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wote, binadamu yeyote, kwa kosa lolote. Haijalishi ni kubaka au kuua, apete hukumu kulingana na sheria ya kosa husika.
Na hapo ndipo tunapokuja kwenye hoja yako, ambayo kwa moyo wa dhati nikupongeze kwamba hii ni hoja ya msingi mno. Kwamba hukumu ya aliyebaka ni miaka isiyopungua 30, lakini hukumu kwa aliyesingizia kubakwa itakuwa ni pungufu ya hapo.
Kisha nitarudi kwenye hoja yetu ya msingi, kwamba adui yenu sio feminism Bali ni sheria. Sio kwamba feminists walikuta sheria ambayo inasema kuwa mwanamke anayesingizia apate kifungo hiki, wao wakapigana kuhakikisha sheria inafutwa na kuwakandamiza.

Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30.
Je sheria inasemaje ikitokea mwanamke amebaka? Au sheria inaainisha kuwa ubakaji ni kosa linalotendwa na mwanaume pekee?
Je sheria inampendelea mwanamke mbakaji kuwa akae jela miaka miwili lakini mwanaume 30.


Ni ukosefu wa elimu. Ni uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
Nipo kwa ajili ya kujifunza.


Majibu yangu hayo hapo.
Na msimamo wangu utabaki kuwa mleta thread ana haki ya kuamini kuwa feminism ni kirusi haramu, bila kuona wanaopinga hoja kama fundi mchundo, Jada nk wamepotea.
Nawe pia ni mtu unayeamini katika feminism, kwamba ilikuwepo na ipo na faida zake ulikubaliana nami tofauti na zemanda ambaye hajaona faida toka ianzishwe.
The only thing, kinachokukera wewe ni modern feminism ambayo unaamini kuwa imeenda beyond equality. Na hapo ndipo nilipokutaka Mimi hoja kuwa tupe mifano ili tujifunze. Tuone athari zake ili tujikinge.
Ndio uzuri wa kuwepo kwa mijadala kama hii ili tupate points kutoka kwenu wasomi. Ila kama unaona kwamba huyu ninaeongea nae kichwa maji haelewi, usipate haja ya kujichosha.
"Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30"

Exactly this is how it should be and nothing else.

Na feminists kama kweli ni wapenda haki sawa kwa jinsia zote basi wangekuwa wameshali address na kupendekeza adhabu sahihi kwa hao false rape accusers, kwani wamefanya mpaka watu tunashindwa kuwachukulia serious real victims tukiamini kuwa ni zile zile tu kesi za kutengeneza.

Kumbuka wewe unapomsingizia mwanaume kosa ambalo hajafanya ambalo linaweza kumpeleka jela miaka 30 tafsiri yake ni kwamba wewe ni katili sana na ni destiny killer na ulipanga kumuharibia kabisa maisha yake, sasa hivi ikibainika kuwa ulitumia hila kwa sababu zako binafsi, hukumu ile ile ndio inayokufaa wewe ya miaka 30 jela, hile iwe fundisho kwa wanawake wenye roho chafu na ya kikatili kama yako.

Labda nikujuze kama hujui, nchi kama Thailand wana sheria ya hivi yaani adhabu anayopewa rapiists ndio ile ile anayopewa false rape accuser pale anapobainika..na hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuondoa kabisa kesi za kubumba, tofauti kabisa na nchi kama Canada au marekani ambako kesi za uongo za ubakaji zimeshamiri na hakuna hatua wanayochukuliwa sababu mafeminists ndio wana influence kubwa kwenye serikali zao.

Na pia kwa kufajya hivi itatusaidia kuwa tunapata real victims, yaani mtu akija kushtaki kuwa amebakwa tunakuwa na uhakika kabisa kuwa huyu kweli ni victim sababu yeye mwenyewe anajua kitakachomkuta endapo kama akibainika anadanganya... toafuti kabisa na sasa hivi ambapo mwanamke akiamua kukukomesha anaweza akaamka tu na kukufungulia kesi ya ubakaji bila vithibitisho vyovyote maana anajua fika hakuna atakachofanywa hata kama ikija kubainika anadanganya... sasa huu upumbavu na uonevu tunaukomeshaje kama sio kuuwekea adhabu kali ambayo ndio hiyo ya jela miala 30?

