Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Natamani sana siku tukutane sehemu kama space ya Twitter twende mdomo kwa mdomo halafu raia wawe wanatusikiliza tuki kinzana kwa hoja. Walahi hiyo siku nitaikaanga hiyo "feminism ego" yako kiasi kwamba popote ulipo utabakia ukitetemeka kama umemwagiwa maji ya baridi mkoa wa baridi kali.

Tutafute siku tukutane Twitter huu mtanange tuuhamishie kule aisee hautaamini.
 
Kwann umetumia ardhi pekee kama mfano,ina maana wewe matangazo ya ajira hauyaoni huko ulipo. Kuna matangazo mengi sana utaona wameandika "Female candidate are encouraged to apply" au "Only Female candidates will be given first priority" hii kwako ndio usawa/equality?🤔

Na ukitaka kujua majority ya ninyi mafeminist huwa hamjui mbachokiongea, hoja zenu ni zile zile za kumezeshwa kwenye madesa ya semina elekezi za harakati za wanawake.

Sasa ukitazama issue ya ardhi,hivi niambie ni wapi mwanamke anakatazwa kumiliki ardhi na nina uhakika hata tukikagua utagundua idadi kubwa ya wanawake wanamiliki ardhi kuliko wanaume saa hii hapa.

Hizi hoja huwa mnaziokota wapi na huwa hamuoni aibu kuongea uongo hadharani?

Wanawake si kwamba hawakuwa na haki ya kumiliki ardhi,sema ardhi ilikuwa chini ya usimamizi wa mwanaume. Sababu ya msingi ni kwamba mwanamke alikuwa ni rahisi sana kutransfer umiliki wa ardhi kwa watu wasio husika na umiliki wake.

Mfano, kama ni binti baba yake akimpa ardhi ikawa chini yake,then akiolewa ni rahisi sana mwanaume wake kuihodhi, na je mwanamke akifa ardhi inakuwa ya nani hapo,si mwanaume ambaye ukoo hawamtambui kama mwanaukoo?

Pia mwanamke anaweza kuzaa na wanaume tofauti then mwenye mali watoto wake wakanyang'anywa ardhi ya baba yao,wakachukua wanaume wengine waliozaa na mama watoto.

So sababu zilikuwepo na hazikumzuia mwanamke kumiliki mali kwa maana yeye ndie alikuwa na access na hiyo ardhi. Tukitoa matukio machache ya unyanyasaji ambapo wanawake walikuwa wakiporwa mazao waliyolima katika ardhi ya mwanaume,au kuporwa ardhi na wanandugu baada ya msiba wa mume wake, hakukuwapo na swala la sheria kuwa mwanamke asimiliki au kuwa na direct access na ardhi. Hizi ni exaggerations za mafeminist kama kawaida yao.
Mwaka 2022 mpwa wangu alituma maombi ya ajira zilizotangazwa na TANROAD alifika mpaka kwenye Oral Interview, nafasi zilikuwa 12 tu za mizani.

Katika hizo nafasi 12 applicants wa kiume walioajiriwa ni 3 tu basi akiwemo mpwa wangu, na mwenyewe kilichomsaidia ni kwa sababu alikuwa amefanya field pale...!! Sasa hawa feminists upendeleo kama huu huwa hawauoni kabisa wanataka tuone ndio usawa wenyewe.

Ukija kwenye scholarship huko ndio usiseme kabisa, kuna ubalozi wa Switzerland hapa kama nafasi zipo mbili halafu ikatokea wewe mwanaume mmoja na wanawake wawili mnaomba, utashangaa wewe mwanaume unaachwa kisha wanachukuliwa wanawake, hili nimelishuudia.

Cha kustaajabisha upendeleo wa dizaini hii huwa hatuuoni ukifanyika jeshini, sijawahi kuona jeshi limeajiri idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume na sijawahi kabisa kuskia watetezi wao wakipiga kelele kuhusu gender imbalance iliyopo kwenye military recruitment, na kama kweli wao ni wapenda haki tungekuwa tumeona wamepiga kelele kuhusu hili na sasa tungekuwa tuna recruitment ikizingatia 50/50 interm of sexes.

Halafu huyu anaongelea suala la umiliki wa aridhi kwa wanawake miaka ya nyuma kulingana na hisia zake ambazo zimechagizwa na mafunzo aliyokaririshwa kwenye semina zao elekezi ambazo zina mapungufu kibao...!!

Huyu sidhani kama hata ana maarifa kuhusu matriachial societies ambapo wanawake sio tu walimiliki aridhi bali walimiki mpaka watumwa, yaan wao ndio walikuwa viongozi wa kingdoms na waliunda vikundi ambavyo walivutumia kukamata vijana wenye nguvu kutoka kwenye tribes zingine dhaifu na kuwauza kwa wafanya biashara ya watumwa... najua hii pengine hajawahi kuiskia kwa sababu aina hii ya ushetani unaaminika kwamba ulifanywa na viongozi wa kijadi wa kiume pekee tu.

Sasa yeye amekaririshwa kuwa eti mwanamke miaka ya nyuma hakumiliki aridhi kabisa wala rasilimali yoyote na kuibeba kama hoja kuu kila anapokutana na mjadala kama huu.
 
