Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Kuna trend ya kusambaza bidhaa nyingi kwenye mfumo wa takrima nchi nzima. Katika mdororo wa uchumi kama uliopo duniani kwa sasa ni vigumu nchi maskini kama Tanzania kupata fedha za kufanya haya yanayofanywa leo.
Pesa hizi za kuprint kanga na vitenge zinatoka wapi? Hizi pikipiki zinatoka chini ya ufadhili wa nani? Hizi wanazolipwa wana CCM kama posho kwenye mikutano zinatoka wapi?
Dola imefika 2500; bidhaa zipo juu ila fedha za wachache zipo. Je, hizi ni kodi zetu au kuna ufadhili tumepata?
Pesa hizi za kuprint kanga na vitenge zinatoka wapi? Hizi pikipiki zinatoka chini ya ufadhili wa nani? Hizi wanazolipwa wana CCM kama posho kwenye mikutano zinatoka wapi?
Dola imefika 2500; bidhaa zipo juu ila fedha za wachache zipo. Je, hizi ni kodi zetu au kuna ufadhili tumepata?