XaviMessIniesta
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 2,065
- 2,511
Hatrick yake imefanya team ishindeWajuvi tufafanulieni hapo.
Hatrick yake imefanya team ishindeWajuvi tufafanulieni hapo.
huwa wanapewa wote,moja anachukua waliokuwa wanachezea mwin gine anapewa uliokuwa wa akibaNajiuliza nani kaondoka na mpira maana hat trick zimepigwa pande zote Boateng kaanza na Couticho kapiga naye wakati mpira ni mmoja.
Kwakweli Jana nilighazabika vibaya muno Mkuu. Ila uongozi una kazi ya kufanya aisee, maana kilichotokea Jana ni picha halisi ya maisha ambayo tunaweza kuja kuyaishi bila mfalme wa mpira duniani, Messi10.Barcelona without MESSI =stupidity!
walivyopigwa na Levante wametuloanisha sana. sana hapa RM akibeba UEFA msimu utakuwa umeharibika.Kimya sana humu jamani.....mechi na timu ya uko SA imesishia tumeshinda 3-1 dembele,suarez na gomez wakifunga
Tuombee mazuri kwa liverpoolwalivyopigwa na Levante wametuloanisha sana. sana hapa RM akibeba UEFA msimu utakuwa umeharibika.
Sina hamu tena labda usajili ukianza, nangoja WC tu hapa.. 5-4 bado ni kama mzimuKimya sana humu jamani.....mechi na timu ya uko SA imesishia tumeshinda 3-1 dembele,suarez na gomez wakifunga
Sina hamu tena labda usajili ukianza, nangoja WC tu hapa.. 5-4 bado ni kama mzimu
Kocha alifanya makosa sana, atamwachaje Messi10 kwa 7bu za kidwanzi namna ile??? Eti alipumzishwa kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Mamelod Sundowns ya South Africa !!!!
Hapa kocha alionesha udwanzi wa kiwango cha PhD. Hata hivyo, alichokuwa anakitafuta alikipata !!!!
WC nayo haitabiriki kabisaa.. Nakumbuka msemo wa memba mmoja humu, kwamba 'arg ni kama genge la masuperstar' haha nawasubiri kuwaonaTuiombee Arg na king wetu wabebe ndoo...upande wa pili hawana timu pale!
WC nayo haitabiriki kabisaa.. Nakumbuka msemo wa memba mmoja humu, kwamba 'arg ni sawa na genge la masuperstar' hahaTuiombee Arg na king wetu wabebe ndoo...upande wa pili hawana timu pale!