Hili jambo nyie wanawake huwa mnalichukulia kiwepesi sana mpaka siku likimkuta ndugu yako au mtoto wako wa kiume ndio mtatuelewa tunachokisema.

Nimewahi kushuudia mchungaji mmoja huko Mbeya akikaa gerezani kwa miaka 8 kila mtu akiamini kuwa amebaka, mpaka pale mshataka mwenyewe alipokuja ku confess kwamba ulikuwa ni mchongo alioipanga na mama yake kumpoteza baba yake wa kambo hili warithi mali.

Kama unashindwa kuona modern feminists wana mchango kwenye hili la kushamiri kwa false rape accussations basi akili zako ni duni sana na endelea kusubiri mifano unayoitaka sawa?
 
Ndio, hakuna mfano ulonipa ukanishawishi, so, siwezi kukubali TU kuwa umenishawoshi, NA kingine sio kosa kisheria kupishana hoja wala huna deni katika kunishawishi nikubali au nikatae. Ndio maana hata zemanda alipotoa mfano wa jinsi matangazo ya kazi yanavyowekwa katika mfumo wa kumkandamiza mwanaume, nilimwelewa na kujibu hoja yake.

Kukujibu swali lako, hapa Tanzania paternity fraud kwanza sio crime. Hakuna sheria inayosema ni crime. Lakini anayetenda jambo hilo anaweza kushtakiwa kupitia sheria nyingine kwa kuwa kitendo chake kitaambatana na utoaji taarifa za uongo, pamoja na kumnyima haki mtoto kumtambua biological father.
Kwa hiyo adhabu zipo, kama mwanamke atashtakiwa.

Na swali lako nikilirudisha katika case yetu ya athari za feminism hainijii wala kuniingia. Sababu sio kwamba kulikuwa na sheria ambazo zilimbana mwanamke katika suala LA paternity fraud, wakaja hawa feminists wakahakikisha hiyo sheria inaondolewa ili kumkandamiza mwanaume akose haki.
SASA hapo ni wapi feminism imeenda beyond equality na kukukandamiza mwanaume katika paternity fraud?
Hapo ni suala LA udhaifu wa sheria na sio feminists movements. Labda kama utakuja niambia ni hawa mafeminist wanapigana asubuhi mchana na jioni katika kuhakikisha paternity fraud inaendelea kutotambulika kama crime hapa Tanzania.

Nikiwa kama mpenda haki na usawa kwa watu wote, binadamu yeyote, kwa kosa lolote. Haijalishi ni kubaka au kuua, apete hukumu kulingana na sheria ya kosa husika.
Na hapo ndipo tunapokuja kwenye hoja yako, ambayo kwa moyo wa dhati nikupongeze kwamba hii ni hoja ya msingi mno. Kwamba hukumu ya aliyebaka ni miaka isiyopungua 30, lakini hukumu kwa aliyesingizia kubakwa itakuwa ni pungufu ya hapo.
Kisha nitarudi kwenye hoja yetu ya msingi, kwamba adui yenu sio feminism Bali ni sheria. Sio kwamba feminists walikuta sheria ambayo inasema kuwa mwanamke anayesingizia apate kifungo hiki, wao wakapigana kuhakikisha sheria inafutwa na kuwakandamiza.

Au labda kwa upande wako ulitaka feminists waseme kwa kuwa tunataka haki sawa. Basi aliyebaka akifungwa 30, na aliyesingizia afungwe 30.
Je sheria inasemaje ikitokea mwanamke amebaka? Au sheria inaainisha kuwa ubakaji ni kosa linalotendwa na mwanaume pekee?
Je sheria inampendelea mwanamke mbakaji kuwa akae jela miaka miwili lakini mwanaume 30.


Ni ukosefu wa elimu. Ni uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
Nipo kwa ajili ya kujifunza.


