wilson nisha
Member
- Mar 13, 2020
- 27
- 21
Nauliza je, ni wananchi wanaweka alama za mitaa kwa fedha zao au mfuko wa halmashauri? Maana nimeona sehemu raia wanalalama.
Huko kwenu jamani nani anaweka hizi alama?
Huko kwenu jamani nani anaweka hizi alama?