1. Haki ni matokeo ya wajibu. Ni kukosa akili kupigania haki kwa wajibu ambao haujatenda. Mnataka uongozi ila kwa kubebwa viti maalumu, kutengewa kampeni za upendeleo na kusindikizwa na wanaume soft na masimp kama fundimchundo ambao wanaona wanawake ni wenzao au kuwamobilize wanawake wenzenu kupiga kura za kibaguzi. 90% ya hoja zenu zimelenga kulalamikia wanaume kuwabania badala ya kusema mnauwezo wa kudeliver nini. Mnaona wanaume wakibebwa kisiasa?🤔

2. Wewe kama mwanamke unamtawala vipi mwanaume,hayo mamlaka umeyatoa wapi na kwa reference ya kitabu au sheria ipi? Yaani uamke na utashi wako wa kukosa akili useme mwanamke anatakiwa amtawale mwanaume,are you mad?

Unataka mamlaka ya kutawala mwanaume,je unaweza mpambania mwanaume na watoto wake bila yeye kujigusa na usilalamike kuelemewa? Upige mzigo wa kazi kutokea asubuhi hadi jioni na ukirudi akutombe hadi miguu itetemeke na kesho mapema uamke uende kazini bila kulalamika kuchoka. Umpatie pesa muda wowote atakaohitaji kiasi chochote anachotaka bila kujisikia unatumika. Na usaidie ukoo wake kwa shida yoyote watakayokuletea kupitia yeye.

Unabana pua hapa "kumnyawala nywanaume" unajua maana ya kutawala wewe? Feminists ninyi ni kama vitoto vya miaka mitatu. Kakikaa sebuleni miguu juu kwenye kochi tv isome CartoonNetwork,mtu akibadili channel hicho kilio chake sasa utadhani analipia chochote hapo ndani kumbe hata pampers aliyovaa hajui bei yake na hata ilipotoka.

Stop insulting our thinking,mnaongea ideologically while in reality matendo yenu hayareflect uhalisia.
Hebu acha upumbavu wewe uwe unasoma kwanza comments zangu na kuzielewa ndio uje unijibu sasa ni wapi mimi nimeandika habari za mwanamke kumtawala mwanaume hebu acha kukurupuka, ndio maana niliacha kujadiliana na wewe sababu hujui namna ya kujibu hoja unatunga maneno yako halafu unasingizia kwamba mwenzio ndio kayasema yani jitu zima unajadili mada kama toto dogo halafu unataka watu tupoteze muda kukujibu, sasa sirudii nilichokiandika bali nakurudisha hapo juu usome upya hiyo comment yangu na kuielewa narudia soma na kuelewa halafu ndio urudi hapa na hoja tujadiliane.. such an illogical feeble minded idiot!!
Natamani sana siku tukutane sehemu kama space ya Twitter twende mdomo kwa mdomo halafu raia wawe wanatusikiliza tuki kinzana kwa hoja. Walahi hiyo siku nitaikaanga hiyo "feminism ego" yako kiasi kwamba popote ulipo utabakia ukitetemeka kama umemwagiwa maji ya baridi mkoa wa baridi kali.

Tutafute siku tukutane Twitter huu mtanange tuuhamishie kule aisee hautaamini.
Sasa ni kipi kinachokufanya udhani kwamba siwezi kujadiliana kwenye hizo spaces and the likes, maana siyo mara ya kwanza wewe kusema hiki kitu kwani is jf not an ideal platform for such topics, au unadhani nikiwa kwenye hizo platforms nitashindwa au nitaogopa kuwasilisha hoja zangu au ni vipi.. hebu acha kuleta makuzi wewe!!
 
Vitu haufuatilii halafu unajifanya una misimamo na unauhakika kwa unachopotosha.

Sasa kama haujui kinachotokea mataifa ya magharibi wewe unaongozwa na upande upi na waliokufundisha uasi hauwafuatilii?

Fuatilia vitu unavyotetea sio unaongea huku na hauna latest.
😂😂😂😂 wee unachekesha sana, huko magharibi ya wapi? Si utaje ili nikukamate vyediiii

Nweii kuna mada ya Gays natiririka huko hatariii. Ngoja nikutag.
 
Hebu acha upumbavu wewe uwe unasoma kwanza comments zangu na kuzielewa ndio uje unijibu sasa ni wapi mimi nimeandika habari za mwanamke kumtawala mwanaume hebu acha kukurupuka, ndio maana niliacha kujadiliana na wewe sababu hujui namna ya kujibu hoja unatunga maneno yako halafu unasingizia kwamba mwenzio ndio kayasema yani jitu zima unajadili mada kama toto dogo halafu unataka watu tupoteze muda kukujibu, sasa sirudii nilichokiandika bali nakurudisha hapo juu usome upya hiyo comment yangu na kuielewa narudia soma na kuelewa halafu ndio urudi hapa na hoja tujadiliane.. such an illogical feeble minded idiot!!

Sasa ni kipi kinachokufanya udhani kwamba siwezi kujadiliana kwenye hizo spaces and the likes, maana siyo mara ya kwanza wewe kusema hiki kitu kwani is jf not an ideal platform for such topics, au unadhani nikiwa kwenye hizo platforms nitashindwa au nitaogopa kuwasilisha hoja zangu au ni vipi.. hebu acha kuleta makuzi wewe!!
😂😂😂😂😂
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Nipe faida ya Feminist kwa wanawake
 
Nipe faida ya Feminist kwa wanawake
Wanakuwa na uhuru wa kujitafutia vipato vyao na kujiamulia mambo yao, na siyo kuwa chini ya watu wengine, na kufanya wanayoyataka hao watu wengine eti kisa wanawahudumia tu
 
Hebu acha upumbavu wewe uwe unasoma kwanza comments zangu na kuzielewa ndio uje unijibu sasa ni wapi mimi nimeandika habari za mwanamke kumtawala mwanaume hebu acha kukurupuka, ndio maana niliacha kujadiliana na wewe sababu hujui namna ya kujibu hoja unatunga maneno yako halafu unasingizia kwamba mwenzio ndio kayasema yani jitu zima unajadili mada kama toto dogo halafu unataka watu tupoteze muda kukujibu, sasa sirudii nilichokiandika bali nakurudisha hapo juu usome upya hiyo comment yangu na kuielewa narudia soma na kuelewa halafu ndio urudi hapa na hoja tujadiliane.. such an illogical feeble minded idiot!!
Hata utumie lugha kali kama pilipili ila haikwepeshi ukweli kuwa upo on the wrong. Sasa nikuulize unataka mwanamke aishi anavyotaka na mwanaume amavyotaka,what is the point ya kuwa na mahusiano sasa kama ni watu wanaishi kama wanachuo wanaopokea mikopo kutoka bodi ya mikopo?

Kimsingi unaongea jambo halafu ukiambiwa ulichoonisha unageuka mbogo. Ukweli ni kwamba unataka mwanamke amtawale mwanaume na hapo ndipo mgogolo wako ulipo. Huwezi ishi na mwanaume kwa misingi yako kama mwanamke.

Ukiwa na mwanaume upo na kiongozi wako na unatakiwa kutii utaratibu wa maisha atakayokuongoza. Hata akikwambia muwe wachawi inabidi uanze kushika tunguli sababu mumeo kakupa maelekezo.

Acha ubishi wa hasara.
Sasa ni kipi kinachokufanya udhani kwamba siwezi kujadiliana kwenye hizo spaces and the likes, maana siyo mara ya kwanza wewe kusema hiki kitu kwani is jf not an ideal platform for such topics, au unadhani nikiwa kwenye hizo platforms nitashindwa au nitaogopa kuwasilisha hoja zangu au ni vipi.. hebu acha kuleta makuzi wewe!!

Hautaweza kwasababu kwanza unawahi sana kupanic sasa kama majadiliano kwa maandishi unapanic je kwenye dialogue si utarusha mateke.

Cha pili namna yako ya kujenga hoja imekaa kwa mkao wa janja ya nyani. Yaani ukijibu hoja unahama then ukihojiwa kwa maneno yako uliyosema unahamisha magoli. Kwa style hiyo dialogue hautaweza mapema sana utaaga mashindano.

Mimi nakuchallenge tukutane platform hizo ili tuwasilishe hoja kwa mdogo,ukiweza kukeep up na mimi ntakupa hela unayotaka, otherwise najua utakimbia kama nyani kamuona mwenye shamba.
 
😂😂😂😂 wee unachekesha sana, huko magharibi ya wapi? Si utaje ili nikukamate vyediiii

Nweii kuna mada ya Gays natiririka huko hatariii. Ngoja nikutag.
Marekani na Ulaya, kuna magharibi gani nyingine kwani zaidi ya hizo?
 
Wanakuwa na uhuru wa kujitafutia vipato vyao na kujiamulia mambo yao, na siyo kuwa chini ya watu wengine, na kufanya wanayoyataka hao watu wengine eti kisa wanawahudumia tu
Ungemwambia ukweli wanakuwa na uhuru wa kuwa na mahusiano na wanaume wengi ili kujipatia kipato na kuweza kutimiza mikakati yao kama kujengewa nyumba,kupewa mitaji ya biashara,kupewa connection za biashara na kulala na wanaume tofauti kwasababu kuishi na mwanaume m'moja ni kurisk kukosa vitu wanavyotamani kuwa navyo maishani kama magari, biashara,nyumba na pesa. Wakiishi na mwanaume m'moja maisha yanakwenda taratibu kwao wanataka fasta fasta. Miaka 20 tu tayari awe na jumba kubwa,magari,na biashara kubwa.

Kwa kifupi kudanga na umalaya.

Mbona unajifanya sista sana we kiumbe?
 
Je, mwaka 1947 jamii ya mtanzania ilikuwa hovyo ukilinganisha na ya sasa ya 2024, hivi unaweza ukasimama kabisa mbele ya umati wa watu useme kuwa jamii ya mtanzania ya sasa ime improve eneo la ustawi wa jamii?

1. Ushoga na wasagaji
2. Masingle mothers
3. Marioo na wadangaji
4. Watoto wenye baba watatu kwa wakati m'moja
5. Kutawanyika kwa familia ya baba mama na watoto.
6. Watoto wasiojua ibada ya msikiti wala kanisa
7. Wanawake wasiojua majukumu yao hadi wakiolewa wanakuwa viwete wa majukumu bila msaada wa House girl.

Hivi wewe unajua hata unachokisema wewe?

Unajua utakuja kuugua wehu wewe mtoto wa mzee fulani wewe.
huyo tayari ameshaugua mkuu,...😂
 
Hata utumie lugha kali kama pilipili ila haikwepeshi ukweli kuwa upo on the wrong. Sasa nikuulize unataka mwanamke aishi anavyotaka na mwanaume amavyotaka,what is the point ya kuwa na mahusiano sasa kama ni watu wanaishi kama wanachuo wanaopokea mikopo kutoka bodi ya mikopo?

Kimsingi unaongea jambo halafu ukiambiwa ulichoonisha unageuka mbogo. Ukweli ni kwamba unataka mwanamke amtawale mwanaume na hapo ndipo mgogolo wako ulipo. Huwezi ishi na mwanaume kwa misingi yako kama mwanamke.

Ukiwa na mwanaume upo na kiongozi wako na unatakiwa kutii utaratibu wa maisha atakayokuongoza. Hata akikwambia muwe wachawi inabidi uanze kushika tunguli sababu mumeo kakupa maelekezo.

Acha ubishi wa hasara.
Sasa mimi ndio nimesema kwamba wanawake wanataka kujitawala wenyewe ila wewe unanilazimisha kwamba nimesema wanawake wanataka kuwatawala wanaume, halafu unasema hayo ni maneno yangu na kwamba nayakana i wonder how comes you do not see the dumbfuckery in your writings mimi siku zote hoja yangu ni kwamba, kama wanaume wanataka kuwatawala wanawake basi waoe wanawake ambao watakuwa tayari kuwa wamama wa nyumbani wafanye majukumu ya nyumbani tu na hao wanaume wawe wanawahudumia kwa kila kitu

Yani mwanaume achukue full responsibility ya kuhudumia mke na watoto bila kuhitaji msaada siyo unakuja na mentality yako ya maisha ni kusaidiana, unataka mwanamke akusaidie majukumu yako ya kutafuta pesa na kulipa bili na kuhudumia familia ikiwemo kujihudumia yeye mwenyewe halafu unataka akutii kwa misingi ipi hasa au umemkuta mtoto wa watu na elimu yake na ndoto zake, unaanza kumlazimisha acompromise malengo yake ili afuate ya kwako na akutii wewe ili tu wewe ujisikie fahari huku yeye akisacrifice furaha yake and what she gets from you in return ni kushare muda na pesa za mumewe na michepuko ambayo haina mchango wowote zaidi ya k kwa visingizio vya kipumbavu vya huyo so called mume

Na ujinga mwingine mlionao ni huu wa kufikiri kwamba ukiwa mwanaume tu basi automatically uko sahihi kwa kila kitu na ukiwa mwanamke basi automatically hauko sahihi kwa chochote, yani hizo social constructs mnazoita ni nature zimewaingiza chaka kudhani kwamba men are always righteous na kwamba ndio wenye uwezo wa kuwaongoza wanawake katika njia sahihi siku zote za maisha yao kitu ambacho wanawake wenye akili wanakikataa, maana wanaona wanaume nao wana maovu yao na wamewalure wanawake kwenye maovu pia na ndio maana wanawake wanapigania kuwa na uhuru wa kiuchumi na kujitawala wenyewe sababu the only barrier between women and their freedom ni uchumi tu na si utashi cause other things being constant kuna wanawake wengi tu wana akili na uwezo kuliko wanaume wengi tu
Hautaweza kwasababu kwanza unawahi sana kupanic sasa kama majadiliano kwa maandishi unapanic je kwenye dialogue si utarusha mateke.

Cha pili namna yako ya kujenga hoja imekaa kwa mkao wa janja ya nyani. Yaani ukijibu hoja unahama then ukihojiwa kwa maneno yako uliyosema unahamisha magoli. Kwa style hiyo dialogue hautaweza mapema sana utaaga mashindano.

Mimi nakuchallenge tukutane platform hizo ili tuwasilishe hoja kwa mdogo,ukiweza kukeep up na mimi ntakupa hela unayotaka, otherwise najua utakimbia kama nyani kamuona mwenye shamba.
Wewe acha kujifanya unajua sana saikolojia za watu mimi nimeshajadiliana na watu wana hoja za maana zaidi yako na bado wakaniunga mkono na wengine tukakubaliana kutokubaliana, na wote hao hakuna ambaye nimewahi kumjibu hovyo halafu wewe ndio uje useme mimi nawahi kupanic kwanza so far sijaona mtu ambaye anawahi kupanic kama wewe, mimi nimekuchana ukweli tu kwamba acha utoto wa kuwalisha au kuwawekea watu maneno ambayo hawajayasema ilimradi tu upate cha kujibu uonekane una hoja

Yani wewe mbinu zako za kudumu kwenye majadiliano ni kumshambulia mtoa hoja badala ya kujadili hoja na kumlisha mtu maneno ambayo hajayasema kwa kisingizio kwamba ndicho alichomaanisha, sasa hayo unaweza ukafanya kwa watu wasiojiamini na hoja zao ila kwa sisi wengine ambao tunajiamini na hoja zetu na hatupindishi maneno huwa haturudi nyuma, tukisema tumesema and we are only responsible for what we say what you perceive is not our problem wewe kama una upeo mdogo wa kushindwa kuelewa hoja zangu na kunijibu kulingana na nilichosema basi hayo ni matatizo yako ila acha huu ujanja

Kuhusu kujadil kwenye platform tofauti na hii sidhani kama hiyo hoja yako inamake sense naona kama umepuyanga kwa sababu hata huku kwenye maisha halisi katika story za hapa na pale, huwa najadiliana sana na watu mbalimbali kuhusu hizi mada na ujengaji wangu wa hoja ni ule ule wala sibadiliki yani kwa kifupi ninayoyaandika humu ndio hayo hayo naweza kuyaongea hata mbele za watu, kwahiyo acha visingizio vya kitoto wewe kama unajiamini na hoja zako wasilisha tu wala usisingizie platform mimi mbona sijawahi kuleta kisingizio chochote hebu usitafute sababu hapa
Ungemwambia ukweli wanakuwa na uhuru wa kuwa na mahusiano na wanaume wengi ili kujipatia kipato na kuweza kutimiza mikakati yao kama kujengewa nyumba,kupewa mitaji ya biashara,kupewa connection za biashara na kulala na wanaume tofauti kwasababu kuishi na mwanaume m'moja ni kurisk kukosa vitu wanavyotamani kuwa navyo maishani kama magari, biashara,nyumba na pesa. Wakiishi na mwanaume m'moja maisha yanakwenda taratibu kwao wanataka fasta fasta. Miaka 20 tu tayari awe na jumba kubwa,magari,na biashara kubwa.

Kwa kifupi kudanga na umalaya.

Mbona unajifanya sista sana we kiumbe?
Sasa kama wanaume mnaona hayo yawanakera si ndio muache kutembea na hao wanawake na muache kuwahonga unajua mimi nashindwa kuwaelewa ninyi mnasema wanawake ndio wenye maamuzi ya mwisho juu ya miili yao hivyo wanapotumiwa na wanaume wasiwalaumu wanaume, ila hapo hapo mkiambiwa wanaume muache kuwatongoza hao wanawake bila kuwa na malengo nao mnasema kuna wanawake hata wasipotongozwa wanajitongozesha wenyewe sasa kwani na ninyi wanaume mnashindwa nini kukataa kama ambavyo mnataka wanawake wanapotongozwa wakatae, kama na ninyi mnaanguka kwenye mitego ya hao wanawake kwanini mnawalaumu wanawake kwa kuanguka kwenye mitego ya wanaume sasa ninyi mnatofauti gani na hao wanawake kwani ninyi ndio mna akili za kushikiwa kusema kwamba hamjui mnayoyafanya na repercussions zake

Ofcourse athari zake ndio hizi tunazoziona za wanaume kulalamika kuwa wanakosa wanawake wa kuoa wenye sifa za kuwa wake matokeo yake wanaoa hao hao wanawake so called waliotumika na wengine wanaishia kujiita kataa ndoa japo tunajua hiyo ni "sizitaki mbichi hizi tu", hayo mambo ya kusema eti mwanaume hata akiwa mzee ana uwezo wa kuoa binti mbichi kwa wanaume wengi ni fantasies tu maana ni wanaume wachache ndio hupata bahati hiyo tena wengi ni wenye pesa na hizo ni exceptions chache kati ya wanaume wengi ambao wanateseka kupata wanawake bora wa kuoa, sababu ni mabinti wachache wako tayari kuolewa katika huo umri mnaoutaka wengi wao ndio hao hao wanaotaka kula kwanza ujana hadi wakifikia kwenye umri ambao ninyi mnaita ndio uzee kwao basi nao ndio wanakuwa tayari kuolewa napo ni kwa sababu ya economic security na peer pressure na si kwa mapenzi ya dhati, sasa ninaposhindwa kuwaelewa ni pale ambapo mnaambiwa kama mnataka mje mpate wake bora wa kuoa acheni kuchezea wanawake wakiwa mabinti mnadai eti kuchezewa ni maamuzi yao hivyo hawana wa kumlaumu, yani mnageuza kibao kana kwamba wanawake ndio wanaowalaumu wanaume kuhusu masuala ya kujitunza kumbe kiuhalisia wanaume ndio wanaowalaumu wanawake kwa kushindwa kujitunza sasa hapo mwenye shida na hivyo vigezo vya kujitunza ni nani

Mnadai kwamba ninyi ni viongozi na mnataka kuwatawala wanawake halafu mnashindwa kuwaongoza kwenye masuala mepesi tu kama haya ya kutunza miili yao yani ninyi wenyewe tu mnashindwa kutawala tamaa zenu za ngono mnaleta visingizio vya kipumbavu halafu ndio mnataka muwatawale wanawake ambao angalau wao hisia zao za ngono hazijawashinda, yani kwanza kitendo tu cha kusema kwamba wanawake ndio wana maamuzi ya mwisho juu ya miili yao tayari mmeshawapa mamlaka ya kujitawala wenyewe hivyo msitegemee kuwatawala na kwenye mambo mengine, mngekuwa mko serious kwenye huko kutawala kwenu basi mngeanza kuonesha mfano kwa kuambiana ninyi wenyewe wanaume kwamba muache kuchezea wanawake hata wanawake wajilengeshe vipi ninyi wakataeni ili watunze miili yao wasitumike hadi ndoa after all ninyi si ndio viongozi bana, sasa viongozi gani ikija kwenye suala la ngono mnajitoa na kusema wanawake ndio wana maamuzi ya mwisho ila kwenye mambo mengine hata yale yanayowahusu wao ndio mnajifanya mko mstari wa mbele kutaka kuwatawala na kusema hawana maamuzi ya mwisho, yani mnafanya nao starehe kwa raha zenu huko halafu mambo yakiharibika mnataka kuwatupia lawama peke yao huku ninyi mkijitoa na kujifanya mko innocent halafu mnakuja tena kuhitaji bikira zao na kuwatukana humu wale ambao hawajajitunza what kind of cockamamie logic is that
 
Sasa mimi ndio nimesema kwamba wanawake wanataka kujitawala wenyewe ila wewe unanilazimisha kwamba nimesema wanawake wanataka kuwatawala wanaume,
halafu unasema hayo ni maneno yangu na kwamba nayakana i wonder how comes you do not see the dumbfuckery in your writings mimi siku zote hoja yangu ni kwamba, kama wanaume wanataka kuwatawala wanawake basi waoe wanawake ambao watakuwa tayari kuwa wamama wa nyumbani wafanye majukumu ya nyumbani tu na hao wanaume wawe wanawahudumia kwa kila kitu
Wanawake kujitawala wenyewe = Wanawake kutawala wanaume. Mimi sijazaliwa jana. Na this is not a new trick kwenye mahusiano. Tulia utulizane. Ukitaka kutawala kamtawale baba yako na kaka zako na wajomba zako waliokufudisha kuwa mwanaume anatawalika, huku nje ni mwendo wa vipigo na makofi ukileta maviburi yako unaadabishwa kwa mkong'oto.

Kama wewe kutawaliwa ni lazima na hizi harakati zako uchwara wote utaishia kwa mwanaume na utakalishwa chini hapa unafanya mazoezi ya kuleta jeuri tu ila unajua hauwezi kutoboa hata iweje.

Yani mwanaume achukue full responsibility ya kuhudumia mke na watoto bila kuhitaji msaada siyo unakuja na mentality yako ya maisha ni kusaidiana, unataka mwanamke akusaidie majukumu yako ya kutafuta pesa na kulipa bili na kuhudumia familia ikiwemo kujihudumia yeye mwenyewe halafu unataka akutii kwa misingi ipi hasa au umemkuta mtoto wa watu na elimu yake na ndoto zake, unaanza kumlazimisha acompromise malengo yake ili afuate ya kwako na akutii wewe ili tu wewe ujisikie fahari huku yeye akisacrifice furaha yake and what she gets from you in return ni kushare muda na pesa za mumewe na michepuko ambayo haina mchango wowote zaidi ya k kwa visingizio vya kipumbavu vya huyo so called mume
Shida yako ni kuchanganya habari au scenario 100 kwenye sentence moja, kwenye hili ndipo reply zako nyingi zinaanza kuwa na uvundo wa ufeminist. Kuna mwanaume alishawahi kukwambia wewe kuwa anashida ya kusaidiwa na mwanamke kifedha kutunza familia?

Vitoto vya 2000 mnashida sana tokea mzaliwe na kuona wazazi wenu wanatoka wote asubuhi kwenda mihangaikoni. Sasa hapo umeklemisha na komwe lako kuwa ni aidha mwanaume atoke na mwanamke awe mvivu asijikune hata kama pesa anayo ndani. Huku ni kukosa akili ya maisha na wewe unadhani maisha ni kushindana na kutafutana ubaya au kugawana fito na mtu ambaye unatakiwa kujenga nae nyumba moja.

Miaka ya kuzanzia 1990 kurudi nyuma,ilikuwa ni jambo la ajabu sana kuona mama anatoka asubuhi labda awe mjane. Maisha yamebadilika kwa sasa tu ila hali haikuwa hivi.

Mwanamke anatoka kutafuta kazi pale tu inapobidi ila sio lazima. Sasa wewe na ubishi wako unafosi kuwa mwanamke kutoka ni lazima hata kama hakuna ulazima kwasababu kasoma.

Mimi nitakuruhusu utoke ila jua nitakuchukulia kama mwanaume yaani kwanza nataka nione bank statement nijue unapokea kiasi gani, pili nataka ujue hiyo pesa sio yako ni yetu sito entertain matumizi ya kipuuzi kama kwenye kupaka kucha rangi za 100,000/= au kuendea saloon kuset nywele za laki,au nisikie umeenda kusaidia ujenzi kwenu bila ridhaa. Aiseee ntakukung'uta kipigo ambacho haujawahi pewa na wazazi wako na kazi utaacha pumbavu zako.
Na ujinga mwingine mlionao ni huu wa kufikiri kwamba ukiwa mwanaume tu basi automatically uko sahihi kwa kila kitu na ukiwa mwanamke basi automatically hauko sahihi kwa chochote, yani hizo social constructs mnazoita ni nature zimewaingiza chaka kudhani kwamba men are always righteous na kwamba ndio wenye uwezo wa kuwaongoza wanawake katika njia sahihi siku zote za maisha yao kitu ambacho wanawake wenye akili wanakikataa, maana wanaona wanaume nao wana maovu yao na wamewalure wanawake kwenye maovu pia na ndio maana wanawake wanapigania kuwa na uhuru wa kiuchumi na kujitawala wenyewe sababu the only barrier between women and their freedom ni uchumi tu na si utashi cause other things being constant kuna wanawake wengi tu wana akili na uwezo kuliko wanaume wengi tu
Kuna ubaya nikiwa sahihi muda wote,wewe shida yako ipo wapi mimi kama mumeo nikiwa sahihi masaa yote? Umeshawahi kusikia wapi kiongozi anakosea? Wewe kama una ushauri ninong'oneze nione hoja yako nitaweza kuiingiza kwenye mipango yangu. Wewe unalipiwa kila kitu unapata wapi jeuri ya kunipangia utaratibu,nikipata hasara si utasema "lakini wewe ni baba ndie ulitakiwa ukubali ushauri wangu au la". Tena koma Jadda

Hakuna social construct hapa hiyo ni asili. Kama ni social construct mbona wewe kutwa kucha unahangaika kufanana na wanaume kimamlaka kwann usitumie uanamke wako kufanya maamuzi ya msingi.

Wanawake wangapi wana pesa ila maamuzi ni hovyo. Wewe wa wapi wewe?


Wewe acha kujifanya unajua sana saikolojia za watu mimi nimeshajadiliana na watu wana hoja za maana zaidi yako na bado wakaniunga mkono na wengine tukakubaliana kutokubaliana, na wote hao hakuna ambaye nimewahi kumjibu hovyo halafu wewe ndio uje useme mimi nawahi kupanic kwanza so far sijaona mtu ambaye anawahi kupanic kama wewe, mimi nimekuchana ukweli tu kwamba acha utoto wa kuwalisha au kuwawekea watu maneno ambayo hawajayasema ilimradi tu upate cha kujibu uonekane una hoja
Jf nzima hapa wewe ndio icon ya ubishi kwa kila ambaye unajibizana nae. Shida sio kwamba watu hawataki kujenga mazungumzo na wewe shida ni namna hoja zako zipo biased. Yaani unaweza tetea jambo kwa akili ya upotofu ila ukasimamia upo sahihi. Hiyo sio sawa.
Yani wewe mbinu zako za kudumu kwenye majadiliano ni kumshambulia mtoa hoja badala ya kujadili hoja na kumlisha mtu maneno ambayo hajayasema kwa kisingizio kwamba ndicho alichomaanisha, sasa hayo unaweza ukafanya kwa watu wasiojiamini na hoja zao ila kwa sisi wengine ambao tunajiamini na hoja zetu na hatupindishi maneno huwa haturudi nyuma, tukisema tumesema and we are only responsible for what we say what you perceive is not our problem wewe kama una upeo mdogo wa kushindwa kuelewa hoja zangu na kunijibu kulingana na nilichosema basi hayo ni matatizo yako ila acha huu ujanja
Wanasema usipokuwa muelewa kila anayekuchallenge utamuona ana kushambulia personally. Shida hapa kwako ni kuwa less considerately. Unaweza kuta mada ni kuhusu kukemea wanawake wanaozaa hovyo kuwaachia watoto mikononi mwa mahousegirl. Na mleta mada akasema kabisa na sababu kwann baba za hawa watoto wameshindwa kuwa na mama za hawa watoto kuwajibika kimalezi mfano,jeuri za hawa wanawake, viburi na kutumia nguvu nyingi kumuweka baba na mtoto mbali. Wewe utakuja katika hii topic na utairukia na hoja za lawama tena kwa wanaume na kujifanya haujui maovu ya wanawake wenzako then ukipata backlash unaona kama unafanyiwa personal attack au unadharauliwa. Wewe huwa unatazama hoja zako kwanza zinalenga nini kwa mujibu wa topic husika?
Kuhusu kujadil kwenye platform tofauti na hii sidhani kama hiyo hoja yako inamake sense naona kama umepuyanga kwa sababu hata huku kwenye maisha halisi katika story za hapa na pale, huwa najadiliana sana na watu mbalimbali kuhusu hizi mada na ujengaji wangu wa hoja ni ule ule wala sibadiliki yani kwa kifupi ninayoyaandika humu ndio hayo hayo naweza kuyaongea hata mbele za watu, kwahiyo acha visingizio vya kitoto wewe kama unajiamini na hoja zako wasilisha tu wala usisingizie platform mimi mbona sijawahi kuleta kisingizio chochote hebu usitafute sababu hapa
Tayari unakiri kwamba haupo tayari. Ungekuwa kweli mjenga hoja unayejiamini tungekutana katika platforms za sauti kama Twitter space halafu wadau wakatusikilize. Nakwambia utajua namna ulivyomtupu.
Sasa kama wanaume mnaona hayo yawanakera si ndio muache kutembea na hao wanawake na muache kuwahonga unajua mimi nashindwa kuwaelewa ninyi mnasema wanawake ndio wenye maamuzi ya mwisho juu ya miili yao hivyo wanapotumiwa na wanaume wasiwalaumu wanaume, ila hapo hapo mkiambiwa wanaume muache kuwatongoza hao wanawake bila kuwa na malengo nao mnasema kuna wanawake hata wasipotongozwa wanajitongozesha wenyewe sasa kwani na ninyi wanaume mnashindwa nini kukataa kama ambavyo mnataka wanawake wanapotongozwa wakatae, kama na ninyi mnaanguka kwenye mitego ya hao wanawake kwanini mnawalaumu wanawake kwa kuanguka kwenye mitego ya wanaume sasa ninyi mnatofauti gani na hao wanawake kwani ninyi ndio mna akili za kushikiwa kusema kwamba hamjui mnayoyafanya na repercussions zake
Kwa sisi wanaume kutomba ni muhimu kuliko kula na hata kunywa dawa. Mimi naweza kuwa na drip ya maralia nipo hoi lakini wewe Jadda ukija kunitembelea pamoja na kwamba huwa tunakinzana huku JF nita dinda na nitakutomba hata viwili nijiskie vizuri. Na haimaanishi tutaacha kurumbana huku JF.

So usichanganye mwanaume kutomba wanawake na mambo mengine kama kutaka waishi vipi kimaadili. Tatizo ninyi wanawake kama wewe Jadda huwa mnadhani wanaume wanaoishi vizuri na wake zao hawatombi nje. Kutomba kwa mwanaume ni muhimu kuliko jambo lolote. Hata yule mwanaume anayekupenda na yupo tayari kufa kwaajiri yako kuna muda lazima atombe mwanamke mwingine ili wewe upumzike,wewe unaweza tombana wiki nzima bila kupumzika. Kila siku mna session 4 hadi 6 za kutombana,utaweza wewe? Sasa kwann usikubali ukweli kuwa mwanamke m'moja hatoshei kwa mwanaume?
Ofcourse athari zake ndio hizi tunazoziona za wanaume kulalamika kuwa wanakosa wanawake wa kuoa wenye sifa za kuwa wake matokeo yake wanaoa hao hao wanawake so called waliotumika na wengine wanaishia kujiita kataa ndoa japo tunajua hiyo ni "sizitaki mbichi hizi tu", hayo mambo ya kusema eti mwanaume hata akiwa mzee ana uwezo wa kuoa binti mbichi kwa wanaume wengi ni fantasies tu maana ni wanaume wachache ndio hupata bahati hiyo tena wengi ni wenye pesa na hizo ni exceptions chache kati ya wanaume wengi ambao wanateseka kupata wanawake bora wa kuoa, sababu ni mabinti wachache wako tayari kuolewa katika huo umri mnaoutaka wengi wao ndio hao hao wanaotaka kula kwanza ujana hadi wakifikia kwenye umri ambao ninyi mnaita ndio uzee kwao basi nao ndio wanakuwa tayari kuolewa napo ni kwa sababu ya economic security na peer pressure na si kwa mapenzi ya dhati, sasa ninaposhindwa kuwaelewa ni pale ambapo mnaambiwa kama mnataka mje mpate wake bora wa kuoa acheni kuchezea wanawake wakiwa mabinti mnadai eti kuchezewa ni maamuzi yao hivyo hawana wa kumlaumu, yani mnageuza kibao kana kwamba wanawake ndio wanaowalaumu wanaume kuhusu masuala ya kujitunza kumbe kiuhalisia wanaume ndio wanaowalaumu wanawake kwa kushindwa kujitunza sasa hapo mwenye shida na hivyo vigezo vya kujitunza ni nani
Wanaume ukikuta hajaoa binti mdogo ni kwasababu anaona uvivu kukaa na binti mdogo na kumtrain. Ila nje ya hapo si ngumu kwa mwanaume kupata binti wa kuoa KAMA AKITAKA. Mimi hapa nipo na mahusiano yangu ila naona na kukutana na mabinti wengi wa miaka kati ya 24 hadi 15 ambao wanaonyesha kuvutiwa na mimi kimahusiano. Ningekuwa mzee wa kubatua ningebatua wengi sana ila huwa natazama hesabu zangu zaidi.

Wewe mwenyewe tukikutana hautatoboa na utaufyata na ntakutomba vizuri tu. Ila ni vile nataka tuendelee kuwa professionals 😂 ukinimwagia uno ntakuwa nashindwa kugombana na wewe huku JF na nakuhitaji sana Hasimu wangu kipenzi @Jadda😂.
Mnadai kwamba ninyi ni viongozi na mnataka kuwatawala wanawake halafu mnashindwa kuwaongoza kwenye masuala mepesi tu kama haya ya kutunza miili yao yani ninyi wenyewe tu mnashindwa kutawala tamaa zenu za ngono mnaleta visingizio vya kipumbavu halafu ndio mnataka muwatawale wanawake ambao angalau wao hisia zao za ngono hazijawashinda, yani kwanza kitendo tu cha kusema kwamba wanawake ndio wana maamuzi ya mwisho juu ya miili yao tayari mmeshawapa mamlaka ya kujitawala wenyewe hivyo msitegemee kuwatawala na kwenye mambo mengine, mngekuwa mko serious kwenye huko kutawala kwenu basi mngeanza kuonesha mfano kwa kuambiana ninyi wenyewe wanaume kwamba muache kuchezea wanawake hata wanawake wajilengeshe vipi ninyi wakataeni ili watunze miili yao wasitumike hadi ndoa after all ninyi si ndio viongozi bana, sasa viongozi gani ikija kwenye suala la ngono mnajitoa na kusema wanawake ndio wana maamuzi ya mwisho ila kwenye mambo mengine hata yale yanayowahusu wao ndio mnajifanya mko mstari wa mbele kutaka kuwatawala na kusema hawana maamuzi ya mwisho, yani mnafanya nao starehe kwa raha zenu huko halafu mambo yakiharibika mnataka kuwatupia lawama peke yao huku ninyi mkijitoa na kujifanya mko innocent halafu mnakuja tena kuhitaji bikira zao na kuwatukana humu wale ambao hawajajitunza what kind of cockamamie logic is that
Kuwala wanawake haina uhusiano na kutunza miili yao kwasababu lazima waliwe. So wanaume kutowala wanawake hainaanishi ndio wanawaongoza sahihi, kuwala ni sehemu ya kuwaongoza.

Ndio wanawake wanayosauti ya mwisho. Mfano yupo period utafanya nae sasa na mwili wake haupo tayari,au unataka abebe ujauzito ila bado hajawa comfortable na mahusiano utamlazimisha?
 
Back
Top Bottom