Majibu yangu hayo hapo.
Na msimamo wangu utabaki kuwa mleta thread ana haki ya kuamini kuwa feminism ni kirusi haramu, bila kuona wanaopinga hoja kama fundi mchundo, Jada nk wamepotea.
Nawe pia ni mtu unayeamini katika feminism, kwamba ilikuwepo na ipo na faida zake ulikubaliana nami tofauti na zemanda ambaye hajaona faida toka ianzishwe.
The only thing, kinachokukera wewe ni modern feminism ambayo unaamini kuwa imeenda beyond equality. Na hapo ndipo nilipokutaka Mimi hoja kuwa tupe mifano ili tujifunze. Tuone athari zake ili tujikinge.
Ndio uzuri wa kuwepo kwa mijadala kama hii ili tupate points kutoka kwenu wasomi. Ila kama unaona kwamba huyu ninaeongea nae kichwa maji haelewi, usipate haja ya kujichosha.
" uoga wa kushindwa kulipoti matukio yanayohusu ukatili wa kingono kwa watoto, na sio feminism iliyochangia. Sijawai sikia au kuona any feminists movements hapa duniani zinazosapoti ukatili dhidi ya mtoto.
Je IPO kesi ambayo mwanamke amebaka ikapelekwa mahakamani ikafutwa sababu TU ni mwanamke?
"

Mbona unapenda kujibu hoja zenye mashiko kwa vijimaneno vyepesi vyepesi hivi wewe binti?

Hivi unajipa muda hata wa kufikiri kwanza kabla kuandika? Au unajibu tu ilimradi umejibu kama unajibu text ya boyfriend wako?

Hujawahi kuskia wala kuona feminists wakisapoti ukatiki dhidi ya watoto sio? Sasa kwa taarifa yako hao feminists huwa wanasupport ukatili dhidi ya watoto wa kiume japo kwa uwezo wako duni wa kifikra huwezi kuliona hili maana mpaka uwe na jicho la kuangalia mambo kwa mapana kitu ambacho wewe huna.

Je, umewahi kuona feminists wakiwahasa vijana wa kiume waliowahi kufanyiwa unyanyasaji wa kingono udogoni wajitokeze kuvoice out hili wahusika wachukuliwe hatua, kama ambavyo tunawaona mara kadhaa wakiwataka wanawake waliowahi kubakwa udogoni wakijitokeze kupaza sauti zao hili wahusika wachukuliwe hatua?

Unasema eti watu hawaripoti matukio ya kikatili wa kingono wanayofanyiwa watoto wa kiume, hivi wewe una habari kwamba leo hii mimi mwanaume nikienda kureport tukio lolote lile la kikatili nililowahi kufanyiwa udogoni na mwanamke hakuna mtu atakayenichukulia serious? Sana sana tu wataishia kunikebehi... sasa hilo si ni kosa la kimfumo ambapo hiyo feminism yako imechangia kwa kiasi kikubwa kwa kufanya mwananke ndio awe na haki zaidi ya kuskilizwa na mwanaume kupuuzwa?

"je, zipo kesi ambazo mwanamke amebaka akapelekwa mahakamani kisha ikafutwa sababu tu ni mwanamke?.."

Yes, zipo... na kama hujui nikujuze serikali yako haitambui kosa la ubakaji kwa mwanaume unaofanywa na mwaka tena kwa sababu za kipumbavu sana(sitaki hata kuzielezea) na hii ndio inachangia mpaka hatuskii wanawake mkifungwa kwa kesi za child molestation na ndio maana wewe una amini eti waga haziripotiwi.

Yaani hoja zangu unazjibu kitoto sana halafu unakomaa eti nipe mifano...nipe mifano.. nikikupa mfano wa mtoto wa mwana mashaule alivyobakwa na mdada wa kazi mpaka akazilai na yule dada kukimbia mpaka leo hajulikani alipo utaamini?
 
Over and out, maana nishajua naongea na kiumbe wa aina gani. Napoteza energy Bure TU.
Ndio nini sasa hiki umejibu hapa?

Eti unapoteza energy hivi kati yangu na wewe ni nani aliyepoteza energy ya nwenzake hapa? Wewe ambaye unakuja na vijimaneno vyepesi ambavyo havina mantiki hata kidogo na muda mwingine unaenda opposite na kile nilichokimaanisha, yaani unaonekana kabisa kichwa chako ni kizito huelewi chochote licha ya maelezo ya kina ninayokupa..?!!

Haya kama sasa hivi nimekuuliza maswali mepesi tu umeshindwa kujibu, eti "nimeshajua naongea na kiumbe wa aina gani" kapuuzi kweli wewe.

Jibu swali, kama wewe kweli akili zako zinafanya kazi sawa sawa vinginevyo nitakuweka kwenye dustbin la wajinga wanaostahili kila aina ya maneno ya fedhea kama huyo Fundi Mchundo.

Kwanini huo usawa wa kijinsia mnaopigania kwenye ajira huwa hatuoni mkiupigania kwenye ajira za jeshi na zima moto?

Jeshi la tanzania(JWTZ) wanawake ni 13% tu ya idadi ya wanajeshi wote, sasa kwanini nyie mafeminists wapenda usawa huwa hatuoni mkipaza sauti kuhusu gender imbalance iliyopo kwenye hii taasisi muhimu inayolinda usalama wa taifa letu na wakati huo mnasemaga kuwa chochote anachofanya mwanaume na wewe mwanamke unaweza kukifanya tena kwa ufanisi zaidi?

Ukinijibu hili swali na mimi ntakuwa modern feminist kwanzia leo.
 
Nimekomaa na wewe kuwa toa mfano upo na nge nge nyingi mfano siuoni. Yani nikuulize nitajie mazao ya nafaka unijibu ni mazao yanayolimwa mkoa wa Moro,
Wewe hoja yako ni kuwa tuko beyond equality.
Sasa kama una uwezo duni wa kifikra na akili zako bado ziko kwenye developing stage utawezaje kubaina mifano ya ya hoja yangu kuu imo humo humo kwenye hayo maelezo yangu niliyokupa?

Unataka mifano vivid nenda mahakamani uone jinsi wanawake wanavyopendelewa kwenye kesi za talaka hasa kwenye mgao wa mali, mimi sina muda wa kukufanyia hiyo kazi maana mtu mwenyewe una kichwa kigumu kama kifuu cha nazi.

Tumekupa mfano utoaji wa ajira hapo, jinsi kulivyokuwa na upendeleo kwa wanawake kwenye ajira laini zenye ulaji, halafu wewe uka zidownplay na hoja nyepesi za kijinga kabisa eti "yanawezekana ni umalaya wa boss ndio umepelekea kuajiri wanawake kuliko wanaume"

Yaani hayo ni maneno ya kuongea kwenye mjadala serious na mzito kama huu?

Tangu mwanzo tu wa huu mjadala umeonesha dhairi wewe bado ni kasichana na ndio kwanza umeanza kuwa corrupted na feminism na ndio maana hata haujui kuwa hiyo feminism ina waves, kuna first wave mpaka third wave feminism ambayo ndio kila mtu anayependa usawa wa kweli wakiwemo wanawake hasa conservative women wanaipiga vita.

Siku nyingine ukitaka kushiriki mijadala kama hii hakikisha kwanza akili zako zimekomaa na uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu controversies zote zilizlopo kuhusu feminism hili ukijibu hoja majibu yako yawe na mantiki nzito na sio kuleta viroja ambavyo havina kichwa wala miguu.

Mimi nimewahi kubishana mpaka hardcore feminists kuhusu hizi hoja ambazo wewe umeshindwa kuzijibu kwa usahihi mfano kama hilo suala la false rape accussation na paterniry fraud, walijibu vizuri sana tofauti na wewe ambaye umejibu kitoto bila tafakari yoyote ya kina.
 
Sasa kama una uwezo duni wa kifikra na akili zako bado ziko kwenye developing stage utawezaje kubaina mifano ya ya hoja yangu kuu imo humo humo kwenye hayo maelezo yangu niliyokupa?

Unataka mifano vivid nenda mahakamani uone jinsi wanawake wanavyopendelewa kwenye kesi za talaka hasa kwenye mgao wa mali, mimi sina muda wa kukufanyia hiyo kazi maana mtu mwenyewe una kichwa kigumu kama kifuu cha nazi.

Tumekupa mfano utoaji wa ajira hapo, jinsi kulivyokuwa na upendeleo kwa wanawake kwenye ajira laini zenye ulaji, halafu wewe uka zidownplay na hoja nyepesi za kijinga kabisa eti "yanawezekana ni umalaya wa boss ndio umepelekea kuajiri wanawake kuliko wanaume"

Yaani hayo ni maneno ya kuongea kwenye mjadala serious na mzito kama huu?

Tangu mwanzo tu wa huu mjadala umeonesha dhairi wewe bado ni kasichana na ndio kwanza umeanza kuwa corrupted na feminism na ndio maana hata haujui kuwa hiyo feminism ina waves, kuna first wave mpaka third wave feminism ambayo ndio kila mtu anayependa usawa wa kweli wakiwemo wanawake hasa conservative women wanaipiga vita.

Siku nyingine ukitaka kushiriki mijadala kama hii hakikisha kwanza akili zako zimekomaa na uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu controversies zote zilizlopo kuhusu feminism hili ukijibu hoja majibu yako yawe na mantiki nzito na sio kuleta viroja ambavyo havina kichwa wala miguu.

Mimi nimewahi kubishana mpaka hardcore feminists kuhusu hizi hoja ambazo wewe umeshindwa kuzijibu kwa usahihi mfano kama hilo suala la false rape accussation na paterniry fraud, walijibu vizuri sana tofauti na wewe ambaye umejibu kitoto bila tafakari yoyote ya kina.
We mbabu Fanya hivi, umeshinda alafu uendelee na maisha. Am out.
 
Sasa kama una uwezo duni wa kifikra na akili zako bado ziko kwenye developing stage utawezaje kubaina mifano ya ya hoja yangu kuu imo humo humo kwenye hayo maelezo yangu niliyokupa?

Unataka mifano vivid nenda mahakamani uone jinsi wanawake wanavyopendelewa kwenye kesi za talaka hasa kwenye mgao wa mali, mimi sina muda wa kukufanyia hiyo kazi maana mtu mwenyewe una kichwa kigumu kama kifuu cha nazi.

Tumekupa mfano utoaji wa ajira hapo, jinsi kulivyokuwa na upendeleo kwa wanawake kwenye ajira laini zenye ulaji, halafu wewe uka zidownplay na hoja nyepesi za kijinga kabisa eti "yanawezekana ni umalaya wa boss ndio umepelekea kuajiri wanawake kuliko wanaume"

Yaani hayo ni maneno ya kuongea kwenye mjadala serious na mzito kama huu?

Tangu mwanzo tu wa huu mjadala umeonesha dhairi wewe bado ni kasichana na ndio kwanza umeanza kuwa corrupted na feminism na ndio maana hata haujui kuwa hiyo feminism ina waves, kuna first wave mpaka third wave feminism ambayo ndio kila mtu anayependa usawa wa kweli wakiwemo wanawake hasa conservative women wanaipiga vita.

Siku nyingine ukitaka kushiriki mijadala kama hii hakikisha kwanza akili zako zimekomaa na uwe na ufahamu wa kutosha kuhusu controversies zote zilizlopo kuhusu feminism hili ukijibu hoja majibu yako yawe na mantiki nzito na sio kuleta viroja ambavyo havina kichwa wala miguu.

Mimi nimewahi kubishana mpaka hardcore feminists kuhusu hizi hoja ambazo wewe umeshindwa kuzijibu kwa usahihi mfano kama hilo suala la false rape accussation na paterniry fraud, walijibu vizuri sana tofauti na wewe ambaye umejibu kitoto bila tafakari yoyote ya kina.
Ukitaka kujiona kilaza wa mwisho, in hapo uliposema mmenipa mfano was ajira, ulinipa na nani? Nilikwambia mwenzako zemanda katoa mfano hai na kaeleweka sababu brain yake iko OK hata akimfundisha kichwa Nazi ka Mimi anaeleweka.
Alafu ulivyo toinyo umekazana sijui kwamba ulibishana na nani na nani, alokwambia nilikuwa kwenye mabishano na we nani. Acha kujipa umuhimu. Nilikutaka utoe mifano watu wajifunze, ila kelele nyingi ka unapakwa mafuta.
Endelea kubinua tipa kule. Ova and out.
 
Ukitaka kujiona kilaza wa mwisho, in hapo uliposema mmenipa mfano was ajira, ulinipa na nani? Nilikwambia mwenzako zemanda katoa mfano hai na kaeleweka sababu brain yake iko OK hata akimfundisha kichwa Nazi ka Mimi anaeleweka.
Alafu ulivyo toinyo umekazana sijui kwamba ulibishana na nani na nani, alokwambia nilikuwa kwenye mabishano na we nani. Acha kujipa umuhimu. Nilikutaka utoe mifano watu wajifunze, ila kelele nyingi ka unapakwa mafuta.
Endelea kubinua tipa kule. Ova and out.
Endapo kama ungekuwa una akili hata ya kujitawazia ungenielewa tangu muda sana kupitia yalaemaswali 3 niliyokuuliza maana ukiyachanganua kwa kina ni dhairi utaona kuna ukandamizaji wa hali ya juu kwa wanaume na hiyo feminism yako ina mchango kwenye hili.

Kwanini paternity fraud haitambuliki kama kosa la jinai ilihali madhara yake ni makubwa sana? Tena sio tu kwa mwanaume, bali hata kwa mtoto na mwanamke pia.. tumeona visa kadhaa vya wanawake wakichinjwa kama kuku na waume zao baada ya kubaini kuwa waliwabambikizia watoto... na hapa tatizo linaanzia kwenye legal system ambayo nyie mafeminists/mashetani mna influence.

Yaan kupambania sheria ya child support itungwe mliweza ambayo inamnufaisha mtoto na mwanamke, ila matokeo hasi ya sheria hiyo ambayo ni wanaume kubambikiziwa watoto hili wanawake wajipatie child support kilaghai wala hamtaki kujihusisha nayo sio? Sasa hapa unataka kusema vipi eti feminism haihusiki kwa namna yoyote ile? Tatizo ni hilo fuvu ulilonalo limebeba vitu dizain ya makamasi badala ya ubongo.

Vile vile suala la false rape accusations limekuwa rampat sana siku hizi sababu ya mifumo dhaifu ya sheria ambayo inashindwa kuwapa adhabu stahiki wahusika na yote hii ni kwa sababu ya msukumo wa feminism na women empowerment campaign kwa ujumla... hapa kuna feminists wenzaka wale ambao angalau akili zao zinafanya kazi huwa wana argue kuwa hao false rape accusers wasichukuliwe hatua kali sababu kufanya hivyo kutawapelekea wale real victims kuwa waoga kureport kwa hofu ya kwamba mtuhumiwa anaweza akatumia nguvu ya pesa kuigeuza kesi ikaonekana kuwa mshitaka anadanganya na hivyo victim akajikuta kesi inamgeukia yeye, na hivyo kujikuta anaumia mara mbili yaani kabakwa kweli na bado pia anaadhibiwa kama false rape accuser...

Nikategemea na wewe utaleta hoja kama hii kumbe mtu mwenyewe una UTOKO kichwani badala ya ubongo ndio maana hata kujenga hoja za maana huwezi, mpumbavu kabisa wewe tena mpumbavu wa mwisho.

Nimekuuliza swali hapo ambao hata mafeminists wenzako waliokomaa kifikra na wenye hoja nzito achana na vinyambolelo kama wewe hawajahi kunijibu, kwanini hatuoni mkipambana hili kuleta usawa wa kijinsia kwenye miliatary posts kama mnavyopambana kwenye sekta zingine?

Ukienda Marekani kitengo cha US NAVY SEAL moja ya kitengo muhimu kabisa kwenye jeshi la nchi hiyo idadi ya wanawake ni 7% ya katika wanajeshi 320,000 na hatujawahi hata siku moja kuskia wala kuona modern american feminists wakipigia kelele kuhusu huo uchache wa wanawake kwenye hicho kitengo kama ambavyo wamekuwa wakipiga kelele kuhusu idadi ndogo ya female CEOs kwenye zile 500 US largest corporations.

Na hapo ndipo unafiki wa hiyo feminism unapokuja kuonekana na kufanya wengine tuone ni movement ya kipuuzi ambayo inalenga kumpa mwanamke preferential treatment na wala sio usawa kama mnavyojinasibu mashetani nyie.

Ukienda UN pale kupitia agency yao ya UN Women kila mwaka huwa wanatenga fungu lisilopungua $60m kwa ajili ya kudeal na breast cancer worldwide, lakin taasisi hiyo hiyo hata siku moja haijawahi kutenga fungu kwa ajili ya prostrate cancer ambayo wahanga ni waume, je, unajua mipango yote hii wanayoipush au watu walio influence ni akina nani kama sio hao modern feminists ambao wametake over kwenye hiyo taasisi?

Sasa wewe unakuja hapa na hoja zako nyepesi za kiform two form two ambazo hazina mashiko hata kidogo, eti "umalaya wa boss yawezekana ndio umechangia yeye kuajiri wanawake wengi kuliko wanaume" very ridiculous way of thinking, kwanza kwa kusema maneno kama haya hapo tayari unakuwa umebariki rushwa ya ngono.. ila kwa sababu wewe ni kapbavu hauna akili hata kidogo huwezi ukatambua hili.

Eti umekomaa tu nipe mifano nipe mifano.. nenda kamwambie baba yako akupe mifano kahaba wa bei nafuu wewe pumbavu.
 
nilikuwa kwenye mabishano na we nani. Acha kujipa umuhimu. Nilikutaka utoe mifano watu wajifunze, ila kelele nyingi ka unapakwa mafuta.
Endelea kubinua tipa kule. Ova and out.
Kwanza kajitu kenyewe unaonekana bado ni ngumbaru tu hata elimu ya darasani ya kawaida pengine hauna, umenijibu comments zangu zaidi ya mara nne, sasa hapo ulikuwa unafanya nini kama sio mabishano?

Na feminists ninaowafahamu mimi ambao nimewahi kuargue nao sio wapumnavu kwa kiasi chako.

"kelele nyingi ka unapakwa mafuta.
Endelea kubinua tipa kule
"

Should i be surprised by this presumptive perverted obscenity?? Obvious this comes from a jezebelic daughter who was raised in homesexual home.

Kwa vile tu wewe umekula kwenye familia ambayo ni kawaida kuona kaka zako wakifirana na baba yako mzazi basi ndio unaamini kila mwanaume unayekutana na nae ni kama baba ako au kaka ako sio?

Ngoja nikwambie kitu we mwanahramu kibaraka wa ibilisi wewe...

Kwetu sisi wote ni straight individual na hakuna homosexual hata mmoja na ndio maana hatujaukaribisha huo upumbavu wa feminism.

Moja ya athari kubwa ya feminism na liberalization in general ni kushamiri kwa mapenzi ya jinsia moja kwa wahusika, fuatilia hata ma lesbians wengi duniani utakuta ni mafeminists.

Sasa kwa vile na wewe umeamua kuikumbatia hiyo devilish ideology ni dhairi kabisa wewe mwenyewe utakuwa ni lesbian na huko nyumbani kwenu utakuwa unatombana sana na dada zako mkitumia magunzi ya mahindi pamoja na matango au carrot.

Sasa usifikiri wote unaokutana nao humu tumetoka kwenye familia zenye laana kama familia yako, wewe kama umezoea kutombwwa na matango huku kaka zako nao wakifirana na baba ako basi usifikiri ni wote tuko hivyo.

Hebu acha kulitia nuksi hili jukwaa na watu wa aina yako ni cancer kwenye jamii yetu.
 
Kwanza kajitu kenyewe unaonekana bado ni ngumbaru tu hata elimu ya darasani ya kawaida pengine hauna, umenijibu comments zangu zaidi ya mara nne, sasa hapo ulikuwa unafanya nini kama sio mabishano?

Na feminists ninaowafahamu mimi ambao nimewahi kuargue nao sio wapumnavu kwa kiasi chako.

"kelele nyingi ka unapakwa mafuta.
Endelea kubinua tipa kule
"

Should i be surprised by this presumptive perverted obscenity?? Obvious this comes from a jezebelic daughter who was raised in homesexual home.

Kwa vile tu wewe umekula kwenye familia ambayo ni kawaida kuona kaka zako wakifirana na baba yako mzazi basi ndio unaamini kila mwanaume unayekutana na nae ni kama baba ako au kaka ako sio?

Ngoja nikwambie kitu we mwanahramu kibaraka wa ibilisi wewe...

Kwetu sisi wote ni straight individual na hakuna homosexual hata mmoja na ndio maana hatujaukaribisha huo upumbavu wa feminism.

Moja ya athari kubwa ya feminism na liberalization in general ni kushamiri kwa mapenzi ya jinsia moja kwa wahusika, fuatilia hata ma lesbians wengi duniani utakuta ni mafeminists.

Sasa kwa vile na wewe umeamua kuikumbatia hiyo devilish ideology ni dhairi kabisa wewe mwenyewe utakuwa ni lesbian na huko nyumbani kwenu utakuwa unatombana sana na dada zako mkitumia magunzi ya mahindi pamoja na matango au carrot.

Sasa usifikiri wote unaokutana nao humu tumetoka kwenye familia zenye laana kama familia yako, wewe kama umezoea kutombwwa na matango huku kaka zako nao wakifirana na baba ako basi usifikiri ni wote tuko hivyo.

Hebu acha kulitia nuksi hili jukwaa na watu wa aina yako ni cancer kwenye jamii yetu.
Pole sana mzee, watu wamevuka mpaka, yani umevuliwa ubingwa kisa feminism. Hata mi ningepanic, yani mzee ka were kutembea mlango was nyuma wazi, hausitiriki hata kwa pazia. Lazima kichaa kipande
 
Kwanza kajitu kenyewe unaonekana bado ni ngumbaru tu hata elimu ya darasani ya kawaida pengine hauna, umenijibu comments zangu zaidi ya mara nne, sasa hapo ulikuwa unafanya nini kama sio mabishano?

Na feminists ninaowafahamu mimi ambao nimewahi kuargue nao sio wapumnavu kwa kiasi chako.

"kelele nyingi ka unapakwa mafuta.
Endelea kubinua tipa kule
"

Should i be surprised by this presumptive perverted obscenity?? Obvious this comes from a jezebelic daughter who was raised in homesexual home.

Kwa vile tu wewe umekula kwenye familia ambayo ni kawaida kuona kaka zako wakifirana na baba yako mzazi basi ndio unaamini kila mwanaume unayekutana na nae ni kama baba ako au kaka ako sio?

Ngoja nikwambie kitu we mwanahramu kibaraka wa ibilisi wewe...

Kwetu sisi wote ni straight individual na hakuna homosexual hata mmoja na ndio maana hatujaukaribisha huo upumbavu wa feminism.

Moja ya athari kubwa ya feminism na liberalization in general ni kushamiri kwa mapenzi ya jinsia moja kwa wahusika, fuatilia hata ma lesbians wengi duniani utakuta ni mafeminists.

Sasa kwa vile na wewe umeamua kuikumbatia hiyo devilish ideology ni dhairi kabisa wewe mwenyewe utakuwa ni lesbian na huko nyumbani kwenu utakuwa unatombana sana na dada zako mkitumia magunzi ya mahindi pamoja na matango au carrot.

Sasa usifikiri wote unaokutana nao humu tumetoka kwenye familia zenye laana kama familia yako, wewe kama umezoea kutombwwa na matango huku kaka zako nao wakifirana na baba ako basi usifikiri ni wote tuko hivyo.

Hebu acha kulitia nuksi hili jukwaa na watu wa aina yako ni cancer kwenye jamii yetu.
Babu yangu nisamehe, nimekukosea, sikujua una maumivu kiasi iko, pole mzee, yani hakuna kitu kinauma ka kuona wanaume wenzio wanatembea kwa amani wanajiachia. Huku wewe ukijua upepo ukipita TU nyuma kote pooooo, lazima kila mtu umuone adui.

Pole babu, jishikirie, vinatibika mbona. Usikubali waendelee kukufanya James Delicious
😁